JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau, nataka kununua nissan note. Naombeni ushauri wa kitaalam ===
0 Reactions
1 Replies
899 Views
Habar za wakat huu wakuu.Nimekuwa kwenye wakati mgumu kwa takribani miezi mitatu sasa hivi kuhusiana na swala la kuchagua gari nzuri ya kutembelea kati ya hizi ,Lexus Lx 570, toyota land cruiser...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Wadau, Nimeulizwa na mdau gari yake aina ya dualis/qashqai ya 2011 J10 inachelewa kuchanganya. Yani akianza kuondoa gari inachukua muda kupata speed/mwendo anaoutaka. Mpaka akanyage mafuta sana...
4 Reactions
50 Replies
6K Views
Wadau habari za majukumu, kichwa cha habari kinajieleza, naweza pata kwa kiasi gani?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeona Toyota Rush model 2021 haitumii hydraulic kama power steering oil na transmission oil, je zinatumia technology gani?
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuuu km mada inavyojieleza natafuta account ya bolt au Uber ya kukodisha au kununua nianze kuingiza mia mbili mia 3 nichek kuna donge nono 0787919909
0 Reactions
2 Replies
397 Views
Wakuu Habari za weekend Gari yangu Aina ya Nissani teana 230jm inashida zifuatazo ambazo naomba ni share na wadau hapa mnipe mawazo 1. Check engine light iko on 2. Ukitembea umbali flan Gari...
5 Reactions
36 Replies
5K Views
Gari langu la kwanza lilikuwa ni carina niliipenda sana muda mwingi kivulini nalifuta vumbi na kitambaa laini, smtms naliangalia mpaka natabasam 😁 automatically Laaaahaulaa balaa siku hiyo...
47 Reactions
167 Replies
12K Views
Nimesikia balozi wa Tanzania nchini China anasema Yutong wanaleta karakana (garage). Ukweli sijafurahishwa kwa sababu garage ni biashara ya Watanzania siyo kazi ya kuagiza nje. Halafu haya mabus...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za masiku wanaJF, Kwa mda flani sasa nimekua nikifatilia swala la matatizo ya magari, na vyombo vya moto kwa jumla hapa, kwa sababu za kutoa ushauri - sio kw malipo, na pia huduma - kw...
2 Reactions
261 Replies
63K Views
Wanajamvi, Habari naweza pata pikipiki ya aina hii. Msaada na maelekezo wapi naweza pata kwa DSM na bei yake.
0 Reactions
4 Replies
466 Views
Habarini wandugu, Gari yangu ina tatizo niki apply brake basi usukani una vibrate sana na vimilio vya swiswiswiswi, vibration hii naihisi pia hadi kwenye mguu pale ninapokanyaga brake pad. Tatizo...
0 Reactions
5 Replies
569 Views
Nina swali wazee, gx 110, nikiwa naendesha iko vizuri, nikipaki, masaa matatu au zaidi inanyonya betri, nimenunua betri mpya ila bado, wamecheki alternator lakini bado. Mafundi ni kama wanaotea...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Wadau nimejichanga kiasi fulani cha pesa, ingawa hakitoshi kuagiza gari used Japan lakini naweza nunua ya mkononi hapa Dar walau nitimize ndoto yangu ya kutembea nikiwa nimekaa. Naomba msaada...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari za leo wakuu. Naomba kujua tofauti ya hizo gari mbili let’s say zote ni old model mf. 1995 moja ikiwa na injini ya 1hz na nyingine 1kz. Na kwanini mtaani kuna tofauti kubwa sana ya bei...
2 Reactions
34 Replies
8K Views
Salaam Wakuu! Nimemvua mtu IST yenye CC1500, nimempelekea Fundi aiangalie kama kuna shida, kaniambia hakuna shida matatizo ya kawaida. Ila aliyeniuzia akaniambia haina shida labda tu Service...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu huyo dogo aisam magari wa Mwanza mnazielewa gari anazouza bei zake au anatupiga na vip uiamara wa gari anazoziuza. Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za jioni, usiku, mchana na asubuhi. Nimekuwa nikijuiliza sana ni nani alileta huu usafiri wa boda boda, maana nikikumbuka miaka ya nyuma usafiri tegemezi ulikuwa ni dala dala, teksi na gana...
6 Reactions
57 Replies
4K Views
Habari wakuu..! Naomba mwenye uzoefu na hii gari kwa ujumla naoona imekaa poa ata kodi yake ipo vizuri.
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Stabilization System ni mfumo maalum Kwenye chombo Cha majini Ili kukipa usawa kikiwa Kwenye Hali ya kutembea, bandarini au kikielea juu ya maji. Stabilizer Kwa lugha rahisi ni sawa na suspension...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom