Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Je ni Mkoa upi unafaa Kwa kuishi nanutafutaji kati ya haya Majiji 2? Mbeya-Ikiwakikisha Nyanda za Juu Kusini. Tanga-Ikiwakilisha Kaskazini Mashariki ya Tanzania.cc Accumen Mo...
6 Reactions
71 Replies
3K Views
Toyota Land Cruiser 2024 White Foreign Used Automatic 1000 km No faults Second Condition Toyota Make Land Cruiser Model 2024 Year of Manufacture White Color Black Interior Color Show more...
2 Reactions
32 Replies
442 Views
Kampuni ya Moms Consulting imeamua kurudisha kwenye jamii kwa kutoa ofa eneo la usajili wa makampuni na biashara(Company and Business name registration) na Ushauri wa kodi(Tax consultancy),kuanzia...
0 Reactions
7 Replies
333 Views
Habari wana JF husika na mada tajwa hapo juu' Mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
0 Reactions
28 Replies
149 Views
Kuna baadhi ya watu wameumbwa kupinga Kila kitu, kuna Uzi mmoja wa jamaa anazungumzia bishara zinazo lipa zaidi kuliko baadhi ya watumishi serikalini. Ajabu nikwamba, mtu anatokea kupinga...
6 Reactions
10 Replies
336 Views
Habari ya leo wanajamii forum ?natumaini tunaendelea kupambana na kuendesha gurudumu liende mbele. Waswahili wanasema ili usianguke na baiskeli hauna budi kukanyaga pedeli ili isonge mbele na...
1 Reactions
4 Replies
275 Views
Tafuta product moja unayoweza kuweka nguvu zako. Bidhaa hiyo utaiuza kwa sh elfu 10 kwa wateja 2000 kwa mwaka. Hakikisha ni bidhaa inayohitajika sokoni. 10,000 * 2000=20,000,000. Mfano...
21 Reactions
95 Replies
2K Views
Habarini wakuu Kwa muda mrefu nimekuwa na wazo la kufungua biashara ya uuzaji wa unga wa mahindi ambapo unga utakuwa unasagwa mkoani na kuletwa huku Dar Kutokana na ugeni katika nyanja hii...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
Karibu katika ujenzi wa vyoo visivyojaa! Kama umependezwa na hii huduma, au unauhitaji na hii huduma tafadhali tutafte kupitia +255689753787! FAIDA YA HIZI SHIMO 1. Kama utajenga kwa kufata...
2 Reactions
9 Replies
271 Views
Nataka kuanzisha duka la spear za pikipiki,Bajaj hapa jombe na mbeya . Ila sina muda wa kusafiri kwenda china so nataka niwe naagiza spear hapa hapa Tanzania , wapi napata chimbo la spea kwa Bei...
1 Reactions
13 Replies
375 Views
Tanzania ina maeneo mengi yenye shughuli nyingi za kiuchumi na fursa za biashara. Hapa chini ni orodha ya maeneo 13, yenye fursa nyingi za kiuchumi: 1. Dar es Salaam: Jiji kuu la kibiashara...
6 Reactions
71 Replies
2K Views
Kwanza niseme tu mimi ni kati ya watu, waliokuwa wakiamini betting kwa asilimia 100, nilikuwa na imani betting ndio kitu itanitoa kimaisha, kuhusu betting ulikuwa huniambii kitu, kuna ile kauli...
109 Reactions
245 Replies
32K Views
  • Closed
Kwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania? Nini chanzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa. Hakuna kampuni inayoitwa LBL...
8 Reactions
155 Replies
52K Views
  • Redirect
Pamoja na kuwalaghai wanachama wao kuwa wamewasilisha nyaraka zote BoT kwa uhakiki/ usajili . LBL mpaka sasa hawajafanya hivyo. Wanachama jiandaeni kisaikolojia jamaa wanawapuna kindezi dakika za...
6 Reactions
Replies
Views
Habari zenu wakuu, tukiwa tunaelekea mwishoni mwa mwaka nahitaji niwatie moyo kwa hili, pengine waeza pata pa kuanzia kwa mwaka Ujao. Mi ni kijana mzawa wa kanda ya ziwa mwenye roho ya...
8 Reactions
12 Replies
6K Views
Wakuu napataje Tshs 100k kwa mwezi. Kupitia skills hizi 2d drafting & CAD kwa kuchora michoro ya majengo, mitambo na frontend web development (html, css, JavaScript) kwa kutengeza tovuti za...
0 Reactions
0 Replies
134 Views
Kutokuiunganisha Bandari ya Dar es Salaam moja kwa moja na mtandao wa SGR ulikuwa uamuzi usio na mtazamo wa mbali, na ni moja ya makosa makubwa ya kimkakati katika mradi wa reli mpya. Je...
3 Reactions
4 Replies
230 Views
Wakuu nina kiasi cha 2M kama mtaji na ni juzi nimetoka Chuo Dar wa Salaam nimeamua kurudi mkoani kwa mzazi wangu Geita kuanza maisha maana hadi umri huu wa miaka 24 siku zote pesa nilikuwa napewa...
13 Reactions
84 Replies
5K Views
Back
Top Bottom