JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wanajamvi, Gari yangu Toyota premio (1.5L) imekuwa na changamoto kadhaa amabazo nashindwa kizipatia majawabu. (i) Gari kukosa nguvu inapopanda mlima, hili tatizo lilianza miezi mitatu...
1 Reactions
8 Replies
859 Views
Ulikuwa kwenye gari ndogo sedan.. Sasa unataka uhamie gari kubwa.. Kuna hizo options. SUV na Dual Cab.. Fortuner vs HiLux..! Yote ni magari ya juu kwahiyo hakuna kuhofia ground clearance.. Bei...
20 Reactions
32 Replies
5K Views
HABARI WAKUU. Samahani nataka kununua hii gari HONDA HRV ya Mwaka 2001 . Naomba kuuliza mwenye uzoefu (experience)na Hii gari anisaidie mawazo.
1 Reactions
1 Replies
419 Views
Wataalamu naomba kujua tofauti iliyopo kati ya Toyota Carina Si na Toyota Carina Ti. Sio mwonekano, nahitaji kujua tofauti ya uwezo wa gari kama engine, n.k na ipi inahimili barabara za vumbi.
3 Reactions
11 Replies
6K Views
Hii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu. Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo...
15 Reactions
117 Replies
5K Views
Ducati ni kampuni la kutengeneza pikipiki kutoka Italy, na ni ndugu wa damu na Lamborghini ambae ni mmiliki, na wote mzazi wao akiwa ni Audi na Babu yao ni Volkswagen Group. Sasa Ducati ni wababe...
2 Reactions
6 Replies
433 Views
Habari wana Jf, natumai mu wazima. Leo naomba kuuliza wataalam walio wahi kumiliki/Kutengeneza gari aina ya Honda Fit, naomba kujua yafuatayo: 1. Ustahimilovu wa miundombinu (Barabara za...
5 Reactions
130 Replies
38K Views
Wakuu, tuendelee kupambana tupate pesa halali. D for Drink. Unaweza weka beer au maji.
13 Reactions
32 Replies
1K Views
mKWA NINI TOYOTA IST HUWA ZINA CHOKA MAPEMA Toyota IST zina injin ambayo ina uvumilivu kwakipindi kifupi 1) INJIN KUA NA MLIO WA TOFAUT Hapa tatizo ni kutumia oil ambayo sio sahihi hivyo injin...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Hatujawahi kosa jibu ama solution humu. Nimeona magari yanakuwa na Plate Number Nyeusi zikiwa na format ya namba na herufi za kawaida Mfano T 747 DFY Ila kibao kinakuwa cheusi. Humaanisha nini ?
4 Reactions
27 Replies
7K Views
Utafiti mpya umeonesha kwamba Watu ambao wanatumia pesa zao kwa mambo kama vile kusafiri na kuhudhuria matukio ya burudani wana furaha zaidi kuliko wale wanaozingatia kuwekeza kwenye mavazi...
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Wadau salam. Naomba kujuzwa kwa undani iuhusu engine ya K12 B, mojawapo ya gari inayotumia engine hii ni suzuli swift second generation Nakaribisha elimu, Maoni na ushauri.
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Habari wanajamvi. Kuna dhana imejengeka kwamba kujaza upepo kiasi sawa katika magurudumu ya mbele na nyuma siyo vizuri kwa utendaji kazi mzuri wa gari. Mara nyingi hupendekezwa mbele kuwe na ujazo...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Katika press conference mwaka 2010, wakati iPhone 4 imetoka, Steve Jobs alivyoulizwa kama Apple wana mpango wa kutoa simu kubwa alijibu "no one is going to buy a big phone", akiamini kwamba size...
23 Reactions
32 Replies
2K Views
Insta kumefululiza matangazo ya BREVIS zinazouzwa Bei Chee 4.8 m TZS, Tena namba "D" hizi gari Zina tatizo gani?
2 Reactions
196 Replies
26K Views
Ni aina gani ya Pikipiki ni nzuri kwa kufanyia biashara ya Bodaboda? Na vipi kuhusu bei zake?
2 Reactions
42 Replies
42K Views
Kwema wataalamu. Naombeni ushauri nichukue ipi kati ya izo gari mbili yaani nissan extrail T31 na outlander roodest? Kwa kuzingatia reliability na durability.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kampuni ya kutengeneza magari kutoka China Build Your Dream (BYD) wametangaza kua wale wote waliolipia (nunua) supercar yao YangWang U9, wakae mkao wa kula, sio muda zinawafikia. Kama haitoshi...
5 Reactions
5 Replies
390 Views
Sijui nani amemcopy nani, ila kuna chuma nimeiona mitaa ya matajairi bwana, inaitwa Toyota Century 2023. Kwa mbali nikajua ni Rolls Royce Cullinan kumbe ni mali ya Wajapan aisee. Hii chuma ni...
10 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo). Huku kwetu tunaita new model lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan. Kwa kawaida Harrier ni gari...
60 Reactions
676 Replies
192K Views
Back
Top Bottom