Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Maana ya Passive Income: Passive income ni kipato kinachopatikana bila kufanya kazi kila siku. Mara tu unapowekeza muda, pesa, au jitihada za awali, kipato kinaendelea kuingia bila ya kujihusisha...
3 Reactions
1 Replies
351 Views
Wanajamvi habari. Naomba msaada wa mawasiliano ya Afisa masoko wa kiwanda cha mabati cha Kiboko. Lengo langu ni kwenda kununua bati mwezi huu. Thanks in advance 🙏🙏🙏
0 Reactions
0 Replies
110 Views
crdb bank kweli watatoboa soko la Dubai au ndoo itakuwa kama chato maana operational cost za Dubai ni kubwa sana na kingine Wana ubunifu mzuri kuingia sokoni .
3 Reactions
9 Replies
268 Views
Toyota-IST Cc 1290 Price- million 11 Location -Dar es salaam Call-0716161683/0655 644 477 Nalengesha mimi & gari haina tatizo lolote
1 Reactions
2 Replies
185 Views
Habari wakuu, Straight to the point. Kuna ka kibanda kangu kamoja nilikajenga nikiwa nafanya kazi bagamoyo manispaa, ni ka jumba Ka vyumba viwili (vyote self), sebule, jiko na public washroom. NI...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Need a ride? We’ve got you covered! From sleek sedans to rugged SUVs, Rhond's company limited offers top-quality rentals at unbeatable prices. ✨ Why choose us? ✅ Flexible rental options ✅...
0 Reactions
3 Replies
165 Views
Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya...
5 Reactions
34 Replies
581 Views
Natamani kufanya biashara kwa kianzio cha laki mbili na nusu he biashara gani nifanye
0 Reactions
1 Replies
237 Views
Habari Wana JF. Thread hii inahusu KARIAKOO Naomba nianze Kwa kutoa shukurani zangu za dhati Kwa Wana JF wote mlio niamini na mkafanya kazi na Mimi shukurani Sana. { ingawa wengi mkija...
6 Reactions
22 Replies
759 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo Jumatatu Februari 17, 2025 amekutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) akihimiza suala la Ujenzi wa viwanda...
0 Reactions
0 Replies
117 Views
Habari wanaJF, Natuamini kuwa mnaendelea vizuri. Mungu amekuwa mwema sana sana kwangu. Nimepotea siku 2, 3 hizi (nlikuwa nahudumia jamii na kumalizia msiba wa ndugu mmoja hivi). Sasa nimerudi...
1 Reactions
7 Replies
388 Views
1. Usikope Fedha Kabla Hujajua Kiasi Cha Riba Unayopaswa Kulipa. Soma Vizuri Ujue Riba ni Kiasi Gani Na Uone Kama Unaweza Kuilipa au Huwezi, Watu wengi likija suala la kukopa huwa wanakuwa na...
4 Reactions
5 Replies
353 Views
WIZARA YATAKIWA KUBUNI MAZAO MAPYA YA UTALII KWENYE ENEO LA AMBONI Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kubuni mazao mapya ya Utalii ili...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Wadau naomba msaada namna bora ya kuanza biashara hii, nianze na bidhaa gani maana simu na assessories ndo ndoto kubwa, Ombi langu kwa wazoefu ,ni kupata taarifa kuhusu bidhaa ipi itapush ndoto...
5 Reactions
17 Replies
467 Views
Wakuu kwema, nipo kwenye kisenta flani hivi kimechangamka na hakuna gym. Naomba kujua mwenye ABC za gym hasara na faida zake, NB zisiwe zile too clasic Asanteni
2 Reactions
6 Replies
241 Views
Wakuu ukigoogle utaona huko mambele hii ni biashara ya kawaida kabisa. Kwa hapa kwetu sheria zikoje?. Je, sheria zinaruhusu mtu binafsi kuwa na mochwari binafsi? Naomba mwenye abc za uhalali...
6 Reactions
41 Replies
684 Views
VIWANDA VINNE VYA UONGEZAJI THAMANI MADINI KUJENGWA MKOANI DODOMA - WAZIRI MAVUNDE ▪️Akagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua Madini ya Shaba* ▪️Dodoma inaongoza kwa uwepo wa aina...
2 Reactions
2 Replies
133 Views
napenda fahamu kweli changamoto zilikuwepo au mwandishi katoa taarifa sio sahihi
0 Reactions
0 Replies
83 Views
Back
Top Bottom