JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Aisee! Wakati baadhi ya watanzania kila uchwao wakilalamika ugumu wa maisha mtaani wakati huo huo kuna baadhi ya watanzania kila uchwao wananunua magari ya kifahari na gharama kubwa mno. Kama wewe...
15 Reactions
95 Replies
5K Views
Hizi ndinga zimekaa vizuri kuanzia umbo la nje, speed 240kph (max), AWD, ground clearance nzuri. Vijana hizi ndo gari za kuendesha Kwa sasa si MURANO
9 Reactions
50 Replies
9K Views
Nimejifanyia self-assessment katika kipindi cha miezi mitano nimeona kinatosha kunipa picha ya utamu na uchungu wa kumiliki gari. Wakati naagiza gari uchumi wangu haukua stable kivile, plus...
18 Reactions
27 Replies
7K Views
Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV Habari wana JF Naombeni ushauri wenu je kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1. 1HZ-manual cc 4,164 CC au 2...
6 Reactions
9 Replies
683 Views
Wakuu vipi. Majirani zetu Uganda wanamzuka sana na Electric Vehicles na Hybrids. Kuonesha mzuka wao, serikali ikaona itoe kodi (zero tariff) kwenye EV, E-Bikes na kupunguza kwenye hybrids kwa...
6 Reactions
6 Replies
415 Views
Wadau Gari imekuja na Tairi Size 225/65/R16 nataka kufunga TAIRI MPYA NA.225/70/R16 je kuna TATIZO Lolote KIUFUNDI?Naomba Ushauri wetu. Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu hivi tofauti ya Landcruiser TX Vs TXL ni ipi?
7 Reactions
71 Replies
9K Views
Wakuu habari. Bado Watanzania wengi tuna wasiwasi kuhusu "transformation" kutoka kwenye magari ya kutumia mafuta (ICE - Internal Combustion Engine) kwenda magari ya Hybrid (pamoja na Plug-in...
18 Reactions
42 Replies
2K Views
Wadau. Naulizia maduka/ mtaa wenye maduka ambayo nitapata battery za magari ambazo ni genuine. Kuwe na brands tofauti niweze kuwa na uchaguzi mpana. Nipo Dar. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
40 Replies
9K Views
Kwa wale msioishi kwa mshahara, kuna Landcruise Prado mpya imetoka. Msisahau kutupa lift
21 Reactions
60 Replies
2K Views
Wadau salam,nina premio Old,7A.Nataka niibadili iwe 5A maana ninahisi 7A matumizi ya mafuta ni makubwa.Sasa swali langu,je nitahitaji kubadili nini na nini. Nasubiria ushauri kutoka kwa watalaam...
1 Reactions
5 Replies
456 Views
Ingawa yote ni magari ya kazi, nahisi kuna linalomudu zaidi mazingira ya "kipori pori" kuzidi "jenzake". Muda mrefu litakuwa likitumika Kanda ya Ziwa na mara chache Nyanda za Juu Kusini, hasa...
12 Reactions
163 Replies
20K Views
Wadau wa JF Garage. Kuna chuma, EV kutoka kampuni la Kijapan Mitsubishi inaenda kwa jina Mitsubishi i-MIEV (Mitsubishi innovative Electric Vehicle). Hii unaweza kuipata BEforward kwa bei kati ya...
14 Reactions
19 Replies
892 Views
Kila nikitaka kununua gari nawaza sana je nizingatie vitu gani ambavyo nitaviangalia ili kupata gari zuri Maana kuna jamaa mmoja kanunua gari mwezi tu kalipaki kisa ubovu, na mimi sitaki yanikute...
2 Reactions
6 Replies
716 Views
Wakuu kwema? Natafuta fundi mzuri wa Land cruiser Prado 150 kama unamjua tafadhari niungabishe nae
2 Reactions
6 Replies
291 Views
Sijaiona picha ya sehemu za nyuma za gari hii. Ikiwa imeharibika hapo tu panapoonekana kwenye picha serikali itatumia zaidi ya milioni 50 kutengeneza gari hii. Gari itakaguliwa na TEMESA...
22 Reactions
46 Replies
3K Views
Nataka kubadili engine , ya gari aina ya Isuzu bigon, ili niweke engine nyingine tofauti. 1: Je engine ya aina gañi iliyo nzuri kwa matumizi na inayo weza Ku fiti vzr kwenye body ya Isuzu bigon 2...
1 Reactions
60 Replies
14K Views
Nimekuwa nikiona zinatangazwa online na nipo mkoani, je zinapatikana kwenye maduka yetu huku mikoani?
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari za mda huu wakuu, na poleni na majukum ya kujenga nchi. Nina Prado fj120 ya 2004 nataka ku iupgrade kubadisha muonekano wake mpka 2021 nje na ndani,ni upholstery gani kwa hapa Dar es...
3 Reactions
10 Replies
543 Views
Wakuu Habari. Leo nilipenda tujuzane kidogo kuhusu BMW 3 Series. Kila mtu aliewahi kumiliki au kuendesha au ata kama kuna fundi aweze kutupatia Experience yake kidogo kuhusu hizi gari. Hii...
19 Reactions
56 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…