JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ndio, haujakosea kusoma. Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San...
31 Reactions
95 Replies
2K Views
Mwenye uzoefu na hii gari kuna jamaangu anataka achukue kuna website ameikuta moja kilakitu inakuja mil 16. Naomba uzoefu niwasilishe
2 Reactions
13 Replies
370 Views
Wakuu, Naona mzigo unazido kushuka tu. Tukilinganisha na mwezi uliopita: Tuombee hivi hivi..
2 Reactions
20 Replies
604 Views
Kwa wale ambao huwa mnapita maeneo ya magereji kama vile Tandale, Mwananyamala, Ilala na Kko bila shaka umeshawahi kuwaona watu wakipita na baiskeli au mikokoteni wakikusanya Madumu/ Chupa za oil...
1 Reactions
4 Replies
552 Views
1- Hakikisha vitu vyako ulivyoacha ndani ya gari: - USB flash, Charger, hela, na vitu vingine vidogovidogo ni vyema ukavitia ktk mfuko maalumu ukashuka navyo. Huwa si rahisi kubaini kama...
40 Reactions
153 Replies
7K Views
Wakuu habari ya jumapili,nataka kuchukua hiyo chuma kutokana na muonekano wake comfortability, pia fuel consumption ipo vzuri. Ushauri: nmekuta malalamiko sehemu baadhi ya hzo gari mara dpf, pipe...
0 Reactions
18 Replies
746 Views
Wakuu, vipi subaru impreza katika matumizi. Ulaji wa mafuta, uvumilivu katika matumizi, upatikanaji wake wa spea na gharama zake za spea. Je, ni gari ya kumiliki kwa wale wenye vipato vya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Mnaonunua hili gari mmeangalia mazingira halisi ya hapa kwetu Tanzania? Gari ipo chini sana pia ni gari ambayo mafuta yanaenda mengi sana sijui kuhusu spare zake kama ni rahisi kuzipata hapa...
3 Reactions
59 Replies
8K Views
Kutambua size ya tairi ya gari yako ni rahisi. Unaweza kupata habari hii kwenye ukuta wa tairi yako, Maelezo haya yanaorodhesha ukubwa na vipimo vya tairi lako, pamoja na kuhakikisha inatii...
3 Reactions
0 Replies
633 Views
Heshima kwenu wakuu. Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba) Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya...
56 Reactions
414 Replies
69K Views
Huu mzinga wa pipa daah! Abiria 615 wanakaa humo. Yaan mwarabu (Dubai kwenye jangwa aliyeanza na ndege 1 miaka ya 1980s) anamiliki hizi ndege 119 na Boeing 777 (ndege 123) SWALA na KAZI tofauti...
12 Reactions
92 Replies
6K Views
Habari za wakati huu naomba kuuliza kwa yeyote ambaye anajua au analitumia gari aina ya Nissan Juke upatikanaji wake kwa hapa ndani na bei za hiyo gar? Nissan Juke UFAFANUZI ULIOTOLEWA NA WADAU...
0 Reactions
59 Replies
19K Views
Habari ya Sunday Mimi nimekuwa nikijaribu kutafuta gari kwa ajili yaatumizi ya ngu na napendelea minivans. Nikawa natafuta mtu anayeuza hilp gari bongo ili ninunue. Lakini ñayapata mtandaoni hàya...
0 Reactions
2 Replies
250 Views
Baada ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Mazda wameamua kuzindua officially Mazda EZ-6 ambayo ni EV version ya Mazda 6/Atenza. Kuonesha ubabe wake kwenye EV, Mazda aliamua kushirikiana na...
3 Reactions
10 Replies
463 Views
Ndugu habari zenu, Kwa wale mnaotumia Marcedes Benz mnanunulia spares wapi? Kwa hapa mjini Dar. Naombeni msaada kwa duka ambalo nitaweza kupata spares OG zenye ubora nahitaji kufanya service ya...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu anayefahamu aina hizo za pikipiki anijuze nahitaji kununua. Ni pikipiki kubwa kimuundo na ni nene, pembeni nyuma huwa na kitu kama begs ngumu. Mara nyingi nawaona nazo raia wa kigeni hasa...
4 Reactions
116 Replies
46K Views
Wakuu nimeingia tamaa ya kubadilisha Xtrail kwenda 2009 Subaru Forester XS 2.5 au 2009 Outlander nichukue ipi?
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Salama wakuu, Sina ujuvi kabisa ya haya mambo, kutokana na vyuma kukaza nimefikiria kununua pikipiki maarufu bodaboda Toyo, king lion, au boxer kwa ajili ya biashara wastani wa pikipiki 2 au 3...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Mchina Nampa Hongera sana sana kwa kuangalia nini kinachotufaa sisi Watanzania. Naangalia bei ya hizi Howo, Faw , schacman naoni bei zao ziko reasonable price ukilinganisha na haya mascania ambayo...
18 Reactions
219 Replies
23K Views
Nashangaa sana mtu agari yake Auto ila mkono hautoki kwenye gear handle ile,sasa kama una mzuka si uilipue uchkue kaz kazin manual, haya ma mazda cx5 yapo manual,honda fit anazo manual...
13 Reactions
38 Replies
2K Views
Back
Top Bottom