JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Samahani kwa kuita gari yako pendwa Kimeo ila twende pamoja utanielewa huko mbele, Kaa vizuri andaa Juice yako bariiidii ule MADINI.. . X trail ni moja ya SUV [compact crossover] ya Kijapan...
13 Reactions
23 Replies
8K Views
Wakuu kuna gari Toyota Ist cc 1290, jumamosi iliyopita imeanza tabia ya kujipiga resi na kupandish RPM hadi 2 ukiwa unapark baada ya mizunguko na kuweka P ama ukiamua kuweka N neutral. Ukiwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau nataka kununua gari. Katika pitapita zangu nimekutana na hili na nimesoma hayo maelezo nimeyapenda hasa kwenye ulaji wa mafuta.... Je, naweza kuipata kwa shilingi ngapi mpaka mkononi kama...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam Wakuu wangu, natumaini wote mko vema na mnaendelea salama na ujenzi wa Taifa Tanzania. Natumaini Kama si wote basi baadhi yenu mnauzoefu na ujuzi japo kwa kiasi fulani juu ya vyombo vya...
0 Reactions
47 Replies
18K Views
Wakuu hii gari haina mwezi TZ tayari limenyopa mataa kibao daah hapa home na hela sina. Nafanyaje?
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwenye experience ya Mazda CX 5 inayotumia petrol fuel consumption yake ikoje Lita kwa kilomita?
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Habari, Sifahamu sana hizi gari aina ya Impleza ila mke wangu mdogo anazifahamu, nimeona kwenye picha ni gari ndogo kiumbo. Niyeyehariniambia ana.zipeda sana nafikiliya nimuwagizihe Naomba...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Salamu waungwana. Naomba kuuliza kuhusu gari inayoitwa Tata Ace, cc650, kuhusu upatikanaji wa spea na umadhubuti wake, uwezo wake. Dhidi ya Suzuki Caryy. Naomba kuwasilisha
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Hope Weekend inaenda vyema Natangulisha Shukrani zangu, kwa mtu yeyote mwenyewe uzoefu wa hio Gari hapo juu kuhusu Changamoto zake. Upatikanaji wa Spares Mafundi Durability Picha ya Gari pia...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Wadau naomba kujua nini tatizo la gari kutetemeka unapokanyaga accelarator. Gari ni toyota Ractis 2006 Pia kuna muda gari inakosa nguvu ukikanyaga accelarator.
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndugu zangu naombeni mawazo yetu, nimejichanga sasa nataka agiza gari ya kwanza kabisa, sina experience ya magari. Matumizi ya gari kwenda ni kazini, kanisani na labda kwenda mkoani mwisho wa...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
Wadau habarini. Shida yangu nilishaileta humu mkanisaidia japo tatizo halijatibika. Leo naileta kivingine. Kila nikipima oil asubuhi kwa dipstick naona oil inashuka chini. Gari haitoi moshi ule...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu nawasalimu, Kutokana na ushauri na maoni pamoja uhalisia wa mahitaji yangu nimebaki na option 3. 1.IST old model 2.Spacio new model 3. Premio old model Wakuu naomba ushauri wenu...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Picha zinajieleza
1 Reactions
14 Replies
952 Views
Wakuu habarini za wakati huu? Binafsi niko poa kabisa namshukuru Mungu Siku ya leo nilipata tena nafasi kutembelea maonesho ya sabasaba na lengo kuu ilikuwa kwenda kununua miche ya matunda banda...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wakuu? Hope wazima kabisa.. What is motorcycle fuel consumption per km? Kwa watumiaji wa hizo pikipiki za miguu minne(Quad Bike) cc700, mnaweza kunisaidia consumption ya petrol kwa km?
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwa muda nimejaribu kutafuta hivi vigari vidogo kama IST, Vits , Allex nk Vingi madalali wanauza Mil 10 mpaka 13 almost bei ya kuagiza mil 14 - 16 Japani. Hapo ukishanunua Bongo jiandae tena...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Habarini za kushinda! Naombeni msaada wa mawazo, nimejichangachanga na sasa nataka kununua gari. Naombeni msaada wa chaguo zuri mojawapo kati ya hayo machaguo matatu. Niko Tunduma, kazi ya gari...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
Nina gari ndogo Toyota Engine 1ZZ VVTi kuanzia 2021 August ilikuwa ikinisumbua sana. Engine ilikuwa ni full kelele ukiwasha, ukikanyaga mafuta kidogo tu ni krrarrrrrrr kama zote. Niliisha peleka...
6 Reactions
33 Replies
4K Views
Ndugu zangu nina Kavitz kangu huku Tanga Mjini kanasaidia kwa mizunguko Ya hapa barabara za namba ,,sasa nimevuta nguvu kidogo nilitaka nipate tena gari nyengine ndogo ya kunisaidia hata nikitaka...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom