JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Aina: Toyota Corolla Rumion NZE151-1049698 Grade 1.5G Year 2008 CC 1,500cc Inspection Score 4 Interior B Transmission IAT Note mileage74,000km Odometer 74,000km A/C AC Price up to dar es Salam: $2920
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi. Naomba msaada kwa wataalamu wa magari. Nina gari yangu Brevis 1JZ ina tatizo la kuchemsha. Yaani, unaweza tembea hata kilometa 20 za mwenda wa kawaida tu, mshale wa hit...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Tukutane hapa , Kwa mawazo, Changamoto Michongo n.k
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jana nilikuwa napasha gari, nikaiwasha engine ikawaka na ilikuwa kwenye Parking Mode, nikawa nakanyaga accelerator kwa muda fulani, badae nikazima ila nashangaa sasa nikiwasha gari inawaka...
3 Reactions
49 Replies
4K Views
Jamani nimekuwa kwenye vitz (cc 990) yangu kwa miaka kibao ni gari ambayo imenipokea vizuri sana kwenye ulimwengu wa kumiliki magari (kwa kijana kama ndio kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa...
8 Reactions
47 Replies
12K Views
Hi wakuu, Gari yangu inachoma engine oil pamoja na mafuta. Hii imepelekea oil kupungua kuwa inapungua kadri ninavyoendesha gari. Nini ufumbuzi wa tatizo hili?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari za majukumu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Nina Gari spacio new model nilipata Ajali nikapinduka nayo matairi juu baada ya kuparamia gema, haikuchukua dk kumi nikasaidiwa...
7 Reactions
10 Replies
7K Views
Wadau nawasalimu. Naomba msaada wa kupata hiyo spare kwa hapa Dar. Je, ni Duka gani inapatikana?
0 Reactions
4 Replies
617 Views
Habari za leo wadau wa jukwaa hili, leo kwa bahati mbaya nimechanganya mafuta, nina gari aina ya hiace ambayo inatumia Petroli, nimekwenda kituo cha mafuta muuzaji bila kuuliza akashindilia diesel...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nauliza nauli ya basi Toka dar kwenda morogoro nishilingi ngap? nauliza nisije nkapigwa nataka safiri asubuhi
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakuu nauliza basi la kampuni Gani zuri na salama kwa safari ya dar to Moro
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nafikiria kuchukua mojawapo kati ya gari tajwa hapo juu wazoefu ipi inafaa zaidi
2 Reactions
67 Replies
6K Views
Jamaa kwa mazarau kaamua kuyapita magari mengine yaliyojisubirisha ili mkondo wa maji ya mafuriko yspite. Kajiamini na 4 WD yake, na hakufika mbali. Alipoteza kila kitu, nafikiri na maisha pia.
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari zenu. Kama ambavyo nimeandika hapo juu naulizia nani anafahamu kampuni wanaotengeneza seat za magari, sio seat covers, ni seat zenyewe.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kichwa juu kinavyo jieleza natafuta muffler (exhaust)Honda cd125t ya upande wakushoto napatikan dar es salaam karibuni
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Masaada wana JF Nahitaji gari ya hesabu kufanyia kazi ya tax mtandaoni bolt/uber isiwe juu ya ccc1490 ikiwa chini ya ccc1290 itakuwa vizuri zaidi ikiwa brand ambazo zimezoeleka kwenye hizi kazi za...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu naona kuna utitili wa hizi xtrail new model mjini hapa Dar tafadhari naomba kujua kama na zenyewe zina changamoto kama ya zile za mwanzo! Nataka kujitwisha Consumption ya mafuta ikoje?
0 Reactions
4 Replies
648 Views
Nataka kununua hii gari Kwa mtu used. Imewekewa injini ya rav 4. Naomba ushauri Changamoto ya hizi gari na hasa baada ya kuwekewa injini ya rav 4. Upatikanaji wa spare, Changamoto zake n.k
0 Reactions
7 Replies
670 Views
Kampuni ya mabasi ya Yutong ya China yazindua malori mazito ya umeme na mabasi yasiyo na dereva Kampuni ya mabasi ya Yutong ya China imeitisha mkutano na wanahabari mjini Zhengzhou, nchini China...
8 Reactions
24 Replies
2K Views
Wadau nifahamisheni ikiwa kuna punguzo ama msamaha wa kodi kwa mfanyakazi wa Serekali anayeingiza gari nchini ikiwa gari limetengenezwa ndani ya miaka 10
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom