JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
1. Angalia Mbele: Hapa tunazungumzia madereva waopenda kuendesha gari huku wakiwa wanatumia sim au kugeuka geuka nyuma au maongezi na abiria wako. Mambo hayo na yanayofanana na hayo yanaweza...
9 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa utafiti usio rasmi kwa mtazamo wangu baada ya kupita pita kwenye magroup ya Whatsapp na Kurasa za facebook za wauza magari yaliyotumika hapa Tanzania ni kama yafuatayo: Toyota Vitz, IST...
3 Reactions
3 Replies
8K Views
Kobe Bryant amekuwa akitumia helikopta ya aina ya Sikorsky S-76B tangu alipokuwa akichezea Los Angeles Lakers. Ndio iliyomuua. Mamlaka ya kufuatilia shughuli za anga inasema helikopta hiyo...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Juzi ijumaa nilirudi nyumbani mchana kwa lunch na kuona watoto. Baada ya lunch na kuwahudumia kidogo nikarudi kazini. Baada ya nusu saa dada yao akanipigia kuwa Gerry (my first born) haonekani...
16 Reactions
35 Replies
5K Views
-Performance -Uzuri/matatizo yake -Altenatives -etc
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mambo ya kuzingatia pale unapotaka ununue boti ndogo kwa ajili ya utalii, uvuvi au matumizi binafsi. 1. Material yaliyotumika kutengenezea boti - Mbao Mbao imekuwa ikitumika kuunda boti tangu...
5 Reactions
9 Replies
6K Views
Kuendesha gari ni suala linalohitaji umakini na utulivu mkubwa, hasa pale unapoendesha gari umbali mrefu. Mara kwa mara kumeshuhudiwa ajali mbalimbali ambazo kimsingi zinatokana na madereva...
10 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari zenu. Nimenunua mpya showroom Passo ya cc 1000 ila inanishangaza unywaji wake wa mafuta ni mkubwa sana. Average yake katika screen inasoma 6.8 km/L nimeenda Posta na kurudi kama mara 3 hivi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa ujazo wa tank la Passo. Na inakula km ngapi kwa lita. Maana nimekuwa natumia hii gari mwaka sasa ila inanichanganya. Kuna kipindi napiga hesabu inanipa 12 KM kwa lita ila kuna...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Release date: August 2020. Specs: 3.6-liter V6 twin turbo Petrol, Diesel or Hybrid. Will produce 220kW and 356Nm
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Wadau ningependa kujua mwenye uzoefu wa kweli na utalamu, kati ya toyota allex na runx ipi inafaa kuliko nyingine kwa matumizi ya kawaida tu,mishe za mjini.
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Naombeni ushauri, Nataka kununua Yamaha Crux CC 100 Used kutoka kwa rafiki yangu kwa Sh 1.2 million ila sina uzoefu na ubora wake. Je mnanishauri vipi juu ya ubora na changamoto zake? Asante.
3 Reactions
12 Replies
6K Views
Amani iwe kwenu. Katika uzi huu tutakuwa tunajifunza / kukumbushana alama na michoro ya barabarani za SADC. Alama na michoro hii ipo takribani 178. Leo nitaanza na mchoro namba 173 na 174. Hii...
2 Reactions
10 Replies
12K Views
Mm ni mgeni kidogo wa magari, napenda kununua gari ndogo ya kutembelea hapa town japo nazizimika sana hatchback na hasa zinazotumia mafuta kidogo( uchumi) Wanajamvi ipi kt ya hizo yenye shape...
2 Reactions
28 Replies
13K Views
Wanajamvi, hii gari naipenda mpaka naumwa. Maana inaitwa Honda Crossroad a.k.a SMALL HAMMER. Naombeni ushauri wakuu kabla sijaingia mkenge. Ndo nataka nimiliki gari kwa mara ya kwanza. So...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa wenye magari na ambao wamepata tatizo la kuvunjika vioo, yaani cracks. Je, umeishawahi kununua zile dawa za kuondoa cracks na je zinafanya kazi vizuri? Kuna matangazo mengi sana humo facebook...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada, kuna gari inauzwa Zambia na imesajiliwa inapiga kazi. Nikitaka kuileta Tanzania. Naomba kujuzwa utaratibu na gharama ukoje. Aina ya gari ni Rosa.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu naomba ushauri, Escudo yangu vitara ya 2003. Engine 3Y. Ina miss miss sana. Na haina NGUVU mlimani wala speed mwisho 40/60. Nini tatizo? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau leo ahsubuh nimewasha gari langu imetokea sign hiyoo kwenye dashboard inamanisha nn please
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nina Suzuki Escudo cc 1590 inatumia lita moja kwa km 6. Nimeuliza wadau wakasema walau itumie lita moja kwa km 10. Pia nimefutalia RPM haivuki 5 na taa ya exhaust imewaka. Naomba ushauri...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom