JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Ni nini chanzo cha mlipuko au sauti kama mpasuko kutoka kwenye exhaust pipe ya pikipiki au sports car nyingi?? Ni kuziba kwa exhaust pipe au ni swaga za madereva kushtua watu??
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Year :2004 Engine:2995 CC Fuel used:petrol Colour:Black Price:Milioni 14.
9 Reactions
40 Replies
2K Views
Samahani wana JF kama kuna fundi wa Key programming za magari naomba kujifunza. Mimi ni begginer kabisa ujuzi nilionao ni wa program za doagnosis na repair ndogo ndogo za umeme wa magari.
1 Reactions
3 Replies
501 Views
Samahani usafiri aina ya spacio new model ikitembea umbali kdg ukiacha kukanyaga mafuta inaanza kutetemeka na kutaka kuzima mpaka ukanyagie resi kdg tatizo itakua nn wakuu
2 Reactions
8 Replies
635 Views
Nina gari yangu Mitsubishi Pajero mini mwezi uliopita taa ya kuashiria alternator inashida iliwaka kwenye dash board, nikanunua mpya tulivyofunga taa ikazima ila baada ya siku moja taa ikawaka...
1 Reactions
6 Replies
704 Views
Wazee na wataalamu wa mandinga makali nakuja tena kwenu mnipe uchanganuzi wa hizo gari mbili. Ninaplan ya kuagiza gari ila mpaka sasa sijui niagizw ipi bado nakuwa dilemma kwenye kumake choice...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Nisipoongea nitakua sitendi haki maana niliahidi likifika langu katika hali yoyote. Nitakuja kutoa ushuhuda Siku mbili tu tangu nilipie gari yangu nilikutana na ule uzi wa aliyeagiza alphard...
15 Reactions
51 Replies
4K Views
Wakuu habari! Naomba msaada, gari aina ya Allex imeniwashia taa ya PS, na mara kadhaa imekuwa ikiwasha na kuzima yenyewe baada ya mda. Sasa nahitaji suluhisho la kudumu. 1. Nini sababu haswa...
1 Reactions
8 Replies
519 Views
Habari wakuu, Mimi nina oasso yangu inawaka taa ya OD pia inablink na gia zinaingia kwa tabu kwa kushituka, mafundi walibadil vvti sensor inaacha halafu inarudi vilevile, naomba alie wahi solve...
3 Reactions
4 Replies
440 Views
Hadi June 2024, approximately Duniani kuna magari 1.5 Billions, na Population ya watu ni 8.1 Billions. Kama atleast ulipata D mbili, simple math itatuambia ni asilimia 18 tu ndio wanamiliki gari...
4 Reactions
6 Replies
433 Views
Msaada jamani, HIVi pikipiki Kwa matumizi ya kawaida mtu anatakiwa afanyie service vitu gani na Kwa mda gani? Pia boxer 150 mazuri yake na mabaya yake ni yapi Kuna madhara ya kubana...
1 Reactions
2 Replies
683 Views
Wakuu habari Nataka jua ulaji wa mafuta wa hizo gari hasa za petrol mana naona wadau wanasifia sana Mazda hasa ulaji wa mafuta. Nataka pata uhakika hasa kwa wanaomiliki ndinga za mazda hasa...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Wakuu ninamiliki Rav4 2006 aka Miss Tz. Baada ya kupima uchumi wangu nimegundua sina uwezo wa kununua gari ninalilipenda kwa siku za karibuni. nimeamua nilifanyie matengenezo makubwa pamoja na ku...
3 Reactions
8 Replies
927 Views
Kitaalamu ikoje. Kwanini matairi yawe rangi nyeusi na sio rangi zingine kama red, Blue 🔵 yellow 🟡 Pink 🩷 green 🍏
0 Reactions
1 Replies
394 Views
Wakuu katika kuzunguka mtandaoni nimepata Suzuki Escudo 2700cc, MT, japo Bei imechangamka Ila naimudu. Mwenye kujua gari tajwa anishauri kabla sijatuma pesa. Asanteni
8 Reactions
49 Replies
8K Views
Kichwa cha uzi kinajieleza.naomba kwa mwenye uelewa anisaidie
0 Reactions
2 Replies
393 Views
Hello Team Magari , Asanteni sana kwa ushauri mlionipa nimefanikiwa kukiagiza hichi Jimny na kimeshafika nyumbani .Kutoka Dar mpaka Arusha kilikula mafuta ya elfu 80000.mpaka kimefika nimetumia...
14 Reactions
83 Replies
12K Views
Wataalamu habari za majukumu, nilikuwa ninaomba kuelemishwa kuhusu hizi buttons zilizozungushia duara jekundu zinaitwaje na huwa zinatumika wakati gani?
4 Reactions
8 Replies
530 Views
Nitapata wapi spare used za Nissan Serena au written off gari aina hiyo ambayo mtu anauza spares
0 Reactions
0 Replies
244 Views
NAOMBA USHAURI KUHUSU TOYOTA LAND CRUISER ZX. Wakuu naomba ushauri wa kununua used TOYOTA LAND CRUISER ZX or VX series 202. Ipi bora na bei zake used zikoje kulingana na mileage za around...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom