JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Let us all stay tuned! Arusha Region is an iconic Tanzania Tourist attraction City in Africa which is located about 350 kilometers to The famous Serengeti National Park. The Regional Authority...
4 Reactions
64 Replies
4K Views
Paris Motor Show ni moja ya maonyesho makongwe ya magari (tokea mwaka 1898) yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, ambapo makampuni mbalimbali ya magari yanaonesha magari yao mapya, concepts...
1 Reactions
11 Replies
513 Views
Wakuu wazima humu, naomba ushauri wa kitaalam kwenye gari hii diesel model. Kuhusu ubora na changamoto zake
6 Reactions
75 Replies
6K Views
Jamani Nina shida na gari Nissan Serena. Anayeuza yake anistie PM. Nina sh 5M
1 Reactions
17 Replies
494 Views
Nataka kununua Mitsubishi outlander wadau naulizia fuel consuption yake lita1 inakwenda km Ngapi ..navip outlander kuanzia ya mwaka upi nichuke na yenye specification zipi ndio Bora zaid
4 Reactions
9 Replies
442 Views
Tesla wametoka kutangaza robotaxi zao Cybercab na Cybervan juzi, Sasa Baidu nao kutoka China wamejibu kwa kutukumbusha kua wapo hewani na wameongeza gari lao jipya lenye full autonomous self...
7 Reactions
24 Replies
775 Views
Kwenye Tesla event ya tar 10 mwezi October California iliyopewa jina la “We Robot”, Elon Musk, CEO wa Tesla, amezindua magari ya kukodi yanayojiendesha yenyewe, Cybercab na Robovan. Cybercab ni...
24 Reactions
54 Replies
1K Views
Baadhi ya picha za interior ya magari ya miaka ya 1924. Na chini interior ya magari mengi ya huu mwaka 2024. Tofauti ya miaka 100 sio mchezo.
9 Reactions
9 Replies
559 Views
Bwana Elon Musk amezindua Magari yake mapya ya Cybercap na Robovan/Robobus. Haya magari yana muonekano wa ajabu ajabu na wa kutisha lakini sio muda tutaanza kuyaona barabarani yakikatiza...
6 Reactions
21 Replies
829 Views
Baada ya kimya na ahadi za muda mrefu za CEO wa Tesla, Elon Musk, finally ile siku imewadia. Ni tarehe 10 October, ambapo billionaire uyo atafanya uzinduzi wa huduma na bidhaa mbalimbali kutoka...
2 Reactions
2 Replies
253 Views
Honda nao hawajachelewa party ya EV, tushaona Honda Prologue, N-VAN e na Ye Series EV, sasa wameleta all new 0 Series Saloon. Kwa sasa wameitangaza tu prototype, mass production haijaanza ila...
3 Reactions
2 Replies
259 Views
Ambao mmewahi kusafiri humu, hivi ukitaka kununua kitu kwa winga Dirishani unafanyeje? Wale wenye uroho na walafi wa Kulakula hovyo wananunuaje mayai,karanga,mahindi na maembe? Au abiria wa haya...
20 Reactions
22 Replies
1K Views
Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki. NB: Kupenda...
35 Reactions
105 Replies
5K Views
Wataalam za wakati huu.. Kijana wenu hapa nayependa Road trip but kwa pikipiki, last time nilisafiri na pikipiki cc110 kutoka Dar to Dodoma (kwenda na kurudi) pia nikasafiri tena toka Dar to...
11 Reactions
38 Replies
2K Views
Dereva anataka kuingia barabarani toka barabara ndogo, au kukatisha barabara kuingia kulia, na wewe hutaki kumruhusu au kusimama ili aingie au kukatisha barabara. Unaruhusiwa kuingia barabarani au...
9 Reactions
35 Replies
965 Views
Juzi nilikuwa na kazi moja kwenye maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Arusha siku nzima. Sasa, kutokana na msongamano unaotokana na ongezeko kubwa la magari ilibidi nijipe dual-work na kufanya...
5 Reactions
14 Replies
719 Views
Naombeni msaada. Nimenunua Voxy first generation engine ya 1az fse wengine wanaiita D4. Inakula mafuta balaa. 1 litre kwa 3km. Na kwenye mlima haina nguvu kabisa hada ukiwa na watu. labda...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Usishangae kuhusu utambulisho huu. Mimi sasa ni ASE Certified Service Consultant wa magari madogo yanayotumia petroli hasa ya Ford, GM, na Chrysler. Nimepata license yangu hivi majuzi tu mwaka...
59 Reactions
1K Replies
253K Views
Geely Auto wamezindua Geome EV hatchback itakayokuja katika series mbili na trims tano, kuanzia bei ya $9,900 hadi $14,000 na zikiwa na CLTC range ya kilometa 310 hadi 410. Tukianza na ya 310...
2 Reactions
3 Replies
187 Views
Watu wa mabasi bwana. Wao concept ya AC ni baridi. Usiku wa manane anapigwa 15 degrees. Halafu unaambiwa hii full AC.😀
2 Reactions
8 Replies
359 Views
Back
Top Bottom