Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nimekaa nikatafakari sana haya maisha kila biashara nikipanga niifanye naona mtaji haukidhi yaani hautoshi. Naona dhahiri kabisa naenda kuanguka maana life mtaani ndio usiseme hakuna hela na...
25 Reactions
36 Replies
3K Views
Wanaokopesha Kwa riba nafuu tafadhari tuwasiliane 0656980802 nahitaji 400,000 asap Kwa mwezi au miezi 2 nimejiajiri mwenyewe nina duka la nguo sinza
0 Reactions
48 Replies
2K Views
Mambo vp wadau Leo nmekuja km digital market. Ni sekta muhimu sana wa wafanya biashara na watoa huduma. Km unakampuni au biashara yoyote ile lazma utahitaji kuwafikia wateja wengi. Na njia...
1 Reactions
8 Replies
199 Views
Aslaam, Baada ya kujikusanya kwenye mtaji na kujiuliza nifanye biashara gani, nimeamua kuchukua 10% ya mtaji WANGU kwenda kuanza biashara. Kiukweli hakuna kitu kigum kwenye biashara kama kuamua...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Sikiliza, kuna maneno ambayo yamekuwa yakizunguka sana kwenye mitandao siku hizi – blockchain, crypto, Bitcoin. Na mara nyingi, watu wanavyosikia haya mambo, wanahisi ni kwa ajili ya matajiri au...
6 Reactions
61 Replies
2K Views
Simple sana Uzi huu ni maalum kwa wafanyabiashara na mjasiriamali yeyote wa mkoa wowote tujuane tupate connection za bidhaa mbalimbali Mtoa uzi - Tarime Mara - duka la soft drinks 0782741783
12 Reactions
170 Replies
17K Views
Ni muda sana sijaandika uzi, wakuu kwanza habarini, Aseh mimi ni muhitimu wa chuo cha fedha hapa Tanzania, nimesoma masomo ya uhasibu na IT, nImekua nikijihusisha na shughuli za hapa na pale...
2 Reactions
1 Replies
141 Views
  • Closed
Ndugu zangu, kwa siku za karibuni kumekua na watu mbalimbali katika taasisi za Umma na binafsi wakijihusisha na Uwekezaji katika kampuni ijulikanayo kama FIC ambapo wanaweka mitaji na mitaji hiyo...
6 Reactions
24 Replies
6K Views
Hello wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 21 naish kijijin kwa sas Mimi bhan katika maisha yangu Kuna ndoto kubwa Sana nawza ambayo natamani sana kuitimiza Ila nashindwa kwa sababu kwa sasa nipo...
4 Reactions
48 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Natumaini mko salama. Nimejibanza sehemu fulani hapa Morogoro ili kuandika maneno haya. Jua linawaka dane, feni inazunguka juu yangu, na hamna usumbufu wowote. Natumaini na wewe...
5 Reactions
18 Replies
739 Views
Heshima zenu wana nzengo. Jamani nina swali, kuna nyuzi nyingi humu JF, zikidai kuwa huwezi kuwa tajiri kwa kuajiriwa. Sasa swali langu ni kwamba je waajiriwa wote wa Serikali sio matajiri? Mfano...
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata. Aisee nimerogwa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭 Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na...
19 Reactions
187 Replies
5K Views
Baada ya kukutana na met Wangu akiwa anamuelekeza mtu Kujiunga nikajua kumbe ipo na kuona account yake karecharge laki kavuna elf 70 na point nimehamasika Leo naanza na 50 true freedom comes from...
17 Reactions
99 Replies
13K Views
Nitaelezea zaidi Kanda ya ziwa, hasa mkoa wa Kagera Biashara ya mazao hasa nafaka ni biashara ambaya haimtupi mtu, yaani hapa faida inayoweza kuji double ni uhakika Usichukue mtaji ukawekeza...
11 Reactions
27 Replies
3K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Bila content, hakuna engagement na bila engagement, hakuna mauzo! Kwa Nini Content ni Muhimu? Inajenga Uaminifu na Brand Awareness – Wateja wanapokuona mara kwa mara na kupata elimu kuhusu...
3 Reactions
8 Replies
277 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom