JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
habari wataalam wa magari na watumiaji naombeni changamoto za nissan juke ni gari ya aina gani nitashukuru sana nikipata majibu
0 Reactions
1 Replies
746 Views
Habari wakuu Leo katika pilika nmekutana macho kwa uso na Rumion new model,mitaa ya mwenge baadae nkakutana nayo tena mikocheni. Mwanzo nlizani ni toyota Ipsum kuchek nyuma ni Rumion Ina shape...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kukodi gari zifuatazo kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale kwa muda wa siku 7 mpaka 14 ndani ya jiji la Dar es Salaam. Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu ya utafutaji lakini pia nawatakia sikukuu njema na Familia zenu. Wakuu Nina budget ya 4M hadi 5M nataka bike imara yenye uwezo wa kutembea long distance hadi 150 km with...
0 Reactions
92 Replies
18K Views
Habari wakuu, Juzi nimeona Clip ikionyesha Toyota Crown yenye 2.5L na Top Speed ya 260km/hr, Tumezoea Magari haya wakiyadisi kuwa yana nguvu ila Top Speed yake ndogo (180Km/hr), hivyo naomba...
6 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari, Naomba kujua ni gear box oil gani ni kwa ajili ya pajero mini snoopy edition. Nataka nibadili ila deep stick haijaandikwa chochote. Msaada kwa ushauri au source ambayo naweza pata uhakika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari za Asubuhi. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naombeni kujuzwa na kuonyeshwa mahala hicho kifaa kilipo kwenye engine ya Gari a in a ya Spacio New Model Kama nilivyoambatanisha na...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Kama mada inavyojieleza wakuu nilinunua gar mkonon baad ya miez ikaanza kutoa moshi na oil nilibadili xxa nikaamua kushusha Engine nzimaa kwa fundi maiko ikatulia gari Ikawa nyepes ulaji wa mafuta...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu, salama? Nimeombwa ushauri hapa wa gari nzuri ya kununua isiyozidi milioni 60. Rafiki yangu mmoja yuko huko kwenye machimbo Geita kapata pesa anata gari nzuri. Vile mimi sio mtaalamu wa...
7 Reactions
109 Replies
7K Views
Magari ni kama rav 4 old model yenye engine 3S-fe na magari yenye engine za G Kavu pia engine zinaishia na FE, siri ni nini ??
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Zote zikiwa na hali nzuri Rav 4 2az engine Less than 100000km Prado 2000 Km 120000 Hapa tuzungumzie only Durability Spare parts Changamoto zake . Matumizi ni town trip km 20 daily Na longtrip km...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Yaani lita moja kwenye rough road inatembea km 5 tu, je hii ni kawaida? Pia ina tatizo la kuchelewa kubadili gia, natamani kuwapatia mafundi waicheck gear box ila wasiwasi wangu wasije wakaiua kabisa
1 Reactions
3 Replies
604 Views
Sina mengi ya kuandika .. hicho ndicho nikitakacho tu.
1 Reactions
6 Replies
532 Views
Wakuu habarin. Block yangu ya pikipiki boxer 150 inatoa moshi sanaa ...sasa fundi kaniambia block imetanuka....sasa nimetafuta spear nimekosa nimepata ya Yog ya kichina for BM 150 Je, ni imara...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nina pikipiki aina ya "Power Star", nina tatizo ya kupata vipuli vyake, mfano accelerator wire, spare za vipuli vya engine n.k kuna mtu anaweza kunisaidia naweza kupata wapi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bila kuwachosha, niende kwenye mada. Nimetokea kuipenda sana hii gari, na ninataka kuinunua. Lakini kabla 'sijajilipua', ningeomba mawili matatu kuhusiana nayo kutoka kwa wataalam wa magari au...
7 Reactions
75 Replies
11K Views
Habari wakuu, Wapi naweza kupata vioo vya site mirror ya IST vioo vyangu watoto wa mtaani walirusha jiwe kikapasuka Site mirror ni nzima, kioo ndio kina tatizo
2 Reactions
6 Replies
929 Views
Kwema wakuu.? Naulizia nitapata wapii taa za mfumo huu na je unaweza fanya modification kwenye gari yeyote.?
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Heshima kwenu Wakuu! Hapa kati nimejichanga kama $ 13000 hivi nikaona sio mbaya nitafute SUV kwa ajili ya Safari za Porini hasa siku nimeamua kutembelea mbuga za wanyama. Katika Pita pita zangu...
6 Reactions
105 Replies
26K Views
Back
Top Bottom