JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Yaani unakuta gari labda ni scania au isuzu tiper linaingizwa kwenye kontena halafu nafasi ya kufungua mlango ili dereva atoke haipo je, hao madereva huwa wanatokaje?
9 Reactions
53 Replies
6K Views
Naomba kufahamu manufaa na changamoto za kukata bima kubwa ya gari (Comprehensive) kwa kupitia mitandao ya simu kama vile Voda bima. Utaratibu wao ukoje? Inawezezekana kulipa taratibu? Ukipata...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Gari yangu aina ya Raum 2nd generation niliipaki kama week 2 ilikuwa na changamoto ya brake system nzima na kwa bahati mbaya ikasababisha mpka betri kuwa low maana gari ilikuwa aitumiwi majuzi...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, nipo na Isuzu forward hapa Ina kama siku mbili imesimama ghafla kupiga honi na kushusha kioo upande wa dereva. Nimejaribu kumcheki fundi umeme wa magari ananiambia shida...
0 Reactions
8 Replies
676 Views
Habari wadau. Nimekuwa nikipata changamoto sana kwenye kuchagua gari hizi za kutoka dar kwenda musoma. kila gari ninayopanda inashinda mwenzake kwa ubovu. Naomba msaada wenu wadau, kampuni gani...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari wadau, nimenunua pikipiki mpya Boxer BM 150, kwa ajili ya matumiz binafsi napenda kufahamu ni mda gani sahihi au ni baada ya KM ngapi natakiwa kubadili Engine oil. Shukrani sana.
6 Reactions
75 Replies
41K Views
Wakuu zangu nimetembea na Nissan Dualis Mpaka Musoma pasipo kupumzika na kuizima. Je, vipi kuhusu Gearbox yake kwa Skendo za kufa? Kweli imenifurahisha na imetembea sana.
5 Reactions
62 Replies
5K Views
habari za jioni wakuu, niliazima gari ya rafiki yangu kwenda nayo sehemu flani, wakati wa kuondoka sehemu hiyo nilijaribu sana kukanyaga brake ili ni push the button kuwasha gari ila ikagoma...
3 Reactions
34 Replies
9K Views
Speedometer imekuwa calibrated kusoma speed ya gari kupitia mzunguko wa tairi.. Diameter ya tairi inacover distance fulani..! Ukipunguza size ya tairi itasababisha gari kwenda spidi ndogo zaidi ya...
11 Reactions
28 Replies
3K Views
Hii kitu tumeipanda tuliosoma Boarding public schools. Kapotezwa na kina Yutong ujinga mwingi
9 Reactions
31 Replies
3K Views
Huyu jamaa huwa anatumia syllabus gani...mbona kama namna anaelezea mifumo ya engine na utendaji wa magari ni wa zamani .. Ni sawa na mm kusoma kitabu cha zaman kinachoelezea namna engine za...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu nimerudi tena, Nadhani mtakuwa mnaniona hapa mara kwa mara Kila nitakapopata changamoto Juzi kati nilipata safari ya Dodoma nikaenda na Beamer (BMW X3) na ndio ilikuwa kwa mara ya kwanza...
16 Reactions
259 Replies
16K Views
Mafundi msaada, eti gear box oil, mfano ya ist, unapima wakati engine imezimwa au iko on, naona mafundi wananichanganya sana. Msaada tafadhali.
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wadau, leo nimeona nifanye kushare na nyinyi kidogo kuhusu uchaguzi wa magari hasa linalokuja suala la bei. Ni wazi bei za magari hazifanani, mfano Rav 4 latest model na Vanguard latest...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
Ukiwa wewe shughuli zako Ni uchuuzi, basi chuma hiki GMC Canyon inakufaa katika shughuli zako. Double Cabin pick up, 4WD, 3,700cc, Petrol. Asante
10 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu Habari zenu naomba Msaada ya rpm, pikipiki yangu Ile Cc110 nimekuwa nashindwa kuelewa je rpm ina umuhimu gani na ina Msaada gani kama Dereva? Mfano nikiwa kwenye speed ya 50 rpm inakuwa...
2 Reactions
2 Replies
658 Views
Wakuu, mwaka huu mwishoni nimepanga kufanya safari kuendesha hiyo ndinga kwenye picha kutoka Cape Town South Africa mpaka Dar es Salaam Tanzania karibia Kilomita 5,000. Kuna yeyote yaliyewahi...
12 Reactions
102 Replies
16K Views
Iwe ya diesel. Manual gear. Engine 1hz. Rangi nyeupe. Iwe katika hali nzuri both Engine na transmission bila kusahau body. Budget Mil 20
3 Reactions
11 Replies
729 Views
Msaada wataalam, taa za mbele zina kama vumbi kwa ndani na nataka kufuta hilo vumbi, je kuna uwezekano wa kufungua kioo nikafuta kwa ndani kisha nikagundisha tena?
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu niliibiwa na gari mwaka jana mwez wa kumi na mbili, gari ilikua na bima kubwa. Niliwasilisha taarifa yqngu bima, na uchunguzi wa polisi umekamilika lakini hakuna kilichobainika mpaka sasa...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom