JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Hiki kioo nimeweka kipya mwezi January tarehe 30, sasa leo nikiwa nasafisha gari, kwenye kioo cha nyuma kwa kutumia maji sabuni ya unga na mchanga kidogo ili kuondoa magundi yaliyong'ang'ania mara...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Mzuqa, Yani binadamu hapana. Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari...
15 Reactions
152 Replies
18K Views
Naomba kujua wenye uzoefu, kuna Audi nimeipenda, kwa $12000 ukijumlisha na ushuru na mambo mengine itakuwa shilingi ngapi approximately?
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamani mnaojua kuhusu hili gari nijuzeni...kuna jamaa yangu anataka niuzia. Ila kabla sijafanya nae biashara nimeona nije huku mnipe siri ya hili gari.. Je,matumizi yake ya mafuta vip? spea zake...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Mafundi na wenye magari naomba kueleweshwa tatizo la gari langu. Asubuhi nimeamka kwa ajili ya kwenda Kanisani, baada ya kushusha handbrakes na kuanza kuondoka, tairi la upande wa kulia nyumba...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna sehemu Facebook nimeona thread ya jamaa anajita mtaalamu wa magari anajinadi eti ni bora tukaachana na vibaby walker tujikite kwenye crown jini mla mafuta, binafsi ametoa chai nyingi, je hii...
5 Reactions
24 Replies
11K Views
habari wadau naomba watu wenye kufahamu ubora wa Toyota Vanguard yenye 7 seats ambayo ni 4WD na isiyo 4WD, ipi ni bora kwenye shughuli za kila siku hapa DSM na kusafiri mikoani Arusha , Moro, Mbeya.
2 Reactions
5 Replies
11K Views
Wana member MSAADA NATAKA kununua Motor sijajua hizi za kichina zipi nzuri. Ana SIZE NA SPEED GANI ifungwe kwenye kinu SIZE 75 Cha kusaga na kukoboa ROLA tatu. Kiwanda kitasaga na kuuza unga na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu Kwa hizo mileage ambazo gari imetembea kama inavyoonyesha hapo 209,000 cash bila kupepesa macho ikiwa Japan kwa Bongo naweza kuendelea kuitumia tena kwa kipindi kirefu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari kwa mafundi, kupaka upya rangi gari km hii hapa kwa dar inaweza kuwa bei gani. nataka iwe black metallic. Haina mikwaruzo kivile cha muhimu rangi bei yake inaweza kuwa bei gani Itakuwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari, Huwa kuna kipindi shirika la unhcr huuza magari yao yaliyoshatumika.Kwa anayejua, sio anayedhani, anayejua, gari km hii hap iliyoshatumika unaweza pata kwa bei gani?
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Ni kitu gani dereva anatakiwa kufanya cha haraka endapo chombo chako cha usafiri utagongwa na gari jingine na sehemu ambayo huwezi kupata msaada wa traffic kupima ajali? Ni kitu gani natakiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa kilivyo, Nilinunua battery ya gari March 2019, leo imekufa narurisha dukani , wanagoma kunibadilishia wakidai ilitakiwa ninunue battery kubwa zaidi kwa ajili ya hiyo gari...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Polen na mihangaiko ya maisha, katika kujipanga kimaisha kuwa na gari or kuwa na ndoto ya kumiliki gari ni muhimu coz inaturahishia mishe zetu mjini, nime make tuela kangu, sasa sijui ipi nichukue...
0 Reactions
29 Replies
10K Views
Salaamu wadau, Nimepita Alibaba site nimeona Rims za gari ambazo bei ni nafuu sana ukilinganisha na wauzaji wa hapa ambazo ni ghali sana. Naomba kujua gharama za kodi, kwa wallio wahi kuagiza...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wakuu, Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama, ningependa kujua uzoefu wenu kama zipo sawa mana nadhani mnajua hapa mjini...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wadau wenye utaalamu na masuara ya Aviation naombeni mnisaidie hapa. Je, pale inapotokea hitilafu na ndege ipo angani na same time kwamba may be Pilot anajua kwamba hii inaenda kutokea ajali...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Cheki Mercedes Benz SLS AMG walichokifanya kwenye tunnel road!
3 Reactions
42 Replies
9K Views
KIMOMWEMOTORS Mkuu nataka kuagiza toyota crown royal saloon ya mwaka 2008, cc 2500 na mileage kama km 115000. Mpaka unanikabidhi nitenge Tshs ngapi?
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Mwenye uelewa zaidi wa Starlet (Carat model 1999, 4E-FE engine) naomba anijuze uimara na upatikanaji wa spares nisije kupoteza pesa zangu.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom