JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu salam, naomba kujuzwa bei ya Engine 1AZ D4 VVTI kwa hapo Dar es salam, complete engine Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wakuu, Kama heading inavyojieleza, kapita pita pita zangu nikapata hii taarifa kuwa walimu hawalipi yale makodi ya TRA wanapoagiza magari, naomba wenye ujuzi wanipe ukweli upoje na kama...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wakuu.., Napenda mwenye uelewa aina ipi ya harrier kati ya old model au second model yenye matako ni nzuri.Kwa maana ya gharama za uendeshaji,durability nk.Nawasilisha. Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu eti ili coaster iweze kuwa inafanya Masafa marefu mfano ;mbeya-tanga nahitaji kufanya modifications gani ili isiwe inasumbua?? Hasa hasa Mitsubishi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu natafuta engine ya altezza four cylinder..mwenye access ani pm tufanye biashara. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji gari brand za korea kaskazini naombeni ufahamu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wakuu! naomba kujua faida za kufunga turbo ktk gari ya ndogo kuna rafiki yangu ananisihi nifanye hivyo. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
15 Replies
8K Views
WanaJF samahanini, Kumekuwepo na tabia ya wauzaji wa magari hasa madalali kudanganya wateja kwamba gari haijarudiwa rangi. Ili wauze gari fasta. Naomba kujua namna ya kutambua gari iliyorudiwa...
1 Reactions
14 Replies
8K Views
habari jf. Kuna jamaa yangu mwezi wa 10 anastaafu, sasa kama ndugu yake kanambia anataka kuingia katika biashara ya kuendesha gari ndogo za mizigo hususani MT canter sasa nilikuwa nahitaji...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari za jumapili ya leo? Natumai wengi mmetulia mkijitathmini namna ya kuanza mikiki mikiki ya wiki mpya mbele yetu. Nimekuja hapa nikiwa nina shida moja, gari yangu siielewi. Gari ilianza...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwenye canter used isio tiper ..arushenumberzake hapa ikiwezekana na picha ya gar hyo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii, habari zenu! Naombeni wataalamu wanisaidie kuniambia tatizo ni nini? Gari yangu aina ya Allion A15. Huwa narecord Mileage kila nikiweka Mafuta ila nishangaa nikiwa njian juzi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wadau Gari langu limepata ajari naombeni msaada wa fundi nzuri wa kunyoosha na kupiga rangi { awe na bei za wastani} Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari za humu ndani waungwana. Huwa nafurahi sana na mada za humu ndani. Leo nina mada kuhusu mafundi na garage tunazopeleka magari yetu kwa matengenezo. Nimemiliki gari moja(rav4) kwa miaka 4...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari za majukumu wanajukwaa. Kuna hizi gari ambazo zinakuwa na freezer/jokofu kwa nyuma zinaitwa Freezer Truck/van , nimeangalia katika mitandao ya wauzaji wa magari na kukuta aina nyingi za...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wataalamu nna gari yangu iligonga mti airbags zilipasuka hasa kwenye steering ndio imeharibu show mana imechana honi haipigi tena steering nimeulza ni 200k Je airbags znapatikana? mana steering...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi ni msafiri wa mara kwa mara especially kwenye hizi nchi za kusini mwa Africa, katika hizi safari nimekuwa nikipanda basi za makampuni tofauti kama mchina (yutong, zhong tong...
10 Reactions
40 Replies
13K Views
Sijui niseme ni ugonjwa au ni mazoea yaani nimejikuta napenda sana milio ya magari makubwa makubwa kama scania ikipanda mlima au haya ya mwendo kasi yakisimama pale linapoanza safari yaani...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Nimefanya tafiti yakinifu nakugundua haya magari ya muingereza yaliyojizolea sifa duniani nakuwa kama nembo la taifa Lao yakizeeka yanakonda, kusinyaa na kuchukiza sana. Yakiwa mapya kama hili...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Wana Jf naomba kupata uelewa kuhusu hizi rimu zipi ni imara na kunatofauti gani itatokea kwenye gari endapo utatoa sport rim na kuweka steel rim? Msaada please Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…