JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Kutokana na ushindani Wa kibiashara ya kusafirisha abiria imebainika scania wameibuka washindi hasa kwa mwendo na durability hasa kwa safari za mbali,km dsm to mby,dsm to Mt.tulichangie wadau.
3 Reactions
218 Replies
42K Views
Wanajamvi naomba Kujua Kwa wajuz au Waliowahi kutumia kichocheo Cha NANO ENERGIZER ambacho kinapata airtime Katika tv mbalimbali nchini. Kichocheo hiki ni Kweli Kinasaidia kuifanya engine ya...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Habari wanajamvi, Wakuu nisaidie jinsi ya kulipa hizi faini za.mashine tunazopewa barabarani na trafic, nina kijikaratasi hapa cha fine ila nashindwa kulipa Msaada please
1 Reactions
10 Replies
3K Views
wakuu habari zenu ? kama nilivyo andika hapo juu Naomba ushauri wa gari hiyo ya mizigo fuso fighter 4 tone uzuri wake na ubaya wake ..nataka kuifanyia kazi dodoma to dar.asanteni
0 Reactions
2 Replies
3K Views
wadau kuna jamaa yangu amepoteza funguo ya gari .alishapoteza ile ya kwanza na sasa amepoteza ile ya akiba. anahangaika afanye nini . kama kuna mtu ana uzoefu katika hili please tufahamishane ili...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habari wakuu naomba kupata maoni juu ya gari ya corolla runx?? vip upatikanaji Wa spea pamoja na ulaji wake Wa mafuta?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hi members, Kuna oil nyingi za magari kuanzia, Orxy, BP, Castrol,Shell, Engen na zingine nyingi kulingana na eneo uliopo. Kwa thread hii tusaidiane ni oil ipi nzuri kwa kwa gari kwenye ila kwenye...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habarini wana jamvi, Natafuta fundi mzuri wa mlango (Automatic) wa Toyota Porte. Niko Dar es salaam, Natanguliza shukrani.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina tafuta kifaa tajwa hapo juu... Offa yangu 600,000, niko Dar.
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Habari zenu mabibi na mabwana. naomba kuuliza kwayeyeto anaefaham OFICI ao MTU binafsi wanao jihusisha na kutoa mikopo ya magari. Naitaji Gari aina ya NOAH old model, ao Toyota CARINA Ti. naitaji...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kampuni ya kuunda magari ya China Geely, imekuwa mwekezaji mkubwa kwenye kampuni mmiliki wa magari ya Mercedes-Benz, Daimler, ikisema ina matumaini ya kushirikiana na kampuni hiyo kubwa ya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Gari yangu Toyota mark ii gx100,engine type 1g-fe vvti.gari nikiwasha asubuhi inachelewa kuwaka na kama ikiwaka basi mpaka niiache idle kama dakika 5 ndiyo niweze kutembea vinginevyo nikikanyaga...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu kumekuwa na shida na usumbufu humu barabarani kuhusu hizi stika za usalama barabarani,nilikuwa naomba kujua mwisho wa kukata hizi stika ni lini...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nina ka mkweche kangu Toyota Premio 2006 gafla Mlango wa nyuma upande wa kushoto haufunguki kwa ndani na kioo hakipandi wala kushuka, nini tatizo? nini chakufanya
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Wakuu habari za majukumu. Mpango wangu ni kuagiza Gari used kutoka Japan. Nimepitia website ya kampuni ninayotaka kuitumia lakini Gari nililolipenda halina ABS. Ninaomba kufahamishwa kama...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
wakuu hizi ndizo gazi 10 ambazo bei zake zinazifanya kuwa gari ghali zaidi kwa mwaka huu, sijui hawa wanao nunua hizi gari huwa wanafikiria nini, japo gari nzuri na luxury lakini hizo bei...
2 Reactions
34 Replies
14K Views
"Bila kupoteza muda wakuu niende moja Kwa moja kwenye Mada. Volvo ni gari nzuri zinajulikana na imara pia na zinakubalika. BMW pia ni gari nzuri classic na zenye ubora pia na zinafanya vzuri...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Nimeanza kuziona hizi gari sehemu kadhaa , vipi vipuri vyake vinapatikana? Maduka yako sehemu gani , hapa DAR au Mwanza? Mwisho vipi ubora wa hizi gari ,anayezijua aje atuambie , tumeanza kuchoka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu...kwenye ndani ya taa za gari kunakuwa na ukungu unaojijenga na kufanya taa kukosa ule ug'aavu wake,hii hali uwa inanikera sana. gari yangu inaonekana imechakaa sana.nmejaribu...
1 Reactions
23 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…