JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari za majukumu wakuu? Gari yangu aina ya Toyota RAV 4 miss TZ jana ilinasa kwenye dimbwi la maji kwenye kina kirefu kidogo ikabidi mpaka tuite watu yale magari ya breakdown waje waitoe baada...
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Nipo Dar es Salaam, na kuna mvua + Mafuriko ila nafuatilia yanayoendelea uko China kwenye Beijing Auto Show ya mwaka 2024, ilioanza tar 25 April hadi 4 May. Hii Beijing Auto Show kwa jina jingine...
34 Reactions
238 Replies
8K Views
Hadi Sasa plate number zinasoma EH... ikiwa ni miezi 6 tu toka herufi E kuzinduliwa. Inasemekana Kila herufi ndani ya herufi kuu Inabeba magari 1000. Hivyo toka Herufi E Imeanza tumeagiza magari...
2 Reactions
11 Replies
732 Views
Nimejaribu kupick European Cars ambazo watu wanazinunua sana. Kwa bahati mbaya sina story nyingi za kununua Mercedez Benz, japo nilitamani ningeweka maelezo ya C class na E class sababu ndio gari...
17 Reactions
55 Replies
10K Views
Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua. Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua...
20 Reactions
72 Replies
5K Views
Naomba wajuzi mniambie, kuna jamaa wanasema nichukue IST kwa ajiri ya kupata uzoefu wa magari kwanza
7 Reactions
48 Replies
43K Views
Wakuu kwema. Mkazi wa Dar, nataka ninunue baiskeli kwaajili ya mazoezi na siku moja moja hali ya hewa ikiwa nzuri natumia kwenda nayo kazini (3KM kutoka nyumbani). Naomba ushauri wenu, kwa...
11 Reactions
34 Replies
2K Views
Wadau, naomba kujua, kwanini toyota raum 1490cc watu hawazichangamkii sana? zina madhaifu gani? Vipi kuhusu 1. Uimara na uvumilivu rafu rodi 2. Ulaji wa mafuta 3. Upatikanaji na bei ya spare...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
-ISUZU (ELF) INAUZWA -BEI 17,000,000 -GARI HAIJATUMIKA SANA IMEPAKIWA -HAINA TATIZO LOLOTE -Location Dar es salaam Bunju Call 0693225605 🔹DETAILS🔹 - Fuel : Diesel -Engine Capacity : 3630 -Class...
1 Reactions
0 Replies
429 Views
Wakuu hizi habari zina ukweli au mambo ya vita za kibiashara?
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Nina gari yangu Pajero mini dash board inaonyesha Ile sign ya battery/AT na nimeprove alternator haifanyi kazi maana nikichaji battery gari inatembea mpaka battery inaisha kabisa Sasa wataalam...
1 Reactions
6 Replies
476 Views
Kama mada tajwa hapo juu ilivyo Kama kuna muuzaji wa pikipiki hizi za kichina anitajie orodha ya aina ya pikipiki alizonazo awake na bei nikielewa nitamfuata mwenyewe pm
0 Reactions
2 Replies
314 Views
Naomba msaada wenu wakuu. Nimezishotilist hizi gari tatu ili ninunue mojawapo. Vigezo Uimara kuhimili safari za vijijini kuwaona wazee Confortability Upatikanaji wa spea Uchunguzi...
4 Reactions
139 Replies
40K Views
Habari wadau. Naomba kufahamu zaidi kuhusu hii gari kwa maana sijaona nyuzi nzuri za kuielezea kwa undani. Je, huwa zinachangamoto gani kimatumizi? Naiskia huwa inaleta shida katika mfumo wake wa...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu, kwema. Kwa wale ambao wamewahi kununua gari, kwa kuagiza, kwa mtu au showroom, hivi rangi ya gari uwa unaiweka katika options zako za muhimu au? Kwa upande wangu, rangi ya gari nilikua...
9 Reactions
23 Replies
2K Views
Wana JF, Kwanza kabisa wasalam. Wakuu nna shida kadi yangu ya pikipiki imepotea kwenye mazingira ambavyo sikumbuki hata mara ya mwisho nilikua nayo wapi. Pikipiki yenyewe nilinunua Kwa mtu hivyo...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Habarini Kwema !!!, na gari yangu aina ya Toyota Brevis nilinunua kwa mtu hii gari shida yake kubwa nikiwa naiendesha inazima tu gafra yani cjajua shida nn mana nilinunua mwezi wa 6 mwaka huu...
5 Reactions
30 Replies
11K Views
Wadau na wataalamu wa Magari naombeni ushauri gari yangu ninapowasha AC inatumia mafuta mengi sana. Kwa mfano nisipowasha AC ninaweza tembea 12km/L mpaka 13km/l hapa mjini,Lakini nikiwasha AC...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Ukiangalia mifumo ya dunia mingi ni universal, lakini hali ni tofauti kwenye uendeshaji wa magari! Kuna nchi unaendesha kushoto, nyingine kulia, nisichoelewa ni kipi kilisababisha wasikubaliane...
5 Reactions
8 Replies
716 Views
Naomba msaada Gari yangu aina ya ist inazima nikiwa kwenye mwendo mdogo tatizo litakuwa nini wadau?
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom