JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mchina katuletea fursa bei cheee, Harufu Kali ambayo inasababisha kifua/mafua kila ukiivuta. Chukua tahadhari kabla hujaumaliza mwendo. Asante
21 Reactions
54 Replies
8K Views
Hello bosses and roses... Humu watu baadhi wananijua kama computer programmer ila mie ni fundi magari pia. Kiukweli hizi gari za MAN wamejitahidi sana upande wa umeme, wiring iko organized vizuri...
15 Reactions
56 Replies
4K Views
Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016. Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu. Gari zote...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu kumeibuka fashion ambayo naiona ina trend sana mjini. Huu mtindo wa kuweka urembo wa manyoya katika dashboard mpaka almost dashboard kama yote inafunikwa! Wanaojua faida ya hii kitu tunaomba...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari zenu. Kama ambavyo nimeandika juu naulizia jwa Dar duka gani wanauza vioo vipya sio used vya magari mfani mi nikitaka badilisha vioo vya gari yangu Nissan tilda ya 2010 vioo vinaweza...
1 Reactions
1 Replies
778 Views
Wakuu kwann hizi pump huwa zinakufa sn ?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio...
6 Reactions
163 Replies
24K Views
Je, zina range bei gani za mwaka 2008 hadi 2012? Je zipo zenye Automatic Transmission? Vipi kuhusu ulaji wake wa mafuta? Karibuni ndugu.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari, Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki. Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu salama? Nipo dilemma hapa nataka kufanya wheel balance & allignment. Kuna THE WHEEL na EVOLUTION watu wanaziongelea sana kwa haya masuala. Wapi wapo vizuri kwa wataalam mliowai zitumia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu JF wenzangu nami nataka niingie kwenye ukoo wa kumiliki chombo cha moto, gari ninazo zipenda ni hizo, nataka kuagiza moja wapo toka Japan, hivyo naomba ushauri kwa wenye uzoefu juu ya magari...
0 Reactions
42 Replies
14K Views
Wadau habari, ili na mimi nisinyeshewe na mvua nina ka mkweche kangu ka vitz old model. Ni spana mkononi ila kananisave. Sasa block ilikuwa imepasuka, nilipopata nyingine fundi akakata cylinder...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wenye uzoefu na gari tajwa hapo juu. Ni ya 2012 Cc 1200 Kiufupi sina uzoefu na magari zaidi ya kuendesha ya watu,nmetokea kuipenda muonekano wa hii gari na kuna mtu anaiuza,sasa kabla...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari Nina Corolla XE 111 ambayo ipo sawa safari popote na haijawahi kuniweka njiani nashukuru katika safari zangu za Tanga to Dar. Hii ina 4E engine Cc 1330. Nataka walau kusogea sogea kidogo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kukosa mtu sahihi wa kurekebisha tatizo la gari lako. Moja kati ya makosa ambayo nimeyaona kwa kipindi kirefu ni hili. Mtu anakuwa na mawazo kichwani kwamba Fundi mmoja anaweza kufix matatizo...
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimenunua pikipiki ina plate number nyeupe, Sasa mimi matumizi yangu ni binafsi nataka niweke plate number ya njano, je naanzia wapi kubadili na gharama zake zikoje? Card ya...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Nmefuatilia site nyingi za kuuza magari, nmegundua magari ya Dubai ni mazuri, yana kilometa chache, body safi ila bei ni ndogo kulinganisha na sehemu kama be foward. Shida inakuwa nini?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawaza, chatGPT au hata google bard zimekua msaada mkubwa kutoa majibu ya issue mbalimbaliu kwa siku za karibuni. Naona kama hizi car diagnosis devices zikiwa integrated na chatGPT au google bard...
3 Reactions
6 Replies
813 Views
Majuzi nilipata Pancha kwenye barabara ya lami yenye mashimo tairi ikachanika. Tairi ilikuwa tubeless. Kwa kuwa Nilikuwa kwenye mji mdogo sikupata tairi tubeless hivyo nikaweka yenye tube. Baada...
2 Reactions
7 Replies
702 Views
Wakuu habari zenu! Hivi mtu ukiwa na boat na unajitaji kuifanyia huduma za kupeleka watu uko Bongonyo Island or Mbudy je unafanya process? Namaanisha process zote za kupaki na kupeleka watu...
1 Reactions
1 Replies
422 Views
Back
Top Bottom