JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kama umezoea kuendesha magari ya chini, namaanisha fast cars kama altezza, subaru n.k, usije kununua ist, racts, oppa, passo, cam nk. utakufa. Hizi gari za chini, ukiendesha speed haipinduki...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa be halisi ya Toyota land cruiser V8 toleo la mwaka 2017 kwenye Yard hapa bongo kunatofauti gani ya bei yakuagiza from japan
1 Reactions
6 Replies
11K Views
Mafuta kutoka Mbeya kwenda Dodoma inakuwa lita ngapi?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Naomba kujua RPM (rotation) inapaswa kuwa ktk 0 au 1 wakati gari imesimama? Na je, km ni 1 hapo si kuna tatizo?
1 Reactions
1 Replies
891 Views
Nakumbuka mwaka 2015 Mwezi 9 baada ya kujichanga changa kidogo nikawa nimesave pesa kiasi nikasema hizi hizi Boxer BM 150 wakati huo ndio zimeanza kushika kasi nikaenda niaenda kuinunua pale mitaa...
59 Reactions
188 Replies
32K Views
Naombeni ushauri, nipo mbion kuagiza gari na hizo gari tajwa hapo juu ndio machaguo yangu, kikubwa ninachokipendea kutoka ktk hzo gari ni muonekano lakini sina budi kuchagua moja kati ya hizo hvyo...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wakuu,naomba kuuliza kama kuna ambaye amewahi kutumia matairi ya goodride anielezee uimara wake,na je kwa masafa marefu kama kwenda musoma inaweza kupiga trip ngapi kwa private car,nilienda...
1 Reactions
25 Replies
10K Views
UFAHAMU KWA WENYE MAGARI; Tairi ikizidi miaka mitano haifai kutumika. Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne (4) tu toka yatengenezwe (sio toka uyafunge kwenye gari yako)...
6 Reactions
95 Replies
35K Views
Nataka kuagiza gari Japan Toyota premio ya mwaka 2005/2006.Naombeni kwa wenye uzoefu wa kuagiza gari from Japan, Je ni kampuni ipi ni waaminifu ! Je what if umetuma hela then baada ya hapo...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari najua hapa kuna mafundi wa magari watanisaidia, Nina gari Harrier hizi 'Second generation' japo yenyewe ni ya muda kidogo. Kuna kipindi nilisafiri kwa muda kidogo hivyo niliipaki kwa...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Habari wakuu! Naomba kujua ni Engine oil yenye grade gani inafaa kwenye Toyota harrier ya mwaka 2003 Engine 2AZ-FE 2400cc inayotumia petrol na inatumika hapa dar es salaam,maana nimeona...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Iko kwenye Toyota land cruiser mkonge (hard top)
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Salaam, Napenda kujulishwa kama kuna garage ambayo ina fundi mwenye kujua namna ya kuweka “oil catch can” kwenye gari za diesel zenye turbocharger. Oil catch can inasaidia kupunguza zile sludges...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa nyakati tofauti nimepata kuendesha hizi gari mbili. Harrier na MarkX. Harrier nnayoizungumzia hapa ni tako la nyani yenye engine ya 2AZ na CC 2400. Na mark X nnayoizungumzia hapa ni 250G yenye...
1 Reactions
38 Replies
10K Views
Habari wadau humu, Naomba kujuzwa ni gereji gani hapa Moshi naweza tengeneza dashboard ya gari yangu carina si...iliyopo imekatikakatika...ningepata namba ya mhusika ningeshukuru sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wana jamii forum, habarini za majukum. naombeni ushauri ,ya kwamba ni hivi ninajua kuendesha gari vizuri sana yapata miaka 6 sasa Mara zote nilikuwa naendesha mjini tu hap . nimepata safari ya...
5 Reactions
42 Replies
8K Views
Heshima kwenu wakuu! Mimi ni mpenzi wa magari tajwa hapo juu, yaani Vanguard na Harrier. Ninategemea kununua gari karibuni ila nimeshindwa kabisa kuamua ninunue lipi kati ya Vanguard au Harrier...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wengi wetu tumekua tunamiliki magari, ila hatujui vifaa wala bei mwishowe tunaishiwa kupigwa, huu uzi ni maalum kwa ajiri ya kujua bei za vifaa. Uliza bei ya kifaa ujibiwe, kutana na watu mbali...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Mfumo wa utengenezaji magari duniani umebadilika miaka ya karibuni kutoka kwenye full mechanical kuwa advanced technology jambo ambalo ni changamoto kubwa kwa nchi zinazoendelea ambazo kwa kiasi...
8 Reactions
45 Replies
6K Views
BMW M3/M4; Engine: 3l twin turbo Output: 480hp 0-100km: 4.2s Top speed: 290km/h BMW M3/M4 Competition; Output: 510hp 0-100km: 3.9s Top speed: 290km/h Price: $69,000/$71,000
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…