JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI Gari ninayotumia ni Chaser GX100. Nimesafiri nayo kutoka Dar kuja Iringa na ninatarajia kuitumia kurudi Dar. Imetokea ghafla steering imekuwa...
0 Reactions
227 Replies
69K Views
Wataalam naombeni msaada (ufafanuzi), Nina Noah sr40 nimegundua Mara ninapo-switch overdrive on taa haizimi Kama ilivyo kawaida ya gari ikiwa katika overdrive mode (gear) badala yake taa inawaka...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Bila shaka mko poa, Kufuatia mapokezi ya mgeni mjini usajili wa namba "E" kuna wamiliki wa namba za nyuma hususani "D" ambao kwa namna moja au nyengine mngependa kuuza gari zenu kwa ajili ya...
14 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu. Mapenzi ya Watanzania kwa SUV pendwa Mazda CX-5 yanazidi kujionesha kwa Mtandao maarufu wa kuingiza Magari kutoka Japan kuiweka katika magari 10 yanayoingizwa sana Tanzania na kushika...
27 Reactions
176 Replies
22K Views
Ile gari baada ya kuwaposted ika draw tension ya wapiga kura Maana ilikua chuma ya kitofauti sana. na as Samatime Magari tukaona sio vyema tukawaacha wapiga kura hivi hivi na kiu ya kuijua so...
16 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu nina Toyota IST nataka nibadilishe tairi kitoka 195/60R16 kwenda kwenye size kubwa kidogo ambayo itafiti kwenye gari. Nimeona baadhi ya IST wameweka tairi ya size tofauti na zinazokuja...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Salam, Mwenye kuijua gari pendwa BMW X5. Nataka kulipuka na huyu Mjerumani Ila Sina details zaidi ya bei
6 Reactions
44 Replies
8K Views
Je, kuna uhaba wa magari Japan? especially zike za mizigo na na za abiria?
5 Reactions
42 Replies
3K Views
Je, kuna utofauti wa bei za magari haya huko dukani? Kati ya Toyota Crown loyal family na Toyota Crown Athlete? Na je mifumo yake jinsi yalivyoundwa yana utofauti kati ya species hizi za gari...
3 Reactions
96 Replies
17K Views
Habari wadau, naomba kuuliza, ni ipi kati ya Mark X 2007 na Crown Athlete 2007 yenye fuel economy kuliko nyenzake? Nafaham zote zina zinatumia engine ya 4GR japo kwa Mark X Kuna pia 2GR na 3GR...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Wadau naomba msaada wa kuelekezwa mahali ninapoweza kupata spear za pikipiki hii hapa . Ndani ya Mwanza. Ninahitaji piston na block
1 Reactions
1 Replies
284 Views
Xpeng Mona Mo3 ni compact electric sedan, ilioletwa kwa wapenzi wa sedan ambao hawawezi kuafford Tesla Model 3 ambayo ni mara 2 zaidi kwa bei. Design yake imefocus zaidi kwenye aerodynamics...
12 Reactions
22 Replies
6K Views
Habarini na poleni na majukumu, Ninaomba msaada/ Ushauri juu ya Tatizo la gari langu (Nissan X- trail) nimetumia hili gari zaidi ya miaka 6, shida ilijitokeza kwenye Engine nikafanya uamuzi wa...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Nataka kupiga chini Toyota naomba ushauri kati ya vyuma viwili hapo juu kwa vigezo vya Reliability performance Handling Longetivity Thanks
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Gari hula mafuta zaidi likiwa laenda polepole au haraka? Wengi husema gari likienda mbio kweli halili mafuta kiviiile! Je, ni kweli?
5 Reactions
25 Replies
5K Views
Wakuu habari za wakati huu!. Naomba mwenye kufahamu ni wapi naweza pata control box ya hii gari. Kuna moja nilipata kwa mtu kutoka kenya, imefungwa lakini haipigi ress kabisa.
1 Reactions
9 Replies
362 Views
Habarini wana jamvi, Ninahitaji mark x au brevis kwa bajeti ya milion 7 hadi 10 kutokana na ubora na model itakayopatikana. Tafadhali, mimi ni mzoefu wa magari hivyo ukija na deal ni bora uwe...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Nahitaji kununua Gari Wanaoijua Subaru Impreza ya kuanzia 2012 Cc 2000 GP 7 Naomba nijui services,fuel comsuption,spares Naombeni ushauri🙏
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauliza tu mliokuwepo kwenye msafara wa land Rover Arusha, hii gari one zero namini ilikuwepo gari Moja imara sana, ila lazima uwe fundi ikutumia hii gari nauliza ili mwakani nitoe juu ya mawe...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
FJ Cruiser gari moja ya kibabe sana, walianza nayo tokea 2007 uko ila wakaipotezea hadi leo hawajawahi tuletea 2nd generation. Sasa inakuja. Ingawa bado ni rummors ila picha zimeanza kuonekana...
6 Reactions
3 Replies
300 Views
Back
Top Bottom