JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wakuu, hapa ninampango wa kutoka Mwanza kwenda DSM na pikipiki aina ya XL kwa ambao walishawai kutoboa route ndefu na toyo tupeane uzoefu na changamoto zake na zipi na ni mambo gani...
2 Reactions
52 Replies
5K Views
Nahitaji gear box ya RAV4 j (old model) Bajeti yangu laki 7. Njoo chemba kama unayo. Napatikana Dar
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii kitu sijui kama wengi wanaifikiria , nataka kujua inabadilishwa baada ya KM ngapi na utajuaje inatakiwa kubadilishwa manake nasikia madhara yake ikikatika ni mabaya sana. Pia kama ilikuwepo...
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Wakuu habari.. Nahitaji mwenye uzoefu wa hizi gari tajwa hapo juu. Naona zina matoleo ya Alphard V na Alphard G. Nahitaji kujua tofauti yake ni nini na ipi ni bora zaidi ya nyingine.
2 Reactions
13 Replies
7K Views
Radiator fan inazunguka polepole,haina ile speed yake ya kawaida. Shida ipo wapi? Gari yangu Nissan Note, ila gari halichemshi, naombeni msaada. Jitula miraba minne. Msaada mkuu
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Ndugu habari za usiku, Kitaalamu unashauriwa kufanya wheel alignment na wheel balance kwa kila baada ya km ngapi?
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nina mpango nitafute motokaa na mimi nitembee na uchawi wa mzungu. Ndoto niliyonayo ni kununua Mistubish Freelander naombeni ushauri wazee kama ni gari nzuri au ni kipengele.
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Pole na kazi wakuu!! Msaada katika Hilo tafadhali
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Tairi zipi zinatakiwa kujazwa upepo zaidi kati ya za mbele na za nyuma?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Baada ya kuona wabongo ni km tunaigana katika kuagiza gari, ambayo inapelekea na bei za aina ya hizo gari kupanda maradufu, leo nikasema nipitie befoward, kwenye filter nikachagua gari za chini ya...
7 Reactions
75 Replies
14K Views
wadau nimenunua tairi mbili,kutokana na mfuko wangu,gari yangu ni noah,haiko bize sana,kati ya tairi mbili za mbele au za nyuma,nibadilishe zipi kwanza kwa sasa?na kwa nini
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu kwema, nina gari yangu aina ya GX 100, tatizo lake inavuta upand mmoja hasa unapokuwa kwenye barabara ambayo haijanyooka. Nishapima balance na kubadilisha bush zote huko chini lakini bado...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba wenye ufahamu wanisaidie kujua karakana mzuri kwa gari hizi Nissan xtreil, moja yangu ilisumbua kitu anaitwa slinder herd gasket, hivyo haijatulia ni kama inavujavuja oil. Nataka nipate...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wadau, Nimepata tenda ya kusimamia mashamba ya parachichi ya Waholanzi sasa wamenipa pesa kiasi ya kununua usafiri Off- Road. Kuna bajeti ya 20M kwa ajili ya gari hapa nafikilia 8M natia...
1 Reactions
38 Replies
17K Views
TRA WANAANGALIA BEI YA GARI AU NI MWAKA NA MODEL TU? Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari Swali hilo muhimu liliulizwa na mmoja wa wadau wetu na majibu yake ni kama ifuatavyo. Kwa ufupi...
2 Reactions
3 Replies
431 Views
TAHADHARI TAHADHARI Punguza usumbufu kwa kutojiagizia gari mwenyewe Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari Mada hii fupi inakuja baada ya kuona baadhi ya ndugu zetu waliojiagizia wenyewe...
0 Reactions
4 Replies
528 Views
Habari wakuu kuna uwezekano wa kubadili engine ya 2zz na kuweka 1zz bila ya kubadili control box na gear box? Na plan ya kuchukua mswaki wa 1zz
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau , hope mu wazima. Leo nahitaji munisaidie ufafanuzi kuhusiana na hili kuiwacha gari ingurume kama imelala muda mrefu kusudi wengine wanasema temperature ishuke lakin wengine wanadai...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Wenyeji wa Dar naomba msaada wenu. Gari yangu ina tatizo na nadhani watu wa Diagnosis wataweza kujua tatizo lake ni nini, huko mikoani nimeipeleka kwa mafundi wengi hawajagundua tatizo. Gari ni...
5 Reactions
53 Replies
6K Views
Tafadhali Wataalamu, naombeni mnisaidie ufafanuzi
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…