JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari Bandungu.! Nafakiria kuvuta hii chuma hivi karibuni, ila kabla sijavuta naombeni experience kwa ambao tayari wamezitumia kuhusu realibility, stability handling na fuel consumption...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari ndugu wana jamii forum, Nimejikongoja kidogo nimenunua Nissan Duals naombeni ushauri kuhusu mafundi wazuri maana hii gari naipenda sana japo watu wanadai ina changamoto nyingi ila kwa...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Wakuu hivi Crown ni gari ya ndoto za vijana wengi Bongo? Tupia maoni yako hapo?
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Wakuu naomba ushauri wa family car nzuri yenye wastani wa sifa zifuatazo: 1. Seating capacity from 7 packs 2. Fuels economy I.e. engine capacity less than 2000cc 3. Super body appearance 4. Suv...
5 Reactions
93 Replies
8K Views
Hawa Wachina wamevurugwa. Changan Auto wamekuja na Nevo E07 ambayo ni shapeshifter kama kwenye movie, ikimaanisha inaweza kua SUV na ukiamua kwa button moja tu inageuka inakua Pickup truck. Hii...
8 Reactions
3 Replies
358 Views
Habari wadau, Mimi bhana nataka ninunue iyo gari na bajeti yangu ni 18M je show room naweza nikaipata kwa bei iyo mana Crown athelet yangu nimeiuza jana 13M sasa nimeongezea hapo 5M nataka iyo...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu habari ya muda huu, Nimekuja mbele yenu nipate ushauri na mapendekezo zaidi kuhusiana na gari aina ya Suzuki Escudo old model. Mimi napiga sana mihangaiko ya vijijini mashambani ambako ni...
7 Reactions
75 Replies
7K Views
Habari za muda huu nilikua nauliza taa hii kwenye nissan dualis in maama gani
2 Reactions
11 Replies
993 Views
Cherry kutoka china wametangaza SUV yao iitwayo Tiggo 7 ambayo itaingia sokoni kuanzia mwakani 2025. Kinachovutia zaidi sio SUV, bali ni jinsi ilivyofanana na Range Rover Evoque. Inakuja na...
32 Reactions
84 Replies
3K Views
Mfano hiyo hapo juu ni actual mileage inayonekana kwenye gari. Hii ni mileage inayoonekana kwenye website ya EAA. Gari imeshushwa 120,000Km sasa hiyo ina uafadhali ila zipo ambazo ni worst...
36 Reactions
58 Replies
3K Views
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile...
55 Reactions
450 Replies
41K Views
Ford, wametoa Explorer EV ambayo ni SUV yenye siti 5. Kwa kutumia MEB EV platformya Volkswagen, hii SUV ina uwezo wa kuchajiwa kutoka 10% hadi 80% kwa dakika 25 tu. Kwa single charge, inaweza...
7 Reactions
12 Replies
732 Views
Habari wakuu,nina gari yangu Mark x nikiwa naweka gia ya P au N inazima Tatizo linaweza kuwa ni nini kabla sijaenda kwa fundi nipate idea kidogo, nipo Dodoma
2 Reactions
1 Replies
415 Views
Nataka kununua, toyota carina ti mkononi kwa mtu, naomba ushauri kwa wazoefu wa magari/engine, juu ya 1. Uimara wa gari 2. Upatikanaji wa spare 3. Ulaji mafuta 4. Bei za spare kuwa juu au kawaida...
7 Reactions
22 Replies
6K Views
Wakuu njia yangu ina rafu rodi kama km 7 baada ya hapo ni lami safi, kipato changu cha kawaida, safari yangu kwenda na kurudi home ni km 110, kati ya hizo, Corona,Carina Ti na Allex nichukue ipi...
6 Reactions
57 Replies
7K Views
Hii ndio habari ya mjini Kwa wale wapenda magari mazuri Hizi ni gari shindani kwa sababu zote zipo kundi moja la COMPACT SUV. Zinafanana sifa katika utendaji kama vile: 1. Ukubwa wa umbo 2...
8 Reactions
50 Replies
9K Views
Kati ya hizi gari ipi ni nzuri na Bora Kwa mizunguko ya hapa mjini.
0 Reactions
3 Replies
739 Views
Naombeni msaada mwenye uzoefu au ufahamu wa hayo magari matatu lipi ni bora katika vipengele vya 1. Utumiaji mafuta 2. uimara 3. Speed 4. Kupatikana vipuri 5. Ukisasa zaidi 6. Mwonekano mzuri. 7...
5 Reactions
45 Replies
5K Views
Watengenezaji wakubwa wa battery za magari ya umeme CATL jana (tar 13 Sept) wamezindua battery Tectrans Bus Edition kwaajili ya mabasi ya umeme yenye lifespan ya miaka 15 au Kilometa Mil 1.5 na...
8 Reactions
16 Replies
576 Views
Back
Top Bottom