JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wana jf, Katika magari mabovu passo na kilitime rav4 zinaongoza kuharibika reki End na shock Up za mbele, niliagiza passo kukabiriana na hali ya mafuta, lakini gari hili...
2 Reactions
87 Replies
20K Views
Nahitaji kufunga music systems bajet yangu ni 1m. Naombeni ushauli Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
31 Replies
5K Views
kama unagari yako popote pala ndani ya dar es salaam nakupa big offer ya punguzo la hadi 50% kutoka bei ya awali ambayo ni 50000/= kwa hiyo utaitaji tu kulipa 25000/= na gharama za usafiri...
1 Reactions
0 Replies
768 Views
Habari wakuu, kwanza nitangulize samahani kwenu. Pili naomba kufikishiwa ujumbe wangu kwa ma mods. nimejirejister tangu tarehe 16-1-2019, lakini cha kushangaza mpka leo bado account yangu...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Nina Toyota cami inasumbua sana gearbox na pia ikiwasha inatetmeka sana. Naomba msaada kwa mtu aliyekwisha pata changamoto hii na jinsi alivyopatatua.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa baada ya malipo ya kulipia magari chakavu ambayo huuzwa na serikali ni gharama gani nyingine natakiwa kulipia ili kubadili umiliki wa zile gari.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wadau, natafuta Noah no c Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
729 Views
Habari ndugu zangu gari yangu inakuala mafuta fundi anasema inatakiwa ibadilishwa plug maana kama ni nozel nimesafisha tayari lakin bado inatafuna suzuki escudo toleo 1992 1ltr km7 msaada Sent...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Teknologia inaenda kwa kasi sana kampuni ya magari ya Tesla wameka mfumo wa Dog Mode katika gari wanazotengeneza. Huu mfumo humsaidia mwenye gari endapo kapaki gari na ndani kamuacha mbwa wake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Wajuzi ni wengi humu hivyo naomba tuhabarishane 1. Je, kuna madhara yeyote yataweza kuikumbuka Gear Box ama Engine kwa ujumla kama ukiwa unaweka "N"/Neutral Gear wakati unaendesha sehemu...
2 Reactions
95 Replies
23K Views
Habari zeni wana JF, kuna hili swala la utunzaji wa magari kwenye mazingira yetu ya africa yanachangamoto sana. Gari used linakufikia toka japan au Europe unakuta halijawahi kukanyaga chini...
5 Reactions
13 Replies
4K Views
ECU(Engine Control Unit) kwa kifupi wengi wanaita tu Control hii ndio kama ubongo wa katika gari ndio sehemu inatoa mawasiliano yote kwenye gar kwa gari nyingi za kisasa hizi control zimekuwa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu naomba tupeane taarifa za upatikanaji wa spare parts za Volkswagen hasa Dar na Mwanza. Maduka yanayouza yanapatikana sehemu gani? Nataka kufanya maamuzi ya kuachana na Toyota nihamie...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habaru zenu... Wataalamu naombeni msaada wenu 1.Hatua za kufungua na kufunga tairi 2.Unabonyeza wapi ili ufungue BONETI na BODI ya Gari yoyote kama Najua humu kuna wataalamu naombeni msaada...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
habari za leo ndugu wana jukwaa, hua ninapata shida sana wakati wa mvua kuendesha gari maana kuna ukungu hua unatokea kwa ndani kwenye kioo cha mbele, hivyo huathiri kwa kiasi kikubwa uwezo wangu...
2 Reactions
52 Replies
10K Views
Wadau nilinunua Nissan Fuga kwa mtu Dar ila imeanza kuzingua mis za kutosha na inabugia mafuta kama jini. Mafundi wengi wanabahatisha kwa hii gari nawaza nibadilishe engine nifunge 1G-FE msaada...
3 Reactions
30 Replies
8K Views
Wakuu natafuta injector pump ya mistubish rosa 4d33 gari hii ilikuwa inatumia injector pump ya umeme imenizingua kwa hivyo nataka kuweka ya kawaida inayo tumia planjer je naweza kupata sehemu...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Habari wa jamii nina gari yangu vitz ina tatizo la break za mbele kupata sana moto sana(ku jam) kila nikitembea baada ya km 20 nimekwenda kwa fundi wangu kaisha safisha caliper (lile jumba la...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Natafuta mswaki wa 1G kavu mwenye nayo njoo inbox.
0 Reactions
0 Replies
811 Views
New model ml 25. Naitaji wateja sio madalali Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…