JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habar wanajamvi. Naomba nisaidiwe fuel consumption ya hybrid harrier na inayotumia engine gani ndio nzuri kwa economy life. Ahasnteni
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimejichangachanga nataka moja kati ya hizo, kwa anayezifahamu, ni ipi nzuri kuanzia muonekano, uimara mpaka perfomance.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wakuu? Kuna gari nimeagiza litafika bandarini Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi huu, nimeangalia gharama ya kodi (TRA) itakuwa kwenye 7.1M Tsh. Sasa nataka kujua gharama zingine ni zipi...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wakuu naomba ushauri nataka kuweka bench gx 100 Maana inakunywa mafuta sana. Naomba anayejua utaratibu na ikibidi anipe calculation za kuagiza gari ushuru bandarini na TRA. Naagiza gari...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nina Rav 4 ile nafanana na Vanguard shida yake moja, haina comfortable kwenye mashimo. Yaani ukiendesa barabarani hata shimo dogo tu utasikia inadunda. Je ukifananania na Vanguard kuna tofauti...
1 Reactions
38 Replies
8K Views
Habari wadau, Nina kagari kangu Suzuki kei CC650, pia kana turbo. Tatizo lake kubwa ni kwenye mlima kanaishiwa nguvu kabisa. Naomba ushauri wenu kabla sijaenda kwa hawa mafundi pasua kichwa.
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Jamani wadau, wauzaji gani wanaweza kuniuzia bodaboda kwa mkopo nilipe awamu mbili au tatu. Aina yoyote iwe Tvs iwe Haoujue au Fekon sawa tu. Shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Kuna mtu anataka kujifunza kuendesha pikipiki yupo Ubungo Riverside ana shida sana yaani. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kulingana na hali ya maisha kuzidi kuwa tight mtaani, nimeamua kujipanga kutafuta fedha nikaongeze fani, Nimepanga kusomea udereva wakuu lakini naombeni kwa wenye ufahamu mnisaidie kidogo, Mimi...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Magari haya huwa na muda wa kutumia , kama tulivyo binadamu ? utafiti ulifanywa mara nyingi na kutoa siri kuwa makampuni mengi hujua mwisho gari lako, hutokana na ufahamu wa materio wanayo tumia...
2 Reactions
41 Replies
8K Views
Jana ilikuwa siku mbaya kwangu baada ya mtoto wa jirani kufanya hii kazi hapo juu. Naomba clue kwa anaefahamu bei ya windscreen kwa sasa ni Tsh. ngapi maana tuko kwenye negotiation na mzazi wake...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakubwa nauliza upo uwezekano wa kupata gari dogo tu la kutembelea toka JAPAN kwa tsh milioni 5 pamoja na ushuru wa TRA
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari wana jf, Nina swali hivi ukitaka kupata Leseni ya gari Class C kwa mtu ambae hana hata leseni yaani akaenda tu veta na moja kwa moja akapata leseni class C kwasababu nasikia mpaka usubiri...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari za mchana wadau naomba kujua bei za pikipiki zile ndogo jina lake nahisi kwa kiingereza ni escootor. Je huuzwa bei gani? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu. Naomba kujuzwa utofauti wa injini tajwa hapo juu kwenye hiyo gari. Nb: Nataka kununua RAV4, ila sina uwelewa wowote ule na mambo ya magari. SASA NAAMBIWA MARA INJINI HII NI D4 au...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba mnisaidie au mnipe ushauri kati ya gari hizo mbili ni nunue IPI? In term ya mwonekakano etc
2 Reactions
111 Replies
22K Views
Toyota Caldina au Fielder 1800 cc imetumika nchini muda mchache inahitajika. Budget mil 9! Ni contact via Whatsapp 0767525764
0 Reactions
2 Replies
3K Views
JF ndio kisima cha majibu, ndio Tanzania, ndio dunia. Hapajawahi kuniangusha humu. Naomba mwaka huu wadau wenye masihara wafanye kubadilika. Kipindi cha kazi na umakini. Niulize hivi ukiuziwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahitaji gari moja kati ya hizo , iwe imesajiliwa hivi karibuni ofa yangu ni m9 Nicheki watsapp 0767525764
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…