Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Huu uzi ni matokeo ya utafiti nilioufanya kwa miaka zaidi ya 15,nilifatilia matukio mengi ya watu wanaodai kutajirika kwa nguvu za ngiza,nilisoma vitabu vingi,niliongea na ma guru wengi na mwisho...
100 Reactions
257 Replies
13K Views
vitabu vitano vitakavyobadilisha maisha yako totally! How you think, act and behave towards undertaking any business venture. Hellow Ladies and Gentlemen. Hope you are excited as I am!!.. what a...
18 Reactions
63 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu, Experts wa mambo naombeni ushauri hapa. Nina 30mill, niko interested na kufungua Phamarcy/uwakala wa miamala ya pesa (simu na bank). Je, biashara ipi itafaa na haitanihitaji...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu naomba muongozo mwenye hakika na haya anijuze. Nawaza kufungua ofisi ndogo ya kuwa wakala wa hudumu za kifedha kupitia mitandao ya simu, Je, leseni ya biashara inapatikana kwa...
4 Reactions
66 Replies
116K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Ubunifu ni kipaji na sanaa ni kipawa.. Msanii wa hivi vitu chochote aonacho tayari akilini mwake ameshakipatia kazi..leo twende na mapipa tupu
2 Reactions
35 Replies
433 Views
Wakuu nisaidieni soko kwa hapa Dar es Salaam, nina bidhaa malimao na maparachichi kutoka Moshi mazuri na ni makubwa. Nipo Mbezi kwa Msuguli 0673 106 409
2 Reactions
3 Replies
194 Views
Binafsi me ni msomi na Kwa Sasa nimejiajiri katika kilimo. Kama kawaida kilimo Kuna kipindi tunapata Kuna kipindi hali inakuwa mbaya mno Kuna fursa au taaluma zinalipa Kwa vijana, Ile kijana...
26 Reactions
136 Replies
4K Views
Habarini wana JF. Baada ya kuwa kimya katika kipindi kirefu nimeona sio mbaya nije kushare mengi kuhusiana na hii field ili tuweze kukomboana kwa wale watavutiwa na hili hasa kwa mikoa yetu hapa...
20 Reactions
249 Replies
32K Views
Wapendwa kwema poleni na majukumu nimeona fulsa kidogo hapa kijijini kwetu. Kakatika pitapita zangu nimeona fulsa ya ndizi huku kijijini kwetu nimeona zinapatana kwa wingi sana sasa kabla...
2 Reactions
2 Replies
123 Views
BAB KUBWAAAA!!! 2025 OFFER💥 HARUSI,SEND OFF PARTY,BAG PARTY & KITCHEN PARTY. Book now get your Date....... Huduma za MC,MUZIKI,MAIDS,CHAKULA na MAGARI ya HARUSI. Karibu uhudumiwe nasi na...
5 Reactions
11 Replies
209 Views
Nina wazo la kuuza samaki wabichi naomba mwongozo kuhusu hii biashara nipo mkoa wa geita
1 Reactions
7 Replies
274 Views
Habari wana jukwaa, ninaulizia nitapata wapi water vending mashine/ kiosk Natanguliza shukran
0 Reactions
11 Replies
290 Views
Kwa trader unaeanza anza kupata faida ni vizuri zaidi ku withdraw profits zako au kuziacha ili mtaji wako ukue? Nishaulini wapendwa.
4 Reactions
31 Replies
663 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Msaada jamanii, Nataka kufungua library ila naitaji kujua mashine ipi nzuri kubwa, namaanisha full computer ambayo inauwezo mkubwa. Pia naitaji kujua bei za CD kwa jumla pia na bei za protector...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naona kuna NGO nyingi tu za watu binafsi. Wanatumia mbinu gani kupata funds?
3 Reactions
164 Replies
9K Views
Naombeni msaada jinsi ya kupata soko la viazi mviringo mkoan , Lakini pia gharama za usafirishaji kuja dar es salaam . Gharama zake zimekaaje . Naombeni msaada wa mawazo
1 Reactions
4 Replies
198 Views
Mnamo mwezi wa nne mwaka 2024, Kampuni ya kuchimba madini ya Barick walitoa barua kupitia wizara ya TAMISEMI kuwataarifu juu ya kufadhili ujenzi wa madarasa, mabweni na vyoo katika shule...
1 Reactions
11 Replies
270 Views
Kijana mdogo Ontario licha kupiga hela ndefu kwenye forex. Kashindwa kunawiri na kuwiva kama dogo mwenzake mpigaji kutoka south Africa Sandile Shezi.
13 Reactions
97 Replies
12K Views
Back
Top Bottom