JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari wakuu Je inawezekana kupata leseni ya udereva kwa mara ya kwanza bila ya kuwa na namba ya NIDA, maana nimesikia kwamba unaweza kwenda na barua ya serikali za mitaa lakini sina uhakika, je...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Unayelifahamu hili gari unalizungumziaje ukilinganisha na gari kama Toyota Vanguard 2013? Maana naona kama bei zinaendana, na ina muonekano wa kuvutia, na je lina tofauti kubwa na Forester...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Kiukweli katika fuatilia yangu ya magari. Gari za Nissan Maarufu ni Morano, Dualis, X- trail, Nissan Patrol, Juke, na manufacture wengine kama Subaru, Toyota na kadhalika. Gari za Nissan Qashqai...
7 Reactions
49 Replies
8K Views
Habari wadau. Kila siku asubuhi nikiwaasha gari kunatoka maji kwenye bomba la kutolea moshi. Wengine wanasema ni ubora wa engine, wengine wanasema engine ina matatizo. Ukweli ni upi? Iwe ubora au...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Ni takribani miezi 10 sasa tangu nianze kuendesha chombo cha moto (pikipiki), Ingawa sina route ndefu kwani maximum route zangu ni kilometa 40 au chini ya hapo. Kwa kipindi hicho cha miezi...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau wa magari naomba muidadavue Mitsubishi outlander hii SUV body yake na muonekano umenivutia. Sasa nataka kujua ,udhaifu wake ni UPI katika safari ndefu na pia service zake na ubora wake
3 Reactions
34 Replies
14K Views
Je unajua kwamba kwa sasa ukitaka kurenew leseni ni mpaka uwe na cheti cha udereva, Yani cheti cha uliposomea udereva, sasa kama leseni ilikufata nyumbani jiandae. Sasa naweza jiuliza hii issue...
5 Reactions
28 Replies
5K Views
Dereva makini unatakiwa kabla ya kuliondosha au kuwasha gari lako ufanye mambo haya:- Ufanye ukaguzi wa nje ya gari Matairi kama yote ni mazima, hakuna sehemu iliyotuna Taa zote kama...
12 Reactions
33 Replies
2K Views
Hyundai Teracan 2990cc, Diesel Ni gari makini Sana. Bei yake imepoa na hata TRA ushuru ni mdogo ajabu. Changamka fursa. Usiseme hukuambiwa. USHURU 5.5m Tsh, Wese:Ddiesel, Spea bwerere, 7 seater SUV
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu Habari za weekend Jana nimedrive gari Kwa umbali kama wa kilometres 2, Nikafungua mfuniko wa rejeta, kilichotokea ni maji kuruka Kwa nguvu Sana kama video inavyoonyesha, Maswali yangu ni...
7 Reactions
250 Replies
7K Views
Naombeni msaada katika hili nimejichanga sasa nataka kuagiza gari japan hii itakuwa gari yangu ya kwanza kabisa,naombeni ushauri ipi itanifaa kati ya VITZ ama honda fit? Matumizi ni kuendea...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Waziri mkuu amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini, naona tunakoelekea kumiliki gari itakuwa ujipange haswa. Na biashara ya magari yaliondani ya nchi inaenda kukua...
5 Reactions
114 Replies
16K Views
Najua ujanja duniani ni mwingi Sana. Gari la mkononi ni chombo ambacho usipokuwa makini unapigwa mchana kweupe pee. Wengine Hadi wanaacha kuagiza Japan au uarabuni ni hofu ya kupigwa. Mimi ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Eti kuna ukweli wowote juu ya msemo madereva wa kanda ya ziwa hawana uwezo waku battle mbele ya njia ya nyanda ya kusini.? NB: Inasemekana njia za nyanda ya kusini ni ngumu zaidi kuliko kanda ya...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wadau Mimi nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye maada. Nimekuwa nikipata tabu Sana kupata usafiri wa pikipiki kwa ajili ya mtu wañgu wa kike ili imrahisishie kufika kazini kwa wakati...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Gari toleo moja inakuja na engines tofauti tofauti.. Kuna baadhi ambazo muonekano wake unakupa code ya engine iliyopo.. Baadhi ni hizi Prado 70.. Imeandikwa neno Turbo kwenye front grill hiyo ni...
16 Reactions
62 Replies
6K Views
Ndugu zangu wataalamu wa hizi tractor za Beiben , naomba kupewa somo kuhusu uimara wake na utendaji Kazi wake , Asanteni sana
0 Reactions
10 Replies
617 Views
Habar wakuu, Nimenunu gari kwa madalali kama miaka 2 Sasa nipo mkoani huku ila hata hao madalali nimepotezana nao, ishu iliyopo nahitaji kubadili usajili wa kadi. Je, nafanyaje wakati simjui...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kutokana na kupanda kwa gharama za mafuta kila mara, si watumiaji pekee wa magari wanaoathirika. Boti ndogo za uvuvi,utalii na matumizi binafsi wamekuwa wakitumia petrol kwa ajili ya kuendeshea...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hapa home pana 109 ipo tu juu ya mawe. Nina uhitaji sana na Gari ndogo ya mizigo, inisaidie kazi za shamba na store. Nimewaza nifufue 109 tu nifunge break za canter, nivalishe mfumo mpya wa umeme...
2 Reactions
1 Replies
480 Views
Back
Top Bottom