Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kutokana hili tatizo la ajira kuzidi kuongezeka hapa nchini na kuacha baadhi ya Graduate wakizagaa tu mtaani, kuzurula mtaani, kukaa nyumbani tu naomba mtu anisaidie kutupa njia au mbinu...
14 Reactions
180 Replies
30K Views
Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf. Ni hivi, Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45. Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki...
15 Reactions
91 Replies
2K Views
Mimi ni mfanyabiashara Tanzania na Comoro. Nilianza mwaka jana lakini mafaniko ni makubwa kwan kuna fursa nyingi sana sababu visiwa vya Comoro 96% wanategemea vitu pamoja na chakula kutoka nje...
46 Reactions
349 Replies
84K Views
Karibu kwenye huduma zetu za kitaalamu kwenye nyanja mbalimbali za biashara, ambapo tunakupa mwongozo kamili na urahisi wa kufanikisha mahitaji yako ya kibiashara. Kwa njia ya haraka na ya...
0 Reactions
1 Replies
139 Views
1. Benki Pendwa ya Wanawake imefia wapi? Malkia wa Nguvu on fleek! 2. Watu wamepiga mahela wamesiz kitaa Sasa wanawaza kupiga hela za faraja tena
2 Reactions
25 Replies
764 Views
Habari ndugu zangu. Ni siku nyingine tena kwenye chini ya JUA. Baada ya kuzurula sana kutafuta gari ya Uber na bolt bila mafanikio huku nikiwa napiga Domo (Dalali) Kuna jamaa humu alinichek...
2 Reactions
31 Replies
536 Views
Our comprehensive range of services is designed to help your business stand out, engage visitors, and drive results. Custom Landing Pages: Beautifully designed and optimized to match your brand...
0 Reactions
0 Replies
62 Views
Our comprehensive range of services is designed to help your business stand out, engage visitors, and drive results. Custom Landing Pages: Beautifully designed and optimized to match your brand...
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Mimi ni kijana mjasiriamali naombeni ushauri wenu nauza nguo za mtumba za watoto nikitembeza wapi naweza nikapata soko kirahisi nipo dar es salaam
3 Reactions
9 Replies
293 Views
Wadau nataka kufungua akaunti ya nmb bank kwaajili ya kutunza hela zangu je ni akaunti gani nzuri?
1 Reactions
18 Replies
9K Views
23,April, 2021... . ....Fred Vunjabei akiwa XXL ya Clouds FM... Alivujisha Siri Kibao za Mafanikio ILA... Hizi 7 ndio Siri Konki Zaidi . ...na Zitaenda Kubadisha Maisha 10X Zaidi Guaranteed ...
7 Reactions
17 Replies
855 Views
Jamani, Naomba kuuliza. Ninatarajia kufungua biashara ya kufua nguo na kupasi. Je ninaweza kupata kipato kizuri cha kujikimu? Hii biashara ili nipate faida, nifanyeje? Je, nitapataje zile...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wana Jamvi. Natumai mu wazima. Lengo la uzi huu ni kuomba kujua kwa mwenye uzoefu juu ya Biashara ya Ufuaji nguo na upigaji pasi (Laundry & Dry Cleaning Business). Ukiwa katika Jiji la Dar...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari Kiukweli tunatoka sehem mbali mbali tunakutana na watu mbali mbali.Naomba toa fursa kwa waTz wenzio biashara gan umesikia au unamjua mtu imemtajirisha cku za karibu hz
10 Reactions
81 Replies
4K Views
Kwema Wakuu, Za weekend? Nipo nachanganua hapa. Mfano nikiwa na labda 20,000,000/- nikazitia UTT Kwa riba ya 12% naweza kupata roughly 2,400,000 faida baada ya mwaka mmoja. Alternatively hizi...
4 Reactions
52 Replies
1K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Hakuna shule hakuna chuo utafundishwa kuhusu dark side of anything,Kuna njia mbili tu za kujua wasichokijua watu wengi,njia nyepesi zaidi ni kujua kupitia shuhuda za watu waliopita kwenye kivuli...
111 Reactions
984 Replies
114K Views
Back
Top Bottom