JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nimepoteza leseni ya gari sasa. Nilikua naulizia gharama za kupata replacement zipoje?
0 Reactions
1 Replies
635 Views
Tafadhali mnisaidie kuhusu hii gari kwani naitaka kuinunua na kama kuna MTU anayo na bado ni nzima basi anambie Tafadhali naomba kuwasilisha
1 Reactions
78 Replies
48K Views
Wakuu nahitaji kununua family car japo nilikuwa nikitaka kuchukua kati ya Noah au Toyota wish. Mwenye uelewa zaidi wa Toyota Wish naomba anijuze uimara,mafuta na spares nisije kupoteza pesa zangu...
0 Reactions
40 Replies
23K Views
Gari za kununua mikononi kulingana na bajeti yako na kupata best bang kwa hela yako..! 2-5M Corolla/Sprinter.. Gari simple na ngumu.. GX 100..ukipata yenye 1G Matumizi ya mafuta yatakuwa juu...
9 Reactions
19 Replies
4K Views
Hii hapa SUV Toka land Rover inaitwa free lander 2 nmekusogezea pamoja na ushuru wake ikiwa imeinuka sana basi huu ni mbadala wake badala ya kununua Bei kubwa 32 huu unaupata kwa 23m tu likiwa na...
6 Reactions
100 Replies
11K Views
Wakuu msaada wa selection ya gari nzuri (based on muonekano, economy na performance) bajeti 14 - 17 mwisho. Gari kwa ajili ya route tu mitaani na trip tatu/nne kwa mwaka za dar mwanza. My...
5 Reactions
48 Replies
6K Views
Tatizo la mafundi kukubali ukweli ni mgumu sana. Halafu wanapata pesa kwa kukadilra ndio maana wamelizika. Mifumo ya magari sasa imebadilika ndio maana Nissan zinawashinda na kuishia kusema kimeo...
32 Reactions
147 Replies
8K Views
Habari wana JF poleni na Majukumu ya kazi, Naomba niende Moja kwa Moja kwenye point. Jana nilikua katika daladala naelekea G Mboto lakini tulipokua tumekaa Mataa ya Buguruni dereva alianza kuwa...
1 Reactions
5 Replies
637 Views
Waheshimiwa wanajukwaa umofia kwenu. Kwa heshima na taadhima ninaomba kufahamu changamoto zozote zinazohusu gari aina ya Nissan Xtrail? Mfumo wake wa umeme Transmission ipoje Anything pls...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Una uzoefu wa kuendesha gari highway usiku? Embu nipe experience yako pale unapokuwa na gari ndogo kisha ukapishana na Lori ambalo limewasha full light. Kile kipande cha sekunde chache...
16 Reactions
106 Replies
6K Views
Habari zenu wadau....bila shaka ni wazima wa Afya. Kuna jambo linanitatiza naombeni ushauri wenu. Nilipanga mwaka 2023 angalau ikifika tarehe 01 January niwe na kausafiri kangu (Gari) walau...
11 Reactions
73 Replies
4K Views
Habari wakuu naomba kujua sifa za hii gari.
0 Reactions
10 Replies
824 Views
Habarini wanajukwaa, gari yangu SUZUKI ESCUDO G16, Milango mitatu ASUBUHI ukiiwasha inawaka na KUZIMA, MPAKA urudie kama Mara kumi ndipo iwake na kukaa silence, na ukipandisha silence lazima...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Nipo halmashauri moja hapa nchini,nimekuta Kuna Gari Lina kibao chekundu namba za njano.namba zinaanza na ZT XXXX.Naomba kujuzwa maana yake.
0 Reactions
4 Replies
755 Views
Habari ndugu naomba kufahamu nguvu na uwezo wa Alphard G naiwaza ninunue iwe ya familia iwe Ni 4 cylinder,Nawakilisha kwenu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari ya Majukumu Wakuu! Nina gari yangu Ndogo IST, Nikijaribu Kukanyagia walau nifike 120Km/Hr, Speed ikifika tu 100 na Kuendelea napata Mtikisiko Mkubwa saana wa Injini. Naomba Kueleweshwa...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wana jf tujadiri kidogo wataaramu wa magari na watu ambao mshawahi miliki magari ni ushauri upi utautoa kwa mtu ambae anataka kununua gari ya kutembelea na isiozid 25m,ni gari gani anunue...
0 Reactions
6 Replies
959 Views
Tafadhali wataalamu, nini inaweza kuwa sababu ya gari kuwa na mtikisiko mkubwa inapofikia speed 50 na kuendelea, mtikisiko huo unaambatana na mvumo fulani usiojulikana unatoka wapi, mafundi zaidi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina gari aina ya Nadia, shida kubwa ni kua sterling poweryake ni mgumu sana pale ninapokata Kona, Nmejaribu kuweka fluid, nmenunua Hadi Rek hamna mabadiliko, Shida ni nini? Kwa anahejua naomba...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Mwenye Gx 110 atupie picha hapa tuoneshe mdau anahitaji, budget haizidi 5ml
1 Reactions
8 Replies
742 Views
Back
Top Bottom