JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu heshima kwenu. Well, kama mada inavyojieleza wakuu kama una gari may be umenunua show room au mkononi kwa mtu utajuaje kuwa Inaingiza lita ngapi pale utapokuwa umejaza full tank? Nawasilisha.
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Tumeona baada ya ziara ya Mhe. Rais ktk nchi ya Rwanda ambao ni majirani zetu kila mmoja wetu ameshangaa na kuduwaa kuona magari Bomba aina ya volxwagon yanatengenezwa nchini Rwanda. Nimejiuliza...
4 Reactions
60 Replies
7K Views
Msaada kwa anayefahamu au amewahi miliki hii gari changamoto zake na uzuri wake anisaidie nataka kuiagiza.
2 Reactions
26 Replies
5K Views
IJUE BMW 7 SERIES- Kwa ufupi Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari UTANGULIZI Ni moja ya gari za starehe iliyoboreshwa kwenye mambo mengu na iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 1977. Leo...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimekaa nimetafakari sana ni kwa nini Tanzania hatutengenezi magari ila nmeshindwa kupata majibu. 1. Kuna raw materials za kutosha. raw material kubwa ni chumba na tuna maeneo mengi ambayo chuma...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Habari ya Majukumu humu Ndani. Naomba kusaidiwa hiyo hoja. Je, nitajuaje gari yangu inachemsha? Gari yangu nimeona haya, Je ndiyo Kuchemsha au mwanzo wa Kuchemsha? 1.Maji nikiweka yemejaa Mpaka...
3 Reactions
49 Replies
11K Views
AGIZA- MAZDA TRIBUTE pichani kwa 13.9m Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari Cc 2000 (12km/L), Km 52,000...Tulivu safarini na vifaa vinapatikana na kudum Gharama zote 13,950,000. Awali...
0 Reactions
4 Replies
722 Views
Habari wakuu! Kwa muda mrefu nimekuwa nikapata changamoto ya kutofautisha kati ya torque na horsepower. Katika jitihada zangu za kusoma nimeelewa kwa sehemu kidogo lakini kuna jambo...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nina generator yangu ambayo siitumii sana; kuna kipindi ili kaa karibu mwaka mzima bila kutumika. Kuja kufungua nikakuta petrol imeharibika na kugandiana kiasi kwamba iliharibu mpaka carburetor...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Je kwa sisi/wao wanaonunua haya magari nee a.k.a second hand from outside africa. Je, unajuaje mtu kacheza na milleage/km za gari? Mfano km ilizotembea gari ni 120,000 km ila mtu...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wajameni najua hapa kuna watalamu wa kutosha.mitsubishi fuso bus seat 45 mpaka niimiliki bei gani?vipi uimara wake? Inaweza kwenda kwa miaka mingapi? Kwa safari za km 420 kwa siku.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni ushauri juu ya hii gari. Ukikanyaga accelerater kwa nguvu inakuwa kama imeziba exhaust na kisha ghafla huzibuka.Hapo inabidi ukanyage mafuta taratibu sana ndipo safari...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Yaani kwa sasa gentlemen cars in town kwa Tanzania ni Land Rover Discovery kuanzia series 2 na kuendelea. Wanaoendesha haya magari kwanza ni watu fulani hivi wanaonekana ni wastaarabu na wasio na...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Wazee wa 4x4 msisahau hii mashine ni powerful sana
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Kumekuwa na mjadala mrefu kuhusu gari aliyonunua star wetu wa muziki wa bongo flavor Diamond platnamuz. Wengine wakisema eti gari hilo sio halisi ni fake, na wengine wakidai ni original. Aina ya...
4 Reactions
71 Replies
10K Views
Nina Toyota Sienta 2004, Nina hisi radiator Ina matatizo. Namtafuta fundi wa ku repair radiator tafadhali. Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Wakuu, Nina uhitaji wa Fundi mzuri na mwenye uzoefu anayezijulia Hydraulic based machines hasa upande wa Transmission na Engine kwa Grader, Excavator, Compactor n.k πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Juzi usiku mnene kuna kibaka/vibaka waliruka ukuta wakaingia maskani. Fast forward: Alfajiri niliamka nikakuta madirisha (vioo) vimefunguliwa. Sebuleni wakaiba box la simu (wakidhani kuna simu...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Kuna BMW moja nimeiona yard flani hapa mjini ni hatari.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani.. Nina idea ya Biashara kidogo Idea yenyewe ni hivi Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…