JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Watu wengi tumekuwa tukijiuliza kuhusu ndege zenye mfumo wa injini ya jet. Katika mada nilizozitoa nilieleza kuhusu aina za injini zinatumika kwenye ndege. Mfumo wa injini ya jet ni tofauti...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina rims ambazo zilikuwa silver wakapiga rangi nyeusi flan hivi haijakolea. But inabanduka hata kwa maji ya presha.. Nataka kurudia kupiga rangu rims napenda ziwe nyeusi. Wapi naweza pata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Anataka kubadili gearbox ATF. Automatic Trans. Fluid. Gari ni Toyota Rumion ya Mwaka 2008. Ya CC 1800 Anasema anahitaji ile yenyewe kabisa yenye ubora halisi. Haijalishi bei anataka kitu bora...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimekuta wadau wa magari wanabishana kuhusu ubora wa hizi gari pendwa za off road aka gari za pori. Nani mkali kuanzia Bei ikiwa mpya Au used, Maintenance, resale value nk. Binafsi naona LC...
5 Reactions
44 Replies
4K Views
. Siku ambayo vijana wengi wala bata wanaikubali sana sababu ni siku weekend inaanza, wanaachana na kazi then wanapumzika, Ijumaa hii Agnes alikuwa bado yuko ofisini anamalizia vimeo vyake...
9 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu ushauri wenu nataka niishi umu kwny teza beam 2000 yahama mwenye uzoef na hizi gari plz ushauri kwenye suala la mafuta na service kwa ujumla
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Wasalaam Wakuu, Naomba kupata ushauri kuhusu kufunga mfumo wa gesi kwenye gari cc 2000. Je, kuna changamoto yoyote ya ufanisi wa gari nitakayokutana nayo? Je, ni kweli kwamba mfumo huu unaokoa...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu habari za jioni, naomba mnisaidie kupata control namba nikalipe fine ya traffic ikifka saa 6 usiku inabet 7500, najaribu kutafta kwenye mtandao wao leo umegoma kabisa. Namba ya gari T102 CVR.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina gari yangu toyota nadia ilianza kusumbua baada ya kuacha taa wazi na kukuta imenyonya betri yote so inasumbua kuwaka nikahisi betri bovu nikanunua betri mpya ila tatizo ni lilelile msaada...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu? Hizi magari aina Suzuki Every vipi uimara wake na changamoto zake kwa anayezifahamu... Nimeona zinapeta peta hapa mjini Asante
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Leo nimekutana na mtu nikamwambia nina M8.5 na natafuta kununua ist mkononi namba D, jamaa akaniambia kuwa sitaweza kupata. Labda kwa uzoefu wenu nijuze zaidi kuhusu bei yangu hiyo na gari hilo...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Naombeni ushauri kwa wale wanaozijua gari za Toyota corona, maana kuna mtu anaiuza na ni namba B, nipo kweny process ya kuilipia na kuifanyia matengenezo mdg mdg.
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu nimevutiwa na hii garii, kutokana na matumizi yake ya mafuta.Naomba mwenye Ufahamu zaidi ya hizi gari au ambae amesha itumia atupe uzoefu wake prons and cons. Nawasilisha.
3 Reactions
10 Replies
889 Views
Wakuu Habari zenu. Najua kuna watu wameshawahi kupata ajali ya kugonga gari ya mtu mwingine au gari yake kugongwa na gari nyingine,(Private cars) Je, ikitokea hali hio ni kipi cha kufanya au...
8 Reactions
82 Replies
11K Views
Gari yangu inasumbua kwenye mfumo wa umeme nilitaka kujua kupima kutumia computer ni shilingi ngapi.
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka niagize mitsubishi rosa engine 4d 36. Je hii engine ni nzuri na spare zake linapatikana? Naombeni ushauri
2 Reactions
2 Replies
558 Views
Kuna gari Toyota vista nauziwa,mwenye gari ananiambia kwa majigambo ya kwamba engine ya hiyo gari ilisumbua akanunua engine mpya ya 3s. Je, hii engine inafaa kwa kiasi gani nimlipe pesa ya gari?
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu nimeombwa ushauri wa gari zuri la kutembelea, Bajeti yake isizidi Mil.35. yaani Iwe 35M kuja chini. Binafsi si mtaalam, Anayehitaji ni Mkulima binafsi niliwaza angepata Double Cabin Toyota...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau nawasalimu Naomba kupatiwa Elimu ya A/C kwenye gari na Settings zake kuleta Ubaridi na kupunguza kwa Gari Aina ya TOYOTA WISH New Model
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu Habari zenu, poleni n majukumu. Ile safari yangu ya Tanga kutumia pikipiki yangu cc110 nimefanikiwa kwenda salama na kurudi salama kabisa.. Mungu ni Mkubwa. Niliondoka Ijumaa iliyopita...
23 Reactions
96 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…