JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu, Amani iwe nanyi nyote! Kama mada inavyojieleza, nimejikusanya kidogo nikaona ni wasaa mzuri wa kupata chombo cha usafiri ili kurahisisha mizunguko yangu ya kila siku. Katika pitapita...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau mwenye ujuz wa biashara ya bajaji ikoje? Kwa dsm.
1 Reactions
2 Replies
318 Views
This is my dream car, mbali na ulaji wa mafuta changamoto yake nyingine ni zipi Kwa waliotumia.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Inahitajika gari Toyota Voltz iliyopo kwenye hari nzuri. Tuma picha na bei unayouzia
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Watu wa Mungu habari! Naomba kujua toka kwa mwenye uzoefu wa kutumia hii gari aina ya Honda Fit GE6. Ina changamoto gani, ina ubora gani na bei yake hapa Tanzania, upatikanaji wa spare zake n.k...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Wanajukwaa, Ni VW polo ya mwaka gani haisumbui engine na gearbox? Ipi ambayo spare zake nitapata kwa urahisi? Mafundi wake wako wapi?? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Kama mada inavyojieleza hapo juu, ninakaribia 40yrs nmetembea kwa miguu about 30s sasa nisije nikatembea 40yrs kama wana wa Israel.
28 Reactions
118 Replies
9K Views
Tumezoea kuona injini zinazokuja kwenye gari zikiwa na piston ila hii ni injini isiyokuwa na piston bali muundo wake ni kama gurudumu la pembe tatu. injini hii iupatikana kwenye magari ya mazda...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna vitu kadhaa vinavyokuwezesha useme spark plug ni mbovu au lah. Hebu tuziangalie hapa haraka haraka. 1. Nyufa kwenye Insulator Ukiikuta spark plug ina nyufa kwenye Insulator...
7 Reactions
11 Replies
7K Views
Habari wataalamu. Ukiangalia maelekezo ya utunzaji wa gearbox ya hizi gari za kisasa yaliyopo kwenye dipstick (automatic) yanasema kuwa kwa hali ya uendeshaji wa kawaida wa gari, hakuna haja ya...
0 Reactions
5 Replies
740 Views
Wadau wa magari, naomba remarks Zenu kuhusu ili, Ninafsi naona taa zinazotoa mwanga mweupe zikikutana na taa za mwanga wa yellow maona nyeipe zinafunikwa ....
6 Reactions
46 Replies
7K Views
Wazoefu naomba msaada,nataka kununua gari kwa jamaa,lakini yeye aliuziwa na kampuni,ila hakubadili jina,linasoma la kampuni,,documents za mauziano anazo,naomba kujua taratibu za kufuata wakuu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba mnisaidie. Hizi gauge za mafuta za kielektroniki, bar moja inawakilisha lita ngapi? Inanipa shida kufanya makadirio ya kiasi cha lita ninachokuwa nacho. Wataalamu nisaidieni.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Gari ya mtumba imekuja kutoka mbele. Kumbe walikuwa wanakula sigara humo ndani. Nahitaji msaada namna ya kuitoa harufu huko ndani.
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Hello my good people, natumia gari ya hybrid (Toyota Prius) sasa juzi nilipatwa na changamoto moto ya kuharibikiwa na auxiliary electric water pump inayo zungusha maji ya kupoza inverter na...
18 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna mtu anauza Terios Daihatsu 1999 2m, anasema changamoto ni gearbox, Tafadhali kwa wazoefu wa hii gari Terios Daihatsu. Naombeni msaada hasa uimara na ulajiwake wa mafuta
1 Reactions
3 Replies
862 Views
Tunauza engine used za boti aina ya Mercury Outboard 2-Stroke zenye 40horse power. Engine hizi zina 697cc ni inline 3 cylinder, zinatumia petrol na 2 stroke oil ,uwashaji wake ni wa kuvuta kick...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nilikuwa naomba kufahamishwa hizi gari aina Mitsubishi kuhusu upatikanaji wa spare, gharama zake generally . Nimetokea kuzipenda Mitsubishi RVR na Outlander. Sasa isije kuwa ndio kama...
4 Reactions
21 Replies
7K Views
Habari naomba kuuliza mwenye kujua naweza pata wap hicho kifaa ni Kwa ajili ya kufunga na kufungua mlango wa buti la nyuma kwa ajili ya gari aina ya Alphard
1 Reactions
1 Replies
450 Views
Back
Top Bottom