JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mzigo mpyaa
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu kufahamishwa ubora wa noah voxy, ni chaguo sahihi kwa Mtanzania kima cha chini, na nikihitaji kuliuza miaka mitatu ijayo soko halitanisumbua?
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Aina ya gari ninalotaka iwe noah old au rav 4 old, au suzuki Escudo. Naomba kujua ipi inafaa kwenye rough road sana. Na ipi ni nzuri kati manual na automatic.
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimenunua Pikipiki lakini sijui jinsi ya kuendesha, naomba mtu anifundishe jinsi ya kuendesha nitamlipa, napatikana Dar.
1 Reactions
14 Replies
21K Views
Wakuu habari za jioni! Leo nilikuwa naperuzi kwenye mtandao nikakutana na hii gari aina ya SUZUKI LANDY. Kwa ufupi nimeipenda na nikasema nijichange hadi kufikia mwakani niinunue. Lakini cha...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu, nataka nichukue kindika cha kufanyia Uber niachane na ajira hizi za manyanyaso. Nataka kujua kwanza wateja wengi wanapenda au kuwa comfortable na gari ipi wanapotaka kutumia Uber. Nataka...
0 Reactions
74 Replies
20K Views
Husika na mada hapo juu, Mwenye uzoefu au kampuni ya kutoa magari bandarini naomba anisaidie gharama ya kutoa gari tajwa hapo juu. Asante
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Kiukweli unaweza usione faida yoyote lakini faida ipo tena kubwa tu. Kuna faida kuu mbili 1. Gari ina accelerate faster 2. Gari inakuwa na matumizi mazuri ya mafuta. Tuachane na gearbox za...
16 Reactions
73 Replies
9K Views
Hili jibu alipewa Bonilove wakati anataka kununua Mazda Atenza na Boni Bila hiyana akavuta mzigo na picha ndo likaanzia hapa,.. . Boni ni mkazi wa makao makuu ya nchi wenyewe wanapaita Dodoma na...
16 Reactions
25 Replies
5K Views
Nimeona mabango mengi yaliyowekwa na TANROADS kwa ajili ya tahadhari yanatanguliwa na maneno yenye herufi kubwa yahusuyo TANROADS badala ya kujikita kwenye kutoa tahadhari. Naomba wafikirie...
2 Reactions
3 Replies
480 Views
Wakuu ipo gari aina ya Canter inauzwa kwa bei ya M18 ikiwa bado ni nzima kabisa na haina udalali wowote, karibuni My number. 0714 664 520
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Bajeti yang ni 15 ml..Naweza PATA gari ya namna gani ambayo ni nzuri ht Nilitoka nje ya dar. Pamoja na consumption ya mafuta ushauri wenu
1 Reactions
13 Replies
929 Views
Magari ya kisasa yana dhana ya Kizimba/Ngome: ikimaanisha sehemu ya abiria imetengenezwa kwa chuma chenye nguvu zaidi kuliko magari ya zamani, hivyo basi hadi huduma za dharura zinahitaji mafunzo...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada,je hizi usukani wa airbag gari ndogo za Toyota zinaingiliana na mpya mfano wa RV4 ni shilingi ngapi?,au used wenye ubora inaweza kuwa kiasi gani cha pesa
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Naombeni ushauri Kwa wazoefu, kati ya hizo gari ipi itanifaa mie nayeishi kijijini kwenye Barbara mbovu?
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanajamvi Naomba Msaada wa Kujuzwa Program Gani ambayo Nitaandika kwa Kiswahili kisha intranslate kwa English. Naitaji Kuandika Makala za Mada Kazaa..Sasa Siitajia kufanya makosa katika Uandishi...
0 Reactions
3 Replies
744 Views
Kati ya SUV kali aliyotoa Mitsubish hi hii mitsubishi outlander 2022 Mwaka 2016, Nissan-Renault Alliance walinunua share ya Mitsubishi kwa 34% wakiwa wamiliki wenye hisa kubwa kwenye Kampuni ya...
6 Reactions
17 Replies
3K Views
Nna gari aina mark x inasumbua sana tatizo la starter na power steering. Hasa starter. Jinsi lilivyo ukiliwasha Majira ya asubuhi litawaka vzuri ukitembea kuanzia kilometer 40 kuendelea au ukikaa...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Welcome to the Formula 1 official thread. Anything related to F1, you are welcome. Teams: 1. Red Bull Racing 2. Ferrari 3. Mercedes 4. Alpine 5. McLaren 6. Alfa Romeo 7. Haas F1 Team 8. Alpha...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Wajuzi naomba ushauri baada ya kujichanga na ni mpya ktk kumiliki usafiri. Lipi gari zuri kwa matumizi private, ukizingatia uchumi pande za spare, durability, running expences kati ya prado...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Back
Top Bottom