JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
  • Poll Poll
Wakuu. Bila kupepesa macho, kuna izi hybrid mbili kutoka Japan (Toyota Prius na Honda Insight) ambazo zinafanana na kutofautiana mambo mengi sana. Kwa kuanza zote naomba tutumie za mwaka...
6 Reactions
2 Replies
594 Views
Hivi karibun kumeibuka wimbi la watu wengi wakiuza gari hii kwa gharama ya chini sana na baadhi ya watu wakiogopa kununua na wamiliki nao wakiwa wanayachukia magari yao. NISSAN X TRAIL Ina...
10 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimepata fedha kidogo nina option mbili za kupata moja ya haya magari, naomba wenye kujua wanishauri nichukue ipi na kwa sababu gani. Ulaji wa mafuta, Spare n.k Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kampuni mbili kutoka Japan, Sony na Honda, wameungana kutengeneza joint venture inayoitwa Sony Honda Mobility kwaajili ya kutengeneza magari ya umeme (EV) yatakayoenda kwa jina la AFEELA. Chuma...
15 Reactions
34 Replies
1K Views
Jamani nimenunua Mitsubishi Pajero iO ina kama miezi kumi tu, lakini imeanza kusumbua hasa misi zimekua nyingi na wakati mwingine inanizimikia kwenye foleni hapa mjini. Nimejaribu mara kadhaa...
0 Reactions
59 Replies
16K Views
Habari wakuu wa JF, Nimeona niandike uzi huu pengine kuna namna wahusika watarekebisha mazingira yao ya kazi kwa wateja. Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali kwanini garage nyingi ni...
2 Reactions
21 Replies
621 Views
Nakumbuka hapo cha miaka ya 2013 niliwahi kuwa kwenye foleni ya barabara ndogo tunasubiri kuingia barabara kuu , Ghafla nikahisi kishindo kizito kwenye buti, kuagalia nyuma ni gari aina ya mark 2...
6 Reactions
18 Replies
796 Views
Wakuu, kuna siku tulidiscuss kuhusu mashindano ya magari ya Formula One. Madereva wa Formula 1, ni "Marubani" wa Jet za ardhini Leo tungejaribu kugusia kidogo kuhusu mashindano ya pikipiki...
23 Reactions
62 Replies
1K Views
Tuachane na BMW kuuzwa cheap kuliko IST, tuongelee huyu Dalali wnavyoiita hii 3 Series. Si angesoma ata nyuma tu hapo.
8 Reactions
13 Replies
676 Views
McLaren Automotive jana tarehe 06 October wametangaza chuma yao mpya McLaren W1 wameipa codename P18. Hii Plugin-hybrid itaanza kuuzwa mwakani 2025 na ndio itakayowarithi wakongwe P1 na F1...
4 Reactions
14 Replies
422 Views
Ukiwa na Dualis usihesabu una gari wewe jua una chanzo cha moto. Leo saa 9 usiku imewaka maeneo ya Kimara Kibo Visa vya Dualis kuwaka vimekuwa vingi sana ikichanganyikiwa inawaka popote
8 Reactions
69 Replies
3K Views
Hii ni Crossover SUV, Tena ni subcompact Luxury cross over kutoka BMW, Yani Baba Mama Watoto walitaka kupata SUV ndogo na luxury inayotumia mafuta vizuri ndo X1 akazaliwa, saa andaa kifungua...
16 Reactions
83 Replies
10K Views
Wakuu. Gearbox oil almaarufu Automatic Transmission Fluid (ATF) inatakiwa ibadirishwe au? Maana wenyewe watengenezaji wanasema tusibadirishe, ila fundi Juma anasema ibadirishwe. We...
3 Reactions
17 Replies
573 Views
Iwe Tanzania na Duniani, tumezoea kuona msanii fulani amenunua gari fulani la kifahari. Magari mengi ya kifahari hayapo practical kwa matumizi ya kila siku. Sasa hapa ndio daily driver cars...
36 Reactions
114 Replies
3K Views
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wote na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Nipo mbele yenu kuwaomba ushauri, nahitaji kununua gari mojawapo kati ya Toyota Premio na ist. Najua humu wapo...
12 Reactions
151 Replies
27K Views
Swali linajieleza, je waendesha pikipiki tumefikia wangapi?
2 Reactions
38 Replies
1K Views
Kuna gari 1zz engine vvti inatoa mlio ambao unaonekana ni kama unatoka ndani ya engine na sio nje kwenye mkanda, tensioner imenunuliwa mpya, vvti sensor inaonekana iko vizuri tumetoa chujio,Timing...
0 Reactions
4 Replies
342 Views
Wadau, kama nilivyosema hapo juu. Mimi ni kabwela tu hapa mjini "Common Man". Kipato kinategemeana na kupanda na kushuka kwa thamani ya dola. Sasa nimewaza, kutungua kitu show room siwezi. Kumvua...
12 Reactions
40 Replies
3K Views
Habari wana jamvi, Naomba kwa wenye ujuzi na uzoefu wa magari tusaidiane mawazo. Toyota vanguard inachanganya maji na oil. Kabla ya kufikia hatua hii ilikua inakula oil sana, kabla ya kilomita...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Back
Top Bottom