Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Gharama yake ni shilingi ngapi wakuu?
1 Reactions
13 Replies
375 Views
Kuna Hard Disc inauzwa kwenye hela ya haraka aje aichukue. 1 TB aina ya Transcend Bei yake ni 70,000 Piga simu au WhatsApp: 0683535699
3 Reactions
0 Replies
91 Views
Looking for Website Design in Tanzania? At PixelLinx, we specialize in creating modern, high-performance websites tailored to businesses of all sizes. Whether you need a corporate website, an...
0 Reactions
1 Replies
102 Views
Kumekuwa na msemo mmoja mali utaipata shambani,, siju moja nilikua katika safari ya kikazi japo ni kazi ya muda hapo mkoani geita,, wale wenyeji wa geita mnaelewa unakuta kikosta (daladala) kina...
5 Reactions
7 Replies
280 Views
Wasalaam, WanaJF wote. Baada ya kuwa mwanaJF mtamazaji kwa muda wa miaka 8 hatimaye nimeamua kujisajili rasmi ili kuwa mwanachama hai ili nami niweze kuleta fikra zangu ambazo huenda zikawa...
132 Reactions
233 Replies
24K Views
Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 tuna balo za nguo aina zote Leo nawapa Bei ya nguo baadhi tu ✅Jeans kiume 450000 kike 320000 PC 80 mpk 90 ✅nguo ya mtoto...
1 Reactions
5 Replies
252 Views
  • Redirect
Kuna tetesi kwamba kuna mtikisiko kuna ukweli??
1 Reactions
Replies
Views
Habari za leo wakuu. Wanyalukolo nimewafikia na wote mkaao nyanda za juu kusini. Wengi mnafahamu kuhusu kinywaji cha ulanzi. Kinywaji hiki huzalishwa kutoka katika aina ya mmea wa ulanzi ambao...
6 Reactions
39 Replies
1K Views
Kichwa cha somo cha husika, chuma hakina kipengele chochote. Km 82, No. E. Non turbo. For serious buyer aje DM. Price 18.5 (Fixed)
2 Reactions
6 Replies
313 Views
Wageni wanapofanikiwa zaidi kuliko wazawa katika nchi nyingi za Afrika, ikiwemo Tanzania, kuna sababu nyingi za msingi zinazoeleza hali hii. Wageni mara nyingi wanauelewa mfumo wa kiuchumi...
2 Reactions
11 Replies
356 Views
Habari wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu. Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi...
77 Reactions
607 Replies
61K Views
Nikiwa kama wakala wa E-money (Miamala ya pesa) nimeshuhudia mambo mengi sana ambayo nafikiri kwa kuyasimulia naweza nikawasaidia watu wengi sana especially mawakala wa hizi Mpesa,Tigopesa...
83 Reactions
87 Replies
43K Views
Eneo lina ukubwa wa 1200 Sq Meter Huduma zote muhimu zipo, ni jirani kabisa na stand ya SGR DODOMA. Eneo ni la kwangu binafsi, sio dalali. 15,000,000 (Milion kumi na tano), maongezi yapo...
0 Reactions
0 Replies
135 Views
Natafuta kiwanja, kiwe medium or low density area. Niko Moshi. Kisiwe 20x20, kianzie 30 x40 au 40×40. Asante, PM.me kama una connection
3 Reactions
2 Replies
138 Views
Najua unatamani sana kuanza biashara. Unaiota, unazungumzia kuhusu hiyo, unakatiza kupitia hadithi za mafanikio mtandaoni ukifikiria, Hii inaweza kuwa mimi. Lakini unapokuja kuchagua wazo...
1 Reactions
2 Replies
221 Views
Kwa Tanzania huyu mmiliki wa mabus ya Shafineyz ndiye mmiliki mdogo zaidi wa mabus kwa Tanzania au kama nitakuwa nimekosea mtanirekebisha. Ila tusiwe tu wachoyo wa pongezi inabidi tumpongeze...
20 Reactions
106 Replies
3K Views
Watu wengi tumekuwa tukipeana ushauri wa biashara zinazolipa hasa kwa wale vijana wadogo wanaoanza pilika baada ya kutoka masomoni. Nimekumbuka biashara kadhaa nzuri ila sio rafiki kwa anayeanza...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
Kila mtu ana ndoto ya kuwa na mradi mkubwa wa biashara. Lakini lazima tukubali ili ufike sehemu lazima uanzie somewhere. Kwa wajasiriamali wengi huwa tunatamani ukipata mashine au kifaa fulani...
49 Reactions
431 Replies
72K Views
Kwa pamoja, sasa tuanze kujifunza hatua moja hadi nyingine. Njia 8 za Kugundua Wazo Lako Kubwa 1. Tambua Uwezo Wako na Mambo Unayoyapenda Moja ya njia bora za kugundua wazo lako la biashara ni...
1 Reactions
0 Replies
114 Views
Back
Top Bottom