JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu Habari, Leo nimeona nielezee kidogo kwa namna gani unaweza kujua uhalali wa kilometer zinazosoma kwenye gari unalotaka kununua either mkononi kwa mtu ama yard. Hii njia haitaweza kuapply...
11 Reactions
17 Replies
5K Views
Anayeuza premio old model tutafutane,
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu hii Gari nataka kuinunua, nimpatie Dogo apige nayo kazi ya Bolt, ni Vits namba B inauzwa 4.5 tumeshushana na jamaa hadi 3.8 na amegoma kushuka zaidi ya hapo, vipi nikichukua kwa bei hiyo ni...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, wakurungwa hongereni na majukum ya jumanne ya leo, nakuja na mada uliwezaje kununua chombo cha usafiri kwa bei rahisi? Namanisha fedha kidogo tu ikawezekana kuwa na usafiri nahujajutia...
0 Reactions
7 Replies
992 Views
Msaada wakuu. Ni sehemu gani Dodoma naweza pata garage au mafundi wazuri wa hii gari? Maana nahisi kama mafundi wengi naowapelekea hii gari inawashinda. NB: Ina tatizo kwenye kuwasha, ukipiga...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Baada ya kula buyu siku sio nyingi nilifuatilia chanzo na kugundua ABS module imeziba kwenye njia moja na kupelekea gari kutopeleka hydraulic kwenye mguu wa kushoto mbele. Hivyo ililock brakes...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Hili tukio la kuonyesha magari kazaman na kisasa siko tayar kulikosa. Mwenye taarifa kamili ni wapi na lini anijuze. Nimepata taarifa robo. Je, unaleta ndinga gani? Umemiss ndinga gani? Ya kale...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Natamani kufanya conversion ya SUV kuwa pickup..(10ft longbase) Kati ya suzuki Escudo (anytype) Samurai (anytype) Naomba ushauri wenu vitu vya msingi vya...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu habari za muda huu, Kuna suala naomba nipate ufahamu zaidi. Imekuwa ni kawaida kwa watu kuuliza kama gari limerudiwa rangi au kubadilishwa rangi pale anapotaka kulinunua mkononi kwa mtu...
4 Reactions
80 Replies
14K Views
Kuna madereva huwa wao wakishaweka D ndo nitolee mwendo mdundo, unakuta Brake pads zinaisha hajui zinakula disc mpaka inakua nyembamba utafikiri CD. . Sasa Basi nimekuandalia Tips rahisi kwa ufupi...
13 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenyu .. Ma engineer.. Naomba kujuzwa kwa uzoefu wenu kuwa.. Kati ya kuchimba block na kuweka siilivu ama kutanua block toka standard kuwa size 25 na kuendelea kipi ni bora hapo!!?? Ufanisi...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Nina gari Rav4 kili time ya mwaka 2000 plate namba ABB mpaka leo natembelea, imeshafikisha kilometa 223,320Km m. Hakuna fault yoyote nnayopata, dashboard haiwaki taa zingine zaid ya mafuta na...
8 Reactions
52 Replies
4K Views
2016 Fortuner 2.8 GD 4×2, Rand 520,000
3 Reactions
40 Replies
13K Views
Ni muhimu kuzingatia vipimo unaponunua tairi za gari yako for a safe and comfortable drive. Tairi zikitofautiana even a single dimension ni tatizo. Tairi mbili za mbele na tairi mbili za nyuma...
27 Reactions
265 Replies
87K Views
Habari wadau wa jf, Nmekuwa nikiziona na kuzihusudu hizi gari tokea nimepata ufahamu wangu, leo nimeona nije kushare na wale wengine mnaozifahamu pia hizi gari ikiwa ni gari iliojizolea umaarufu...
12 Reactions
157 Replies
46K Views
Habari za humu wakuu naombeni ushauri wenu kijana wenu nahitaji kununua gari used kwa mtu bajeti yangu ni 3M to 5M. Gari ambazo nazifikiria ni 1.Toyota Mark II gx 110 cc 2000 2.Toyota passo cc...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, tafadhalini naomba msaada wa ushauri kwa mwenye kuijua mazda demio ya 2004 -2006 upande wa running cost zake, magonjwa yake na je kuna uwezekano wa kudumu nayo kwa miaka...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari ya hapa wakuu, Naomba kwa anaefahamu namna ya kujua kama tairi imexpire au bado, maana naenda kununua tairi leo ndio nikakumbuka kuna uzi nilishawahi kuuona huku miaka ya nyuma ukielezea...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Habari zenu wakuu, Niende moja kwa moja kwenye mada naomba maelezo kuhusu kununua gari hiyo pichani yaani rav4 1995-2000 mkononi (used)uliyotumika hapa Tanzania ni vitu vipi vya kuzingatia, Budget...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna Watu Mmejaaliwa vipandwa na miongoni mwa vipandwa hivyo ni aina ya hizi gari PRADO 95 (MCHAGA),PRADO 120 (DIAMOND) Hizi gari zinaweza kukusaidia kuingiza kipato kwa kukodisha kwa watu binafsi...
9 Reactions
13 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…