JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari za mapumziko waungwana! Ningependa kujua utumiaji wa mafuta wa gari tajwa hapo juu, Toyota harrier! Najua watu wanaiponda sana katika utumiaji wake kwa sababu ya ukubwa wa injini! Sasa...
0 Reactions
122 Replies
69K Views
Wadau habari za kazi Naomba kujua kati ya Toyota vanguard, Toyota Harrier na Toyota Kluger ni ipi ambayo mtu akiwa nayo haitamsumbua sana? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
29 Replies
13K Views
Ningependa kupata advice/maoni kuhusu uzuri/ubaya/matatiza za Audi Q3 na Audi Q5.
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wakuu! Naomba msaada wa wapi naweza kupata hi coolant?
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Kwa mafundi magari wote, mafundi mnaniangusha, kwa nini mko nyuma sana hasa kwenye urekebishaji wa hizi gari za mkoloni?, nyie kila siku ni japanese tu,ndugu zangu dunia ipo kasi sana. Nitolee...
16 Reactions
36 Replies
4K Views
Nimeona kwenye group moja la Telegram mdau anauliza hili swali. Tumeshindwa kujibu. Wadau nani amewahi enda Dodoma kwa IST toka Dar? Alitumia mafuta ya tsh ngapi au lita ngapi? Au *Nani...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba tujadili umuhimu wa kuwa na driving licence kwa watu ambao wanamiliki gari binafsi na zisizo za kibiashara. Je, kwanini isiwe kwa madereva wanaoendesha gari za biashara kama...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Je upepo wa tairi wafaa kuwa sawa mbele na nyuma? Na je niqeka upepo mf nyuma 50 na mvele 40 kutakuwa na madhara gani na nini faida ya kuweka upepo sawa? Natanliza shukrani kwa watakaochangia
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Awali ya yote niwashukru nyote wanajukwaa hili kwa msaada wenu mkubwa wa kuelimisha kuhusu magari hasa sisi tusio wazoefu. Baada ya utafiti kupitia humu kama miezi 6 hivi nimeamua nichukue...
17 Reactions
82 Replies
11K Views
Wadau Nataka kununua pikipiki Aina ya Honda Ace 125 individual made in South Africa. Bei yake ya ofa 2,600,000/= mpya. Je, kuna pikipiki nzuri zaidi ya hii ambayo bajeti take haivuki milioni...
4 Reactions
25 Replies
8K Views
Hadau, Nauliza ni gari gani ya Nissan unawwza weka engine ya toyota.Kuna mtu kaniambia X trail unaweza weka engine ya Toyota. Naombeni ushauri mafundi
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Haya ndugu na marafiki, nakuja kwenu ili nipate uzoefu wa Honda CR-V uzuri wake na changamoto zilizonazo, mambo yakienda sawa nataka kumiliki gari hii. Nawakilisha kwa maoni zaidi. Honda CV-V
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Salaams wakuu, heri ya mwaka mpya. Wakuu naombeni ushauri kidogo... Kuna gari Honda CR-V second generation (2002) nataka kuichukua, ila kabla sijaichukua nimekuja hapa kupata muongozo kwenu wadau...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau, habari zenu!! Ninataka kununua gari ya kutembelea HONDA CR-V, TOLEO LA 2004. kidooogo, mi si mtaalamu wa magari. Kwa mnaofahamu, vipi gari hii ulaji wake wa mafuta, uimara na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari habari ya Ramadhani na Kwaresma!? Awali ya yote ningependa kutanguliza shukrani zangu kwa majibu yenu mazuri naamini yatanipa mwanga juu ya haya magari mawili natamani nipate moja...
1 Reactions
7 Replies
860 Views
Watalaamu wa customs na styling kwanini Tanzania bado tuko nyuma kwenye styling za magari? Daah nimependa sana kazi inayofanywa state na jamaa wanajiita TEXAS METAL na WEST COAST CUSTOMS ni next...
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Kutokana na watu wengi kutokuwa na elimu hasa ya vyombo vya moto na wengine wakitamani kumiliki gari ,ukiwa kama mtumishi wa umma kuna utaratibu upo umewekwa wazi leo nakumulikia mwanga karibu...
5 Reactions
10 Replies
9K Views
Wanajamvi habari za wasaa huu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada wa kupata bumper la rav 4 (old model), lile lenye chrome ya silver na fog light.
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…