JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Hello. Nahitaji magari yafuatayo kwa mkataba. Kama ambavyo watu hutoa mkataba wa pikipiki na gari za Uber. Nahitaji; 1. Fuso 10 Tone. 2. Canter 3.5 Tones. Au Eicher au Tata.
4 Reactions
8 Replies
1K Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU Wakuu naomba kufahamishwa, ni mahala au muda gani natakiwa kutumia OverDrive funcionality kwenye auto transmission. Ni kwa Ufahamu tu Nawasilisha ---...
4 Reactions
634 Replies
162K Views
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani. Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako...
41 Reactions
118 Replies
11K Views
Gari Toyota Probox au Toyota Succeed iliyokwishatumika inahitajika. Iwe inatembea Ukiwa imara na hali nzuri. Iwe haidaiwi.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Land Rover ni kampuni ya Uingereza, Land Rover ndio hutengeneza magari kama Range Rover, Discovery nk lakini kwenye taarifa ya Serikali magari ya kampuni hiyo hayako hata kwenye top 20 ya magari...
8 Reactions
63 Replies
7K Views
Naomba kujuzwa ni type gani ya engine inaweza kufit kwenye Nissan civilian. Kwa ku Forge alimradi gari ifanye kazi.
5 Reactions
57 Replies
6K Views
Hawa jamaa kama wamepona wana Mungu sana. Mara zote tunakumbushana kuwa Highway sio sehemu ya mchezo. Hii overtake ambayo inafanywa kwa mtindo wa "Tailing" madhara yake ni kuwa hutaona mbele na wa...
42 Reactions
86 Replies
5K Views
Ebana hizi gari nimeanza kuziona ona mtaani. Ni gari ile ile imetolewa kwa both Suzuki na Toyota. Nimeielewa sana hii gari, nataka nijipange niiagize, ila changamoto ni moja, siioni kwenye hizi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naihusudu sana Discovery 4 angalau kwa muonekano na chapa yake ya Land Rover, japo nikiri sijawahi kuiendesha hivyo siijui kivile. Kama walivyo watu wengi wa ukanda wa Afrika Mashariki, tumekuwa...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Gari aina ya Raum inazingua kwenye mfumo wa AC, nikiwasha AC ni kama temperature ya injini inakuwa iko juu kiasi cha gari kuzima. Fundi anasema shida iko kwenye thermostat anataka aitoe...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari za le OK wakuu, kuna post moja nimeona mahali nikaona labda inaweza kuwa option ya angalau kidogo kuchelewesha gari lako kuibwa Ila japo naona kuna uwezekano mkubwa wa kuvunjika miguu...
1 Reactions
3 Replies
493 Views
Hizi engine za umeme ni zaidi ya engine za mafuta. Nimejaribu kufatilia makala mbali mbali kupitia Youtube watu wanavyobadili magari ya zamani au kujitengenezea kama kaka yetu Masoud kipanya...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
Nilileta uzi humu kuhusu gari ya kununua kwa bajeti ya milioni 5,nilipata Vitz Rs namba D kwa mtu na sio kwa dalali ikiwa msumali haswaaa kwa bajeti ya milioni 5.5 !Kokote naenda pasipo shida,kwa...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za majukumu ya ujenzi wa taifa, Kumekuwa na mjadala hapa uliokosa majibu kutokana na uelewa tofauti wa mafundi. Tumepata kigugumizi juu ya gear box oili gani inafaa kwenye gari aina Premio...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Yawezekana: 1. Ulienda kununua bila kupata ushauri kwa mzoefu sababu ulijiamini uzoefu wako unatosha kulikagua gari. 2. hukutaka kumlipa fundi wa kulikagua. 3.ulienda na fundi kulikagua lakini...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Karibuni tujadili gari zenye unafuu wa Kodi kwa mwaka 2023. Calculator ya TRA imeshafanya yake.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naombeni ushauri ndugu zangu nataka kununua pikipiki mpya ya biashara (kupakia abiria) kampuni gani nzuri bajet isizid 2.5
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habarini wakuu. Husika na kichwa cha habari hapo juu naomba kufahamishwa kuhusu pikipiki hii; 1. Uimara wa chasis yake na body kwa ujumla 2. Upatikanaji wa spare zake
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari wana jamii, Ninagari aina ya nissan xtrail newmodel ya 2009 nimeinunua mwezi uliopita nilipoenda nayo rough road nikakuta chin inagonga balaa nilivyopeleka kwa fundi akasema stabilizing...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…