JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habarini za kazi, Jana nilienda kufanya service kwenye kababy walker kangu. Baada ya service ya kawaida (kubadili oil, greasing n.k) fundi akaangalia transmission fluid (ni ya toyota ATF Type IV)...
0 Reactions
9 Replies
717 Views
Kama kichwa cha habari hapo kinavyoeleza maombeni msaada wa DIAGRAM ya ist yenye engine ya 1nz fe na ile ya 2nz fe kwa mwenye nazo anisaidie wakuu nina shida nazo kwa mwenye nazo naomba me na kwa...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Na gari ndogo ya abilia Aina ya Rosa. Inasumbua Sasa kuzima gafla. Fundi moja amesema pump za umeme zinasumbua anasema nibadili. Ila bajeti inakuja m4+. Sijaelewa. Nahitaji fundi aliyoko Kanda ya...
1 Reactions
0 Replies
549 Views
Wakuu naombeni msaada nifanye Nini kuondoa mis kwenye gari ya Suzuki Swift old model 2001 ilianza baada ya kuosha engine. Fundi amenishauri nibadilishe plug, pump lakini bado miss ipo vilevile...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Miami International Boat Show ni maonyesho makubwa ya boti na vifaa mbalimbali vya majini. Mashindano haya hufanyika katika mji wa Miami huko Marekani na kukutanisha makampuni ya utengenezaji...
7 Reactions
16 Replies
3K Views
Habarini wana jamvi, Naomba kujua ubora wa gari kutoka kampuni ya autocom japan maana naona bei zao ni nafuu kidogo ukilinganisha na wauzaji wengine (Befoward & sbt). Je, nini kina chagiza hili...
3 Reactions
33 Replies
6K Views
=PATA UPDATES ZOTE ZA : RALLY (WRC) (ARC) (NRC) etc : DRAG RACE (Oldonyo SAMBU) (Masinga TT) etc...
7 Reactions
345 Replies
34K Views
Salama wana GT Kuna jamaa anataka kununua family car, na baada ya search ya muda mreefu amepata Honda Crossroad ila hana uhakika na upatikanaji wa spare parts, so anaomba ushauri kwenye spare...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Wakuu Naomba msaada.Hii gari sijawahi kubadili Oil tangu ninunue hivyo imefika wakati nataka kuweka Engine Oil.Naomba ushauri wa Engine bora kabisa na genuine kwa gari hii. Ahsanteni
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari za saa hizi wakuu, poleni na majukumu, gari yangu (corolla spacio) ilipata majanga iligongwa mbele vitu vyote vya mbele vikaharibika including fan, radiator na vyote vya mbele pale, so...
4 Reactions
46 Replies
8K Views
Wapi nitapata na kufungiwa Vitz compressor na Kwa bei gani?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta. Ombi langu kwenu: Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo...
8 Reactions
85 Replies
16K Views
Kampuni hiyo ya kuunda Magari imesema taarifa zilizovuja ni pamoja barua pepe 296,019, namba za wateja wanaotumia mfumo wa T-Connect na namba za simu zinazounganisha magari kupitia mtandao...
1 Reactions
6 Replies
955 Views
Naombeni kujua bei ya engine and gearbox mtumba za scania 124. Kuna mtu anataka kuniuzia lakini naona anataja bei kubwa kuliko nilivyoelekezwa na fundi wangu.
3 Reactions
5 Replies
2K Views
IVI KWANINI HIZI GARI AINA YA PRADO TX,, HUWA WATU WENGI WANAZIITA MCHAGA,,,, VIPI KUHUSU UBORA, SPARE UPATIKANAJI, ULAJI WA MAFUTA N. K
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajukwaa kama kichwa cha habari hapo juu. Nataka kununua gari moja Kati ya hizi mbili, zote ni model moja,lakini moja inatumia disbutor na nyingine inatumia coil.kati hizi ipi itanifaa? Naomba...
1 Reactions
4 Replies
568 Views
hiii gari kumbe ni tamu hivi sikujua kama ina hiii kitu iko poa sana nimeipenda ina bidi nikanunue siku moja nikienda mbinguni
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu habari, Naomba ushauri wenu nahitaji kununua gari aina ya toyota alphard ya kuanzia mwaka 2006, Sina uzoefu na magari, katika bei ,ulaji wa mafuta, nk. 🙏
7 Reactions
52 Replies
50K Views
Habari wakuu! Week 3 au 4 nyuma niliwasilisha ombi langu kwa WanaJF kunisaidia aina ya gari ya kuanzia maisha hasa kwa budget ya 10M. Wengi walinishauri kuanza na IST au Vitz, ila nilipofika...
36 Reactions
124 Replies
17K Views
Naomba mwenye uzoefu wa hii gari anisaidie kuhusu uzuri na mapungufu yake, kama vile matumizi ya mafuta n.k. Ni gari ambayo nimetokea kuvutiwa nayo kwa muonekano wake wa nje japo ya ndani siyajui.
0 Reactions
3 Replies
915 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…