JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari! ndugu zangu wenye magari mabovu tupeane faraja, ushauri na motisha wa namna ya kuishi nayo ingawa yanatupasua vichwa! Uzii huu ni rasmi kwetu wenye magari yaliyo na changamoto! Nyie wenye...
9 Reactions
48 Replies
5K Views
Majuzi nilipata mchongo wa kwenda US -Chicago. Wenyeji wakanikatia tiketi KLM aisee mzinga wa ndege. niwe mkweli Sijawahi kupanda ndege Kama ile. Japo enzi za fastjet niliwahi kwenda Dar na kurudi...
28 Reactions
166 Replies
15K Views
Habari zenu ndugu zangu,naomba kwa watumiaji wapikipiki hasa BOXER msaada wenu wa fundi au mahali ninapoweza peleka pikipiki yangu ikafanyiwa mbwembwe ikawa na muonekano mpya kabisa. Nakutana na...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar......,!! Sisi ni Mkandarasi kwa upande wa Umeme na mitambo(Mechanical). Pia nina fanya Biashara za kuuza na kununua Generator and Air compressor pamoja na Spare part zake. Nina Generator za...
2 Reactions
19 Replies
411 Views
Msaada Wadau, Haka Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida na Nikiwasha AC ndio kabisa linatetemeka hadi Viti vinatataka...
3 Reactions
26 Replies
797 Views
SCANIA 124 G hizi zilikuja chache sana. MOja nilikuwa nayo mimi tank.. Nyingine alikuwa nayo MArehemu Steven Mchupa nayo Tank, Tunasafiri kupeleka mafuta Geita......Lami Dar mpaka Dodoma kibao cha...
12 Reactions
50 Replies
2K Views
NI vyema kupima oil ya GARI lako kabla ya kuanza safari. Na muda mzuri wa kupima oil nI pale gari lako linapokuwa limepaki kwa muda kufikia oil yote kushuka na kupoa hasa asubuhi unapoamka kwa...
5 Reactions
12 Replies
854 Views
Wajapan wanakaza sana kwenda EV, na Suzuki hajawahi kutuletea EV sasa amebanwa imebidi atuletee eVitara. Ni small SUV itakayokuja na battery tofauti tofauti na ndogo kabisa itakua ni 49kWh...
8 Reactions
8 Replies
480 Views
Habari wadau! Mimi ni transport Manager wa shule moja hapa nchini,tunahitaji Magari mengi madogo na makwa kwajili ya kubeba wanafunzi. Swali langu kati ya hizi nchi mbili wapi nitapata Magari...
7 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakali wa pikipiki kutoka Japan, Honda, wametuletea wadau wa pikipiki EV mbili, moja inaitwa EV Fun na nyingine EV Urban. EV Urban itawahusu wale wapenzi wa scooter za kuzunguka nazo mjini au...
3 Reactions
12 Replies
415 Views
Omba MUNGU upite eneo hili kama hakuna foleni ya malori, hapa utashuhudia madereva wa crown, Brevis, Mark X, Subaru, Alteza wakitunisha misuli dhidi ya V8. Hapa nakumbuka mwaka Juzi kuna...
5 Reactions
10 Replies
493 Views
Sorry kwa quality ndogo ya video hiyo picha mjongeo iliyoambatanishwa hapo chini sio Japan hapo ni Bandari ya Dar es salaam Tanzania
2 Reactions
7 Replies
328 Views
Nina mpango wa kununua gari aina ya Pich Up used. Hivyo naomba kujua kati ya Toyota na Nissani ipi ni bora in terms of Bei, uimara, service na matumizi ya mafuta. Asanteni.
7 Reactions
42 Replies
7K Views
Hii ni suzuki escudo old model 1995 mwanzo ilikuwa inakula mafuta kawaida sana ila baada ya muda ikaanza kutumia mafuta sana, yaani mafuta ya sh 5000 hayamalizi hata kilomita 10. Kuna mtu...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Naomba tujuzane lolote unalolijua au ulilowahi kusikia kuhusu hii gari anaina ya toyota rush ama liwe positive ama negative
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini. Sipo hapa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki...
31 Reactions
210 Replies
12K Views
Wakuu misaada wa mawazo...nina boxer 150 .. asubuhi inachelewa kuwaka na pia nikipaka masaa kuanzia mawili haiwaki haraka shida ni nini wakuu??
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari ndugu wana jamii forum, gari yangu aina ya nissan duals nmebadili plug juz tu,ila naona utofauti baada ya kubadili kwan gari kuna saa kama inashtukashtuka hivi kitu ambacho mwanzo...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Natafuta mtu anifundishe bodaboda awe na bodaboda yake
7 Reactions
27 Replies
716 Views
Back
Top Bottom