Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Niombe kusema neno moja kwa sasa kuna vitu avizuhiliki kamwe, moja ya hivyo vitu visivyozuilika ni DIGITAL CURRENCY pesa ya mtandaoni Cryptocurrency, ndo habari Duniani aikwepeki, kuna Bitcoin...
4 Reactions
102 Replies
23K Views
Wadau nahitaji kuchukua wapi naweza kupata nguo za watoto umri 0 mpka 3 special huko kariakoo bei iwe simple maana kuna sehemu nataka niuze
0 Reactions
5 Replies
583 Views
Moja ya kazi ngumu kwa mfanyabiashara/mtu wa mauzo. Ni kuuza bidhaa/huduma za bei kubwa kubwa. …..Kuna sababu nyingi tu ambazo huchagiza hali hiyo Ikiwemo kupoteza pesa nyingi kwa wakati mmoja...
1 Reactions
10 Replies
302 Views
Kuna biashara ya mtandao wa kidunia ipo hewani ambapo unaelekeza watu wanunue software online na unalipwa kwa miongo 7 kwenda chini kwenye mtandao wako na malipo mengine ni miongo yote kwenda...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nafikiri wengi wetu mmewahi kusikia na hata kutembelea viwanda vya kutengeneza soda za Coca Cola kama kile cha Coca Cola Kwanza pale Mikocheni, DSM, Bonite Bottlers pale Shiri Matunda, Moshi...
22 Reactions
55 Replies
2K Views
Habari Leo tunazungumzia Forex na Aviator Game na Siri zake zenye kufanana zilizopo nyuma ya pazia. Forex kama Aviator imebuniwa makusudi kumpa mmiliki faida. Kivipi inampa faida.. Forex...
30 Reactions
251 Replies
8K Views
  • Redirect
- Baada yaa maombi ya watu wengi nitoe somo kuhusu forex, andiko hili litaelezea kwa undan forex ni nini, uhalisia ukoje na undan wake ambao huezi kuskia kokote - Kwa kuanza ningependa kutoa...
0 Reactions
Replies
Views
Naomba kuuliza kati ya Morogoro Mjini na Ifakara wapi kuna fursa nyingi za biashara.?
0 Reactions
3 Replies
242 Views
  • Poll Poll
Utofauti kati ya forex na betting ni upi?
2 Reactions
86 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa wenzangu najua mko poa, kama kichwa cha tangazo kinavojieleza nauza kabati langu la mninga lina mwaka mmoja tu toka nilinunue na nilinunua bei kubwa sana nadhani wengi mnafahamu...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
1. Kadi ya Usajili wa Chombo cha Moto. 2.Mkataba wa Kisheria wa Mauziano na Risiti ya EFD kutoka kwa Mwanasheria aliyesaini mkataba huo au risiti ya manunuzi uliyopewa wakati wa manunuzi wa chombo...
1 Reactions
1 Replies
140 Views
All Non-governmental Organizations were registered under Non-governmental Act, 2002 are required to prepare and submit their Annual activities and financial reports to the office of the Registrar...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Habari za usiku huu wadau/wanajamii forum. Kwa ufupi tu, kwa wale/Yule ambaye yuko tayari kuwekeza kwenye sector ya uzalishaji(maji, juice, pombe, unga au product yoyote inayohusu chakula)...
0 Reactions
7 Replies
153 Views
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) inamepotoa muongozo mpya wa kushughulika na Vyombo vya moto(Magari, Pikipiki na Mitambo)
2 Reactions
3 Replies
305 Views
Vijana kama unatamani mafanikio na unamtaji mdogo na unatamani kuwa mfanya biashara mkubwa mimi kijana mwenzenu nipo hapa kukusaidia najua kuna wengine mna mitaji hamjui wapi muwekeze na mpate...
4 Reactions
18 Replies
734 Views
🐓S&Q_GROUP_INTERNATIONAL LIMITED🐓 AGIZA NASI VIFARANGA BORA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA 0781647066 ____________________________________________ 📠☎️ 0781647066 WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA...
2 Reactions
14 Replies
334 Views
Habari, jaman nauza kiwanja, ipo mkoa wa Geita, mtaa wa nyankumbu. Kina ukubwa wa sqm500 na kina msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, seble, dinning na jiko. Bei ni 1.7m Mawasiliano 0783133121
2 Reactions
4 Replies
181 Views
Wandugu tupeane A BC za kumaintain biashara ndogo ndogo ili tuwasaidie wenzetu wanaotaabika na mikopo ya kausha damu. Hapa tuwaongelee wale wajasiliamali wa chini kabisa. Kundi hili linateseka...
4 Reactions
15 Replies
310 Views
Wadau salam, Ninafuga kuku wa kienyeji, nimewalisha vizuri na wametaga kwa muda sasa. Kila walipotaga niliondoa mayai. Nilisafiri wakawa wanaokota mayai vijana, niliporudi nilikuta kuku 49...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom