JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wana JamiiForums. Nimejipiga piga hapa nikajikung'uta kila kitu nikanunua Mazda CX5 sasa nilikuwa naomba mwenye kujua garage nzuri yenye mafundi wa Mazda
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Jamani naomba elimu, ikiwa umelipia gari kwa dollar 4000 cc 1800 ya mwaka 2007 makadirio ya kodi ya Used Motor Vehicles Valuation System itakuwa inaanzia sh ngapi hadi ngapi?
3 Reactions
6 Replies
545 Views
Watu wengi wamekuwa na utaratibu wa kununua gari wanazotamani kuwa nazo, lakini ukweli ni kwamba matumizi ya gari kuna muda ni makubwa kuliko uhalisia wenyewe, mimi kama muagizaji na muuzaji wa...
13 Reactions
39 Replies
2K Views
Kumekuwa na mjadala tweeter juu ya chuma ya UMEME wengi wanadai hii ni Tesla S7 na wengine wakidai ni BYD Co na wengine wanasema ni Changan Deepal S7. Mtaalamu wa haya magari Mad Max utatusaidia...
7 Reactions
14 Replies
912 Views
Habari, Naulizia kwa mwenye uzoefu wa hizi scooter za Kichina, TVS Jupiter (sina uhakika kama kuna models, brand nyngne) ambazo kwa mwonekano ni kama Honda Click ama Yahama. Changamoto yake hasa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Habar wakuu,Nina pikpik aina ya boxer bm 150 sasa hii pikpiki huwa inatoa mlio wa kwenye injinimlio huwa huwa kama Luna kitu kinagonga gonga ndani ya injini Kwa mafundi nimepeleka na wamebadili...
0 Reactions
2 Replies
459 Views
Hummer ni chapa ya magari ambayo ina asili katika magari ya kijeshi ya Marekani yanayojulikana kama Humvee (High Mobility Multipurpose Wheeled Vehicle). Historia ya Hummer ilianza mwanzoni mwa...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za siku mabibi na mabwana kama ilivyo ada tunaendelea tulipoishia katika mada ingine tena. Leo tutaelezea milio ambayo ukiisikia kwenye gari yako jua kuna tatizo na tatizo husika, Kiufupi...
5 Reactions
19 Replies
6K Views
Wazee naomba msaada nahitaji gari nzuri 4 wheel drive tunataka kukodi tarehe 17 mwezi huu kutoka Dar mpaka sumbawanga na kurudi. Safari itakua ina vituo mbali mbali kama morogoro,mikumi,mbeya...
1 Reactions
6 Replies
322 Views
Nawasalimu wote jukwaani Kutokana na kuzidi kupaa kwa bei za mafuta napenda kujua zaidi kuhusu hizi hybrid cars. Ufanisi wake, uimara wake, consumption ya mafuta[nimesikia ni ndogo] na mengine...
1 Reactions
38 Replies
8K Views
Ni mambo gani ya kuzingatia wakati wa kununua Gari ya kutembelea? Natanguliza shukrani
1 Reactions
5 Replies
670 Views
Toyota Highlander from 2005 to 2007, ni bonge la gari kuwahi kutokea. Itakuja kamati ya subaru kupinga hili, ili huo ndio ukweli.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
1. Wale wote wanataka kuagiza magari nje ya nchi mwaka ujao wa fedha wajipange maana Dr wa Uchumi (PhD) First class ameongeza tozo ya kuchangia ujenzi/maendeleo ya reli (1.5% mpaka 2.0% ya CIF)...
24 Reactions
69 Replies
4K Views
Nimejichanga Sasa nataka kununua gari ili kujipongeza. Je gari gani ya kununua? Kati ya Benz E200 ya kuanzia 2009 Vs Subaru Forester XS ya kuanzia 2008.
9 Reactions
36 Replies
5K Views
Wakulungwa, gari yangu bodi yake imechoka sana. Ni chimbo gani naweza pata bodi iliyokatika hali nzuri, na bei gani? Gari ni RUNX.
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Wanaotumia honda Fit, naomba mniulize chochote tushirikishane uzoefu. Watu wengi wamekuwa wakiharibiwa magari yao kwa sababu tu ya kukosa uzoefu Kuhusu Honda Fit Asante
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Wakuu baada ya kudumu na HARRIER kwa muda nimepatwa na hamu ya kubadilisha gari. Nilitamani ALPHARD, XTRAIR au DUALIS. Kuna jamaa yangu kanishauri kwamba huko nikama kurudi hatua moja nyuma...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu kwema. Kusave muda, hii ni kwa wapenda Hybrid na Electric Cars. Haya, Zero Emission Vehicle Mandate (ZEV Mandate) ni "sheria" waliojiwekea nchi za US, EU na China ambapo wana lazimisha...
13 Reactions
74 Replies
2K Views
Mwaka 2021 niliwahi kuleta story ya Range Rover fulani ya mzungu mmoja kule Zanzibar. Nadhani baadhi ya member watakuwa wanakumbuka. Ila short story ya hiyo gari mpaka inawaka, Unaweza kuangalia...
8 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…