JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu heshima kubwa sana kwenu. Nimekumbuka mengi sana tangu nimeanza kusafiri umbali mrefu kwa gari binafsi. Safari zangu kila baada ya miezi 3 nafanya kati ya Dar na Mara kikazi na huwa...
10 Reactions
64 Replies
8K Views
Would you have it?
2 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu natumai mu wazima! Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja. Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na...
34 Reactions
274 Replies
19K Views
Wakuu gari yangu aina ya IST inapata joto sana hata nikitembea umbali wa kawaida usiozidi km 05. Nikiangalia mshale wa temperature upo kawaida tu.Tatizo nikishika dashbodi ya mbele inakuwa na joto...
2 Reactions
9 Replies
394 Views
Tunazidiana vipato, hata ktk kumiliki vyombo vya moto ni hivyohivyo pia,tunatofautiana...kwa wazoefi wa magari naomba ushauri juu ya,kufanya service, uimara, namna ya kusevu mafuta, vitu vya kuwa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada kwa yoyote anaeweza kunipa dalili zinazoashiria kuwa diode ina fault kwenye alternator ya gari. Gari yangu ikiwa kweny silensa taa za dashboard zina blink bila kutulia, hazitulii...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, nina gari yangu rav 4 ,Kuanzia juzi mishale yote ya kwenye dashboard haifanyi kazi gari nikizima mda mrefu mpaka nitoe betri na kuweka tena, Yaani namaanisha ile mishale ya...
2 Reactions
5 Replies
435 Views
Naomba kukaribishwa rasmi ktk jukwaa hili. Mimi ndio mara yangu ya kwanza kununua gari na katika ukoo wetu tuseme mimi ndio wa kwanza kumiliki hiki kitu. Kiukweli nimeteseka sana mauzauza si...
11 Reactions
33 Replies
3K Views
Hizi ndege za wenzetu usipokua ngozi nyeupe, wanakunyali kama nnya. 1. Nilikua naenda Barcelona (BCN), Spain kwa ajili ya Holiday. Sasa ile kuingia tu nikaagiza maji daah, huyo air hostess...
22 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari wakuu hivi Kuna namna ya kufanya discount ya Ushuruu? Nahitaji kuagiza hii chuma ila Ushuruu umeipiku Hadi bei ya Gari
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Tazama clip https://www.facebook.com/reel/333673023145455
0 Reactions
3 Replies
297 Views
Habari za asubuhi wakuu! Nimejaribu kupitapita kwenye mitandao ya kijamii nikitafuta gari used kwa mtu angalau na mie nipate usafiri hapa mjini. Nimeona madalali wanapost gari hizi kwa bei ya...
8 Reactions
132 Replies
13K Views
Hii kitu nimekutana nayo sana kwenye familia tatu za engine za toyota NZ engines[1NZ-FE, 2NZ-FE] AZ engines[1AZ, 2AZ] na ZZ engines [1ZZ sanasana] Sitotaja gari zinazotumia hizo engine sababu...
32 Reactions
71 Replies
12K Views
Salute kwenu wataalam wa magari, mzee wangu anataka kubadili engine ya Nissan Navara zile za Singapore anataka kuweka engine ya diesel au petrol zile zinazotumika kwenye toyota hilux double cabin...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Naombeni msaada gari yangu Nissan dualis steering imekuwa ngumu sana, haibadilishi gear ukiendesha mshale unapanda tuu ukishuka mpaka ushike break na pia ABS Inasoma kwenye dignosis.. In short...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Jamaangu anaomba ushauri achukue ipi kati ya hizo bei zina fanana zote hadi ushuru mil 17+ Ractis NCP120. Cc 1490 Runx NZE-121 cc 1490
5 Reactions
20 Replies
747 Views
Aqua anaweza kukupa km 35 kwa lita 1. Toyota ist anaweza kukupa km 18 kama kajitahidi sana. Aqua ni hybrid inatumia umeme mwingi. Toyota ist sio hybrid. Miaka mingi sana ist alitawala soko akiwa...
20 Reactions
69 Replies
12K Views
Wakuu heri ya Mwaka Mpya! Ninaomba ushauri wa kitaalam na uzoefu. Ninataka niagize Toyota Prado - Third generation (toleo la tatu), yaani hizi J120 series zilizotoka kati ya mwaka 2002 hadi 2009...
1 Reactions
47 Replies
19K Views
Picha: Toyota Wish New Model Nimeziona hizi gari natamani kufahamu ubora na mapungufu yake. Ninahitaji gari ndogo kwa mizunguko ya town na safari za Dar Morogoro. So iwe inatumia mafuta vizuri...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
Samahan wataalamu wa long vehicles wanipe maarifa na gharama hua zinakuaje, lengo niitoe pikipiki aina ya haujiwea, kutoka masasi to iringa via songea. Je, ni lorry, busses, or by truck? Hakuna...
1 Reactions
9 Replies
406 Views
Back
Top Bottom