JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
IT, hili neno linaweza kuwa na maana nyingi lakini hapa nataka kumaanisha IN TRANSIT kwa maana ya zile gari zinazopelekwa nchi za jirani kupitia bandari yetu ya Dar es salaam nk. Hizi gari...
6 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakuu nimejipata nataka nichukue usafiri kati ya Nissan xtrail ya 2012 au 2010 Subaru Forester (isio na turbo). Msaada wa uimara, spea, mafuta, re-sale value
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Isizidi miaka 3 Budget Maintainance Kodi Utaenda na ipi kati ya hizo? na kwa nini
6 Reactions
41 Replies
4K Views
Nina gari aina ya Noah new shape injin ya 1az.. Sasa limekua likisumbua miss muda mrefu hatimaye limebadilishwa vitu kabao hadi Sasa bado halijaaa sawa... Shida ya sasa ni kwamba asubuhi...
2 Reactions
80 Replies
13K Views
Habari wana JF, swali langu linalenga watumiaji wa vyombo vya moto. Je, ni kweli mafuta machafu yapo kwenye baadhi ya vituo vya mafuta au ni uzushi tuu? Na kama ni kweli kuna mathara gani...
6 Reactions
17 Replies
722 Views
Leo nimeanza kujichanga ninunue Dualis nissan. Siwezi sema kiasi gan naitamani hii gari ila mjue tu nikiiona akili yangu huwa inataka kuweuka. Mimi sina gari, Sijui kuendesha ( siyo 0 kabisa...
12 Reactions
142 Replies
12K Views
Wakuu habari za Jumapili!? Kuna kahela nimepata kidogo nataka kuagiza gari. Baada ya kufikiria kwa muda mrefu nimetamani gari mbili tu; Subaru Forester au Honda Crossroad. Wataalam wa magari...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Ipi ni the best engine hapo?
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu mara ya mwisho mwezi wa 8 tarehe 24. Nimebadili oil zote mbili pamoja na ile ya transmission. Pamoja na spark plug fundi alitaka ziwekwe mpya. Then leo tena muda huu gari imeanza tena kutoa...
3 Reactions
4 Replies
503 Views
Mwenyekiti wa Toyota, Akio Toyoda ameomba radhi leo Jumatatu kwa udanganyifu mkubwa katika majaribio ya uidhinishaji wa modeli saba za magari huku kampuni hiyo ikisimamisha utengenezaji wa matatu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari Wana jamii Forums.. samahani nilikuwa nahitaji kujua changamoto ya hizi pikipiki ndogo maarufu kama 110 zipi? Upande wa spea na ubora wa pikipiki zenyewe kwa sababu sijawahi kumiliki...
1 Reactions
17 Replies
902 Views
NCP65 1490cc Model 2005 AWD Full tank inatembea maximum 370km to 350km Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji...
2 Reactions
26 Replies
9K Views
Hawa jamaa hadi wana kera! Ona hii hapa Tesla Model Y vs Nio Onvo L60. Hapo kwa mbele, ukitoa logo unaweza usijue ipi Tesla ipi Nio. Hadi kaa nyuma, wametembea na beat. Hadi ndani aisee ...
1 Reactions
1 Replies
211 Views
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza swali langu ni hasa ni nini tofauti ya Landcruiser vx na Landcruiser GX magari haya hujulikana kwa jina la shangingi. Na je, huwa yana utofauti wowote wa...
7 Reactions
113 Replies
21K Views
Nataka kununua pikipiki used na mimi niwe boda lakini kila kona naona hizi mali zinauzwa sana. Vipi wajuzi hivi zina changamoto sana labda..ushauri
1 Reactions
16 Replies
692 Views
Kama ilivyo kwa kila wapenzi wa magari huwa na ndoto ya kumiliki gari ya ndoto yake, kwa kweli kuna mnyama anaitwa Jeep Trackhawk, huyu mnyama ni SUV lakini usilinganishe na upuuzi kama...
14 Reactions
45 Replies
8K Views
Nmesikia kuna watu wanafanya hii kitu. Naomba kufahamu faida na hasara zake kwenye gari.
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Kufuru nyingine leo katoa Iriza new model ine ukitaka tamko nne au 4 ambazo kwa bei ya sokoni billion tatu na milion mia sita sawa na YUTONG 20 Leo Morogoro road ilikuwa ni kelele za mahoni...
30 Reactions
156 Replies
7K Views
Toyota Crown Athlete fuel consumption experience. Mwenye nayo share hapa. Toyota Crown Athlete Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
139 Replies
56K Views
Sekta ya usafirishaji wa mizigo kwa kutumia magari (malori) ni muhimu sana hapa nchini na duniani kwa ujumla. Magari ya mizigo yanafika jirani zaidi na mlaji wa mwisho au sokoni ambako meli, reli...
17 Reactions
156 Replies
29K Views
Back
Top Bottom