JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wataalam, Pikipiki yangu ni ndogo aina ya Sinoray 110, Full tank mafuta ni Lita tatu (3) tu. Nilipoinunua ikiwa mpya nilikuwa naitumia hadi siku 6 kwa mizunguko yangu ya kwenda kazini na kurudi...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Kwa miaka yangu mingi barabarani.. Gari zinazoongoza kuishiwa na mafuta njiani ni Toyota hasa hasa hizi wanasema zinanusa tuu mafuta.. Yaani mafuta yanaisha yote mpaka tank inanukia kutu.. Pump...
10 Reactions
43 Replies
4K Views
Ndugu zangu habari, Kama ambavyo utangulizi unavyo jieleza,nataka ninunue kati ya hizo gari tajwa hapo juu,naomba ushauri wenu na utaalamu juu ya hizo gari. Asanteni sana hapo chini...
3 Reactions
16 Replies
6K Views
Wadau habari, Nina kagari kangu ka vitz old model. Kumbukeni mimi ni kabwela nimejichanga changa tu japo na mimi nipate kausafiri. Sasa kalikuwa na leakage, fundi akafungua cylinder head akatibu...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, naomba kuuliza bei za sunspension za gari aina ya Toyota Raum ni bei gani?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salama wanajukwaa? Leo tutagusia baadhi ya gari za mizigo ambazo hupendelewa zaidi hapa nchini kwetu Tanzania. Tutaziangalia kuanzia ndogo kabisa kuelekea zile kubwa. 1. Suzuki Carry Hizi ni...
25 Reactions
62 Replies
48K Views
Habarini za majukumu ndugu zangu wa Jf. Bila kupoteza muda twende kwenye maada moja kwa moja.. Nina mpango wa kuagiza gari aina ya townace kwa ajili ya biashara nilikuwa naomba kujua kuhusu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kumekuwa na promo nyingi sana kuhusiana na kampumpuni ya hellow hunter juu ya uuzaji wa hizi pikipiki zao zenye muundo wa boxer. Nina mpango wa kununua pikipiki mpya mwishoni mwa mwaka lakini...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Fuel Injection Pump For Mitsubishi Pajero 4M40-Te Me202411/104701-
3 Reactions
40 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyosema, tuko ukingoni tunaiaga namba EA sasa ni wakati wa namba EB. Karibu EB na kwaheri EA!
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari wakuu.....nahitaji kujua bei ya kukodisha Noah kutoka dar mpaka arusha
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, wadau tushirikishane kampuni nzuri na best inayomfaa mteja kuagiza magari nje ya nchi. Na pia wale ambao wamewahi kuagiza watupe uzoefu wao na waliyopitia...
3 Reactions
42 Replies
13K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza watu wengi sana wamekua wakipata ugumu Hasa linapokuja swala zima la kutafuta mnunuzi au mtu anayetaka kukodisha gari yake. sasa leo Nitakufahamisha njia...
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Kuna Jeep inatumia gearbox Oil ya ATF+4. Je ni wapi kwa hapa Dar wanaweza kuwa wanauza hiyo Oil? Natanguliza shukrani.
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Heri ya mwaka mpya wana jamvi, nawatakia 2022 wenye baraka Kwenye mada,naomba kuuliza inachukua muda gani kutoa gari bandarini baada ya meli kushusha, maana ni muda sasa tangu meli ishushe wakala...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Wajuzi mnaonunua magari mara kwa mara naomba uzoefu wenu hasa mnaonunua magari mikononi kwa watu Leo Kuna Gari nilikuwa nataka kununua kwa mtu lakini Dalali kaja na mtu anayedai ni mmiliki wa...
10 Reactions
54 Replies
3K Views
Naaamini hapa kuna wataalamu na watumiaji wazuri wa magari mbalimbali, basi ukiwa kama mdau wa magari naomba ushauri juu ya hii gari make ya toyota model ya hilux surf... kiujumla kazi zangu ni za...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kama title inavyosema. Huwa navutiwa sana na muonekano wa nissan juke. Na pia hazipo common sana kwa huu ukanda ninaoishi. Natamani kuagiza hii gari kabla huu mwaka haujaisha, kwa ajili ya route...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama ndio itakuwa mara yako ya kwanza kuendesha Gari hasa hizi za Kijerumani usipokuwa makini zinakuaibisha wazi wazi, mimi binafsi haya magari yamenitoa nishai kiasi chake, matukio yangu ni kama...
11 Reactions
62 Replies
5K Views
Salama wanajukwaa, Nimejiangalia nimeona siwezi kununua land Cruiser amazon au jamii ya zile gari. Lakini nimejiwa na wazo nitafute gar kama hiyo ambayo imekufa ninunue bodi lets say mil 3 au 4...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom