JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
maalum kwa mafundi umeme wa magar,,tupeane ushauri wa kiufundi na namna ya kutatua matatizo ya umeme katika magari,,pia wenye maswali yanayohusiana na umeme wanaweza kuuliza,,
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Toyota Fortuner kuanzia 2007 mpaka 2010 ni rand 130,000 mpaka rand 180,000.
1 Reactions
32 Replies
10K Views
Hi gyz, i need to know bt this car Ni 316i sio 312i
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Wadau naomba msaada. Toyota Cami inasumbua upande wa AC ukiweka on ac kuna kamlio kanalia kama mluzi kriiiiiiiiiiii. Naomba anaemjua fund mzuri wa ac anielekeze au anipe namba yake plz. Asanteni.
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu za jioni, nina radio yangu ya gari ambayo kila ninapodisconect battery ya gari either kwa matengenezo au vp, radio ya gari haifanyi kazi mpaka uinsert hiyo cd yake, sasa i think imepata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salama nilikuwa naomba kuuliza mwenye softwere inayotumika kupata detail za gari mfano mtu unataka spare ya gari flan unaambiwa utoe au umtumie chasisi au vin number ili uweze kupewa spare...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Naomba msaada wa ubora na ubaya wa Mark II Grande GX110. CC1988. Nataka ninunue hili gari kwa shughuli zangu binafsi. Asante. Cc Mshana Jr , LEGE, RRONDO na wakongwe wengine. Asanteni.
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari za Asubuhi Wadau. Naomba kufahamishwa mahali/duka ambapo naweza pata kununua Baiskeli nzuri ya Mtumba kwa hapa Dar es Salaam Asante
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari ya weekend,game gani zuri la truck ambalo nitatoka nnchi moja kwenda nyingine kwenye ka smartphone changu
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Mwenye uelewa na gari hii ningependa anipe maelezo kidgo coz gari hii ni nzuri sana japo Tanzania ni machache sana ukizingatia lina bei nafuu kwa kuagiza. Inatumia ROTAR engine ambazo sijajua...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Kuna ndugu yangu ana haka kagari kanamsumbua kwenye bearing ya tairi la mbele kulia, kila akiweka mpya akitoka tu garage inaanza kupiga kelele na inakuwa imekufa, pia amejaribu kubadilisha hub...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nimekuwa confused kidogo hapa, nilihitaji kuchukua gari hii ila kikokotozi cha TRA kimenishangaza, nilihitaji kuchukua Toyota Allex ya 2005 ila nimeshangaa kuona gharama ya uchakavu ya 2005...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
HABARI ZA MCHANA q MWENYE UTAAqLAMU WA MAGARI NAOMBA MSAADA KATI YA PREMIO NA ALLION NI IPI NZURI NA IPI IKO POA KWA LOW CONSUMPTION YA MAFUTA
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Naomba msaada gari almost mpya 6000 km tu toka japan nimeipokea , ikiwa na mafuta kgd sn taa ya empty inawaka lakini gauge iko full tank, Nikashauriwa labda sababu ya kukaa muda mrefu itakuwa ime...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimeenda pale Oilcom Victoria tyre centre pembeni ya duka la nguo wanapouza tairi za good year. Nimekwenda kubadilisha tairi wakaiba na tyre valve. Kama mnavyoona kwenye link hii kwa michuzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habrini wakuu naombeni ushauri kuhusu ubora wa magari hayo niliyoyataj kwenye heading.kwa maana ya Comfortability Performance Fuel consumption Maintenance Durability Price Nasubr ushauri wenu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wana jamvi poleni na mizunguko ya wiki...mimi ninashida ya mada husi apo juu ningependa kujuzwa namna yakupata taarifa za mapato ya gari kwa njia ya mtandao. Asanteni na Karibuni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
10/08/20130 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Japan yatangaza sera mpya kwa Tanzania Sasa Tanzania kuwa nchi lengwa ya Japan Japan itasaidia Tanzania kuwa kitovu cha uwekezaji katika Afrika...
1 Reactions
130 Replies
11K Views
Wakuu naomba kupewa ushauri no Gari IPI bora kati yya TOYOTA NOAH NA HIACE ambayo si super roof kkwa biashara ya kubeba abiria
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…