Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Nimewahi shiriki shughuli za kisiasa directly 2015, 2020 kama Msafirishaji, uchaguzi ni mchakato wenye hela sana. Nimeiuliza CHATGPT namna gani unaweza tengeneza kipindi cha uchaguzi huu wa...
1 Reactions
1 Replies
250 Views
Mashine ni mpya kabisa, imetumika kwa miezi miwili tu. Unafaa kwa matumizi ya ofisi, chuo, Stationary na biashara. Bei poa 2,000,000/- karibu tuongee. 0712302556, 0684240927
1 Reactions
2 Replies
163 Views
BILIONI 46 ZACHOCHEA UCHUMI KIBONDO SERIKALI ya Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma imesema Sh bilioni 46.4 zilizotolewa na serikali zimetekeleza miradi mikubwa ya kijamii na kuleta mapinduzi makubwa...
0 Reactions
2 Replies
81 Views
Kile unachodhani ni takangumu ya kutupa au kuchoma moto kwa msanii wa ubunifu ni malighafi ya kutoa kitu cha kushangaza.. Ni uwezo wa aina yake kugeuza kisicho na faida kuwa cha faida
1 Reactions
34 Replies
310 Views
Anahitajika Bachelor Pharmacist mwenye leseni kusimamia Phamarcy Location: Dar es Salaam NOTE : SIO LAZIMA YEYE KUWEPO PHYSICALLY SALARY: NJOO NA DAU LAKO Mawasiliano: 0767810030
1 Reactions
1 Replies
88 Views
Wakuu, nafikiria kuanza kufanya biashara ya kununua mayai kwa wafugaji na kuuza ama kwa kusambaza ama kufungua kakibanda, ila sina uzoefu mkubwa na hiyo biashara. Sasa naombeni mnipe ABC's zake...
5 Reactions
25 Replies
16K Views
JULIANA SHONZA NA JITIHADA ZA KUINUA UCHUMI WA WANAWAKE WILAYA YA SONGWE Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza ametembelea vikundi vya ujasiriamali vya Wanawake...
1 Reactions
2 Replies
143 Views
Habarini wanaJF, naomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara hii anipe abc. Nina mtaji wa laki nne nataka niagize nazi niiuze bei ya jumla kwenye masoko mfn. Ilala, Temeke au BugurunI
8 Reactions
12 Replies
426 Views
Habari wakuu naomba wataalam au waliowahi kufanya, wanatarajia wanafanya Biashara hii ya lodge au maarufu kama bandas. Zinakuwa kama kota, zenye mazingira tulivu yenye garden kiasi na sehemu...
1 Reactions
3 Replies
251 Views
Ni muda sasa umepita na watu wengi wamekuwa wakichangia mijadala na kutoa Thread mbalimbali kuhusu mawazo ya biashara, na muongozo wa uendeshaji wa biashara ni muda rasmi kila mmoja alifanikiwa...
2 Reactions
1 Replies
239 Views
Habari wana jamvi, Nahitaji msaada na ushauri biashara ya spare za pikipiki. Kuna uzi huku wa mda mrefu kuhusu hii biashara ila nimeshacoment hakuna majibu...naomben kama kuna anayefanya hii...
10 Reactions
115 Replies
61K Views
Jamani wanaforums, nina mtaji wa kutosha kufungua duka la dawa (pharmacy)na nataka kusimama mwenyewe kwenye biashara yangu ila sina elimu ya afya na nina mpango wa kuanza chuo kwa ngazi ya...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
  • Redirect
Mpendwa Mwekezaji Je! Muda wote umekuwa ukitafuta njia ya kujiongezea kipato cha uhakika kila mwezi, lakini kila unachojaribu kinashindikana? Lakini vipi kama kuna njia rahisi, isiyo na...
3 Reactions
Replies
Views
Habari Wana JF Naomba kwa mtuu anae ifahamu Bukoba anipe abc za fursa za kibiashara Nina mtaji wa million 5 nanimgeni katika mkoa huo 🙏
6 Reactions
17 Replies
336 Views
"F~B~I " Lakini... . ...Kabla ya kukwambia Maana ya hizo Herufi 3 nataka Kwanza nikwambie Kitu Hiki KIMOJA . "Njia Pekee ya Kuongeza Thamani ya Fedha Zako ni Kuwekeza" . (The ONLY Way To Grow...
2 Reactions
2 Replies
252 Views
Uzi huu ni maalumu kwa Vijana wanao hitaji kupata mikopo ya asilimia 10. Ni maalumu pia kwa wanawake wanao hitaji kupata mikopo ya asilimia 10. Utaeleza mambo yafuatayo: (1) Utaeleza vitu...
3 Reactions
8 Replies
656 Views
Habari?naomba msada wa Memorandum and Articles of Association ya CONSULTANT AND GENERAL BROKERS LIMITED.
0 Reactions
1 Replies
82 Views
Wakuu Kuna Haja Ya Kuanza Kuwekeza Kwenye Crypto Kama Bado Huja Anza. Dogecoin Mwezi Uliopita Yaani Tarehe 31/10 Ilikuwa Inauzwa Dollars 0.168146 Sawa na kama TZS 200 Kwa Exchange Rate Ya Tarehe...
14 Reactions
85 Replies
4K Views
Kama ilivyo kawaida JamiiCheck imekuwa ikifuatilia mambo mbalimbali na kuleta mrejesho kama ni kweli au si kweli. Mimi leo nina jambo ambalo naomba lifuatiliwe na kuleta majibu kama ni sahihi...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu poleni na majukumu naona fursa kwa upande wa mazao au nafaka pia hata matunda. Nahitaji kuingia huku kwenye hii biashara ila nahitaji mwongozo zaidi. Nilikuwa naomba kwa anae fanya hii...
1 Reactions
5 Replies
284 Views
Back
Top Bottom