JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nahitaji Rear axle beam assembly ya Toyota IST second generation/new model....kwa mwenye Connection NB: Picha sio halisi
1 Reactions
1 Replies
534 Views
Wadau uzi wa ku share experience yako kwa mara ya kwanza ku drive high ilikuwaje. Kwangu binafsi ilikuwa shida sana katika ku overtake yaani nilikuwa naogopa sana ila nilikuwa nikukuta road iko...
7 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari Nazikubali sana hizi gari, nahitaji moja kati ya hizi ipi ni nzuri katika 1: matumiz ya mafuta (diesel) 2: comfortable safarini 3: uvumilivu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Labda kwa kuanza nieleze kisa kilichomkuta jamaa yangu. Jamaa ana Subaru Forester 2006 2.0L Usiku wa kuamkia 9 january 2023 zilinyesha sana mvua na kuna maeneo mjini yalijaa maji, sasa bahati...
80 Reactions
125 Replies
11K Views
Habari wakuu, katika kuupiga mwingi ndugu yenu na mimi nimeguswa na upako wa Bi mkubwa, sasa hizi million tano nilizo otea naombe mnishauri nitafute gari gani used. 1. Naishi mjini full rami...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu, Jamani gari yangu salon ninabadili s plug kila wakati kwa ushauri wa mafundi lakini haichukui muda inaanza tena miss za ajabu, nimemwaga oil ila tatizo bado. kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
37 Replies
16K Views
Msaada hio compressor inaunguruma kama nyuki nikiwasha gari. Baada ya kuanza kuunguruma hivyo sipati tena ubaridi ndani. Sasa sijui kama compressor ndio imekufa au inawezekana kutengenezeka au...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu habari, naomba kujua recommended oil nzuri kwa Toyota Axio “saloon”. Wataalamu naombeni msaada wenu nisije mix mafaili.
0 Reactions
2 Replies
622 Views
Habari Wanajamvi, Naomba kufahamu magari ya heshima ambayo ukiendesha unaonekana ni diplomats au mtu wa heshima. NB: Kuna gari ukiendesha tu unaonekana muhuni
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Hawa jamaa ni wabunifu saana, sijui wamejifunza wapi hii kazi, maana kazi zao kwa kweli ni level nyingine. Sio kazi tulizozoea kuziona kwa mafundi wetu wa mtaani. Wanatengeneza seat covers...
10 Reactions
134 Replies
72K Views
Kwanza kabisa naomba radhi kwa sababu thread kidogo ni ndefu. Lakini ni muhimu kuisoma kwa sababu inaweza ikaokoa gharama kubwa au hata kuokoa maisha yako. Sasa tuendelee.. Watu wengi wakienda...
21 Reactions
55 Replies
10K Views
VTS ni mfumo wa kisatelaiti wa ufuatiliaji mwenendo wa magari barabarani. Mfumo huu unafanana sana na ile mifumo ambayo wengi wameizoea kama Car track au U-truck. Mfumo huu kwa sasa unatumika...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habarini za leo Naomba kujuzwa je kuna uwezekano nikuwa na gari lenye plate number za nchi jirani na nikata kuitumia hapa nchini kwetu Tanzania kwa muda then ndio nibadilishe nmaba kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu wakuu naomba kuuliza ipi gari nzuri ya kununua kati ya Honda CRV na Toyota Verossa. Ipi ni economic na inafaa kwa masafa ya mbali
1 Reactions
67 Replies
22K Views
Hello wanajukwaa. Nina Toyota Alpha huwa natoka nayo mara kadhaa niki Huwa ni my choice hasa pale napoenda sehemu na watoto ila huwa wanapenda kuruka ruka hasa pale nikiwa nimepaki kwenye...
2 Reactions
8 Replies
675 Views
Salaam wakuu, Naomba mwenye uelewa na uzoefu wa magari haya, Mitsubishi outlender na Suzuki escudo, hasa kwenye utumiaji wake wa mafuta na upatikanaji wa spare parts bila kusahau uimara wake...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau huu uzi ni wetu, wake kwa waume mabibi na mabwana, Pindi unaponunua gari Toka showroom kwa Mara ya Kwanza Nini Cha kufanya. Wake wataalamu tunawasikiliza. Mimi sio mtaalamu Sana wa magari
1 Reactions
4 Replies
859 Views
Wadau naomba kujua ni Betri gani nzuri na imara kwa Harrier 240G kwani kuna Aina nyingi sana za Betri
2 Reactions
9 Replies
989 Views
Back
Top Bottom