JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wajuvi tafadhali. Naomba fahamu hawa jamaa vp kwenye ulipaji wa madai..ninataka kujiunga nao baada ya kutendwa sehemu. If unahisi hawako vzuri..naomba ushauri nijiunge wapi?
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamani matokeo ya kidato cha nne yanatoka lini?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wana Jf nahitaji Pikipiki Aina ya vespa za India. Zinakuwa na body ya Bati. Mwenye nayo ani PM tufanye biashara
0 Reactions
3 Replies
829 Views
Naomba kujua na kuhifahamu carina si cc 1790 ubora wake
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kuuliza hivi ac ya gari unapoiwasha inatumia mafuta au inatumia nn?msaada wanajamvi
2 Reactions
91 Replies
29K Views
Naomba msaada kujua sheria inayosimamia leseni hususani leseni ya udereva kama imebadilishwa au La. Ndugu wana jamvi siku za nyuma kabla hatujaletewa leseni mpya kwa kipindi kile tulikuwa...
1 Reactions
17 Replies
14K Views
Wadau naombeni kujua ni oil gani nzuri kwa pikipiki boxer???
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habar wadau naomba kujua kwa nn gari inatoa moshi mkali yaan ukifika machoni macho yanawasha mwanzo tatzo hl halikuwepo.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba kuuliza, geabox ya Mark II inaweza kufanya kazi kwenye hiace?
0 Reactions
2 Replies
899 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza na msaada wa kujua tofauti ya mifumo hiyo kwenye injini za magari,, Karibu kwa maada ili tuelimishane
1 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wakuu naomba msaada wenu . mimi si mzowefu wa magari ila ataka kufahamu. gari kama ya abiria coster mbayo inafnya kazi kila siku ..swali langu lina kuja inatakiwa iende kilomita ngapi...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Wakuu,ninahitaji kuagiza Toyota Spacio ya Cc 1500 mwezi ujao. Ninaomba kujua yafuatayo kuhusu gari husika. 1. Fuel Consumption yake ikoje? inakula sana au kidogo? 2. Itaweza kuhimili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jamani wanajamvi habariya jioni napenda kufahamu maana ya ivyo vitu vilivyoandikwa apo juu na mimi mnawezaje kuvijua na kuvikagua mimi mwenyewe Maana mara nyingi wajuvi wa mambo wa apa jf...
0 Reactions
33 Replies
19K Views
Unakuta gari imetembea km 80000. Hii gari unakuta ni ya mwaka 2000. Gari ukiiangalia unaiona kama bado mpya. Wakati mwingine mpaka zile karatasi za kwenye seat zipo. Kwa hapa kwetu tunaziita mpya...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu kuna kitu nimekuwa nikikifanya japo sina utaalamu nacho napokuwa mlimani(kupandisha) na kukiwa na kafoleni napendelea kuzuia gari na accelerator(kuliko brake/handbrake) maana naona ukitumia...
0 Reactions
2 Replies
876 Views
Wakuu ninataka kubadilisha Hydrolic oil/Gearbox oil aina ya gari ni Mazda Demio DBA DY3W. Ninaomba msaada kwa anaefahamu Gearbox Oil/Hydraulic oil inayofaa kuwekwa katika gari hii.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
habari wadau nina toyota noah sasa matair ya nyuma yanakuwa yanaisha kwa upande wa ndani kwa upande wa nje ni mazur ,sasa sijaelewa nn inaweza kuwa tatzo ushauri niliopewa na baadhi ya...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Wakuu mweye uzoefu na subaru legacy b4, kuanzia maintanance fuel consumption na changamoto zingine tujuzane uzoefu wenu... Ntashukuru
0 Reactions
3 Replies
2K Views
[emoji777]
0 Reactions
1 Replies
973 Views
nimependa hii gari MITSUBISHI OUTLANDER NAPENDA KUJUA KUHUSU MAFUTA NA UBORA
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…