JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu. Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
habari wakuu gari yangu naisikia inagonga gonga kwa chini hasa nikipita kwenye barabara vumbi, ila kwenye lami sisikii ikigonga shida yaweza kua nini, gari ni nissan juke
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nataka kuvuta mkoko mitsubishi outlander wazoefu imekaaje ukilinganisha na mengine hapo juu mfano vangard
1 Reactions
2 Replies
1K Views
huko afghanstan wameishangaza Dunia baada ya kutengeneza Gari yenye Mundo wa Ferrari. Gari hii imepewa Jina MADA 9. Kaka masoud kipanya unakosea wapi?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau naomba ushauri kati ya hizo pikipiki mbili. Nahitaj kununua kwa matumiz binafasi sio boda boda. Kw uelewa mdogo ni kwamba TVS ni pikpiki iliyotengenezwa na mhindi na Haojue ni Mchina...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Msaada jamani. Nina shida na hivyo vitu this morning.
2 Reactions
7 Replies
553 Views
Kwenye piki piki, honda na yamaha na suzuki wametolewa sokoni huku Afrika. Mabasi na malori mchina kashika soko, Yutong tatu sawa na scania moja, Kwenye malori ni hivyo hivyo. Sasa siku akiamua...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Extrovert na ndugu zote wa JF, nitashukuru kwa miongozo yenu. Am good at several things ila kiukweli katika magari sio mjanja kama nyie.
10 Reactions
121 Replies
10K Views
Nanga ni kifaa kilichotengenezwa Kwa ajili ya kuzuia Meli isipelekwe na upepo au mawimbi pale itapokuwa imesimama endapo imemaliza safari, marekebisho au maegesho kwenye maji. Nanga ilianza...
9 Reactions
22 Replies
5K Views
Hello, Mimi nataka kujifunza gari, anaejua bei ya kufundishwa na je ni sehemu gani mzuri ya kujifunza au kama kuna mtu anae weza kunifundisha aje pm tuyajenge nitampoza kidogo.
10 Reactions
52 Replies
8K Views
ELEWA AINA ZA MAFUTA YA BRAKE (BRAKE FLUIDS) NA MATUMIZI YAKE Dot ni kifupi cha US depertment of transportation, dot inaonesha grades za brake fluid ambazo hutolewa na Federal Motor Vehicle...
8 Reactions
9 Replies
4K Views
Naomba tupeane changamoto na uzoefu tuliokutana nao tulipofanikiwa kumiliki gari la kwanza
2 Reactions
7 Replies
846 Views
Ikiwa unataka kujionea kwa wingi Landcruiser V8 tembelea jijini Dodoma, kila baada ya dakika 2 Lazima upishane na chuma jipya V8 LC300 NB: Kama biashara Toyota wameuza hapa Dom aisee
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalam Habari zenu Mdogo wenu kiukweli nakutana na changamoto ya kwenda kwa fundi Kila baada ya muda Kwa tatizo la kuungua Kwa coil.. pikipiki yangu ni private siifanyii Biashara. 1. Coil ya...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Tafadhali wenye hizo gari mnatumia hydraulic oil aina gani ambazo ni recommended? Asante
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Baada ya kujichanga changa hapa nimeona nivute chuma. Lakini siyo mpya nataka ninunue mkononi kwa mtu. Nilikua naomba ushauri wa gari zifuatazo kwa maana naona zinauzwa bei ndogo nikatia shaka...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Hivi hizi gari zina nini cha zaidi naona bei zake siyo chini ya 22 million plus.
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Mimi ni mkazi wa DSM eneo la Kimara stopover. Namiliki gari ya aina ya IST New model. Hivi karibuni gari ilipata shida upande wa hydrolic ya gearbox ilikuwa ina leakage na nozzle zilikuwa hazi...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Naomba kujua ni gari gani naweza pata Kwa 4.5ml inayoweza kutumika Barbara za vijijini? Naombeni ushauri Kwa wazoefu tafadhali.
2 Reactions
54 Replies
7K Views
Asilimia kubwa ya hapa kwetu wote tunatumia gari za Toyota. ila kiukweli kuna gari zilizofanya vizuri na zengine zilifanya vibaya kama kichwa cha habari hapo juu. Na kumbuka IST ilivotoka...
4 Reactions
56 Replies
5K Views
Back
Top Bottom